hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Mimi bwana namshukuru sana ex wangu 1 hivi ambaye niliachana nae takribani miaka 10 iliyopita. .... ambaye na weza kusema kwamba kwa namna moja ama nyingine ndiye Alisaidia kunikomoza na kuufanya moyo wangu uwe mgumu kama Jiwe. ...
Huyu manzi alikuwa ni kicheche ile mbaya tena sana. ... Mahusiano yetu yalikuwa ni full mapicha picha. .ijapokuwa siwezi kukataa kuwa pia licha ya Tabia yake hiyo alikuwa na MEMA yake mengi tu Mazuri. ....
Basi bwana hiyo Tabia yake ya ukicheche ndio iliyo nikomaza kiasi kwamba mpaka hivi leo huwa sinaga desturi ya kubabaikia mahusiano. .. Yaani nikiwa in relationships mtu akileta za kuletaleta na mimi naleta za kuleta leta. . If akitaka Tuachane naona poah tu '' yaani kani athari sana aise yule manzi ' lakini kwa namna moja namshukuru maana dunia ya sasa imejaa uongo sana kwenye mahusiano ' ....
Yaani huwa siya babaikii kabisa mahusiano mpaka sometimes najishangaa
Huyu manzi alikuwa ni kicheche ile mbaya tena sana. ... Mahusiano yetu yalikuwa ni full mapicha picha. .ijapokuwa siwezi kukataa kuwa pia licha ya Tabia yake hiyo alikuwa na MEMA yake mengi tu Mazuri. ....
Basi bwana hiyo Tabia yake ya ukicheche ndio iliyo nikomaza kiasi kwamba mpaka hivi leo huwa sinaga desturi ya kubabaikia mahusiano. .. Yaani nikiwa in relationships mtu akileta za kuletaleta na mimi naleta za kuleta leta. . If akitaka Tuachane naona poah tu '' yaani kani athari sana aise yule manzi ' lakini kwa namna moja namshukuru maana dunia ya sasa imejaa uongo sana kwenye mahusiano ' ....
Yaani huwa siya babaikii kabisa mahusiano mpaka sometimes najishangaa