Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,182
- 24,684
Wamekuambia wameshindwa kulipa.
Ungekua na uwezo wa kulipa ndege ingekua South Africa as of now?
Acha kuharisha!
Wamekuambia wameshindwa kulipa.
Mkuu jiwe atakupa uchiziSwali linakuja ni nani aliyemshauri huyo Mkulima? Ni ma-snitches ambao walikuwa wanapiga hela kabla ya Magufuli kuingia sasa wako juu wya mawe, hivyo they going down fighting, lkn tutawamaliza, Mungu alishaamua muda wa TZ yetu kutoboa umeshafika na hakuna wa kutuzuia, tutambomoa!
Ungekua na uwezo wa kulipa ndege ingekua South Africa as of now?
Acha kuharisha!
Kila kitu kina utaratibu wake.
Punguza chuki na serikali au serikali ilikugegedea PISI yako.
Mimi ningekuwa Magfool ningekataa kulipa na ningecut diplomatic relations na SA mara moja kisha kuambia balozi wa TZ kurudi nyumbani na wa SA kurudi kwao.
Is it the first time you hear a company is taken to court?yet the stench of embarrassment will longer around much longer
Kwa iyo bora wangeendelea kutunyonyayeah, hili ni angalizo zuri kwa ajili ya viongozi wetu.
hizi vurugu tunazowafanyia Barrick/Acacia sasa hivi zitakuja ku catch up na sisi huko mbele ya safari.
Kipi cha ajabu hapo, nchi leni halidaiwi?yet the stench of embarrassment will longer around much longer
Fvck you tooHaHaha.....magufuli ni ng'ombe ya kawaida tu.
He registered those new planes as property of GoT property to avoid seizure for ATCL outstanding debts.....now they are getting impounded because the GoT is not paying it's debts(feel free to insert your favorite facepalm gif here)
And to think these planes were supposed to bring pride to Tanzania. Jeezus.
Ujamaa f^cked these people sideways
Wala hata wakenya hawahusiki hapa, lipeni madeni ndege irudi muipokee kwa kukata viuno hapo Airport.Yaaaani hili lidege linawatekenya tekenya WAKENYA sehemu zote zote
Sikiliza nyie mnazo ndege za kupora EAC miaka ile... Siye tunazo classic New hata hiyo tunaweza tukawazilia
UjingaNa wewe atakupa nini?
Ujinga
Tatizo linaanza na mikataba tunayowapa kwa vificho, huku mikataba ikiwa favour.Kwa iyo bora wangeendelea kutunyonya
Katika maisha ndio, inavyokuwagaHii ni ngumu sana aisee. Yaani mnawakomboa watu halafu wanawakomoa?
Na akipewa anakuja kula Bata apa Serengeti National ParkWanatudai tu hela tungapi tumlipe sasa hivi?? Siku akikanyanga Tanzania tunazaa nae