Dah! Mkulima ndiye amesababisha ndege ya Tanzania ikamatwe Afrika Kusini - Reuters

Fvck you too
wnnunwa1msvy.jpg
 
Is it the first time you hear a company is taken to court?
Nah, negro of the bongolala clan, this is between the government of Tanzania and that man. GoT owns that plane and it needs to pay that man his money. There is no company here, just GoT and a businessman
 
Nah, negro of the bongolala clan, this is between the government of Tanzania and that man. GoT owns that plane and it needs to pay that man his money. There is no company here, just GoT and a businessman

Yeah Air Tanzania Company Limited is a goverment, and i think its president is Pilot "i dont know who"
 
Hasara aliyosababisha na huyo pimbi iingie sehemu ya malipo ya deni...
 
Yaaaani hili lidege linawatekenya tekenya WAKENYA sehemu zote zote
Sikiliza nyie mnazo ndege za kupora EAC miaka ile... Siye tunazo classic New hata hiyo tunaweza tukawazilia
Kipindi wakenya wanapora hizo ndege. Watanganyika mlikuwa wapi ?
 
Hata utaratibu huujui!

Utaratibu ni kua hukumu ikitoka ulieshindwa unapewa kopi yako tayari kutekeleza ulichoambiwa!

Mpaka leo hujalipa!

Maana yake hukutekeleza hukumu!

Utaratibu unaousemea ni wa kujisaidia vichakani au upi hasa??

Lipa deni chukua lindege lako peleka kwenu huko!

Na ukichelewa linauzwa!

Serikali na CCM sizipendi hata kidogo!

Ni uamuzi wangu binafsi!

Ni kama wewe ulivyo na haki ya kuipenda mimi siipendi!

Ni moyo wangu,na wewe unao wako!

Tuachiane uhuru please!

Siyo kua badala yake ni kuwa.

Siyo ulieshindwa badala yake ni uliyeshindwa.
 
Ukiona mambo yako hivi. Ujue tuko kwenye njia sahihi. Mabeberu hayaja zoea kubanwa unyonyaji wanaofanya kwa Afrika.
Hata Libya, mambo yalianza hivi hivi, hujuma ndogo ndogo. Baadaye wakavamia.
Tunashukuru kwa Tanzania, watapigana lkn hawatashinda.
 
Hata utaratibu huujui!

Utaratibu ni kua hukumu ikitoka ulieshindwa unapewa kopi yako tayari kutekeleza ulichoambiwa!

Mpaka leo hujalipa!

Maana yake hukutekeleza hukumu!

Utaratibu unaousemea ni wa kujisaidia vichakani au upi hasa??

Lipa deni chukua lindege lako peleka kwenu huko!

Na ukichelewa linauzwa!

Serikali na CCM sizipendi hata kidogo!

Ni uamuzi wangu binafsi!

Ni kama wewe ulivyo na haki ya kuipenda mimi siipendi!

Ni moyo wangu,na wewe unao wako!

Tuachiane uhuru please!

Hivi wakichelewa si ndo balaa zaidi kwa port charges fees mzigo kuulaza pale nilivyokolea uchaga mshahara wa rais ndo ungekipa gharama izo na sio hela ya umma ahahahahahahahahaha ccm hii kusingekua na sheria ningechinja mmoja mmoja barabarani humu kila siku mi pia nawachukia sana sio we peke yako
 
Mimi ningekuwa Magfool ningekataa kulipa na ningecut diplomatic relations na SA mara moja kisha kuambia balozi wa TZ kurudi nyumbani na wa SA kurudi kwao.
Ndiyo akili yako ilipoishia hapo halafu si bure wewe ni graduate unahangaika kutafuta kazi. Tuna safari ndefu san
 
Hivi wakichelewa si ndo balaa zaidi kwa port charges fees mzigo kuulaza pale nilivyokolea uchaga mshahara wa rais ndo ungekipa gharama izo na sio hela ya umma ahahahahahahahahaha ccm hii kusingekua na sheria ningechinja mmoja mmoja barabarani humu kila siku mi pia nawachukia sana sio we peke yako

KEYWORDS:
...Uchaga
---kuchinja mmoja mmoja
....nawakuchukia sana
Haya tutaona mwisho wake ni nani atalia, familia yako inapokukosa au hao unao wachukia sana hadi sasa nuataka kuwachinja...
 
Kuna mataifa utawala wa sheria hufanya kazi sio mchezo, yaani mkulima wa Afrika Kusini ambaye anadai kwamba ardhi yake ilitaifishwa kipindi alikua akiishi Tanzania, aliwasilisha kesi mahakamani na kusababisha ndege ya Tanzania ishikiliwe hadi alipwe hela zote pamoja na riba.

Inabidi kuwa makini sana unapowavuruga wageni ambao siku wakirudi makwao halafu unafuata huko na mindege. Ni muhimu sana kuzingatia wakati wa kukimbizana na akina Acacia, maana wana mawakili wa kimataifa na wakiamua, aisei utanyan'ganywa hadi majengo ya ubalozi.

------------------------------------

South African authorities impounded an Airbus 220-300 aircraft leased by Tanzania’s national flag carrier following a court application by a retired farmer who is owed compensation by the Tanzanian government, the farmer’s lawyer said.

The plane had been scheduled to fly from the Oliver Tambo International Airport in Johannesburg, South Africa, to Dar es Salaam, Tanzania on Friday, but was seized on an order issued by the Gauteng High Court in Johannesburg, Tanzania’s transport ministry said in a statement on Friday.

Roger Wakefield, of Werksmans Attorneys, said his client, an elderly farmer who asked not to be named, was owed $33 million, including interest, in compensation from the Tanzanian government after his land in the country was expropriated several decades ago. The farmer was subsequently awarded the compensation in an arbitration, he said.

Wakefield said the only way Tanzania could secure the release of the plane was if it put up security or paid the debt.

A Tanzanian government spokesperson was not immediately available for comment.

Calls to the High Courts in Gauteng province went unanswered outside of usual business hours.

Speaking by phone to Reuters, Wakefield said the plane was impounded in line with South African and international laws allowing for an asset owned by a foreign entity to be attached to a case related to a foreign arbitration award.

The plane was chosen because there is evidence it is owned directly by the Tanzanian government and its value is commensurate with the amount owed to the farmer, who was born in Namibia, he said.


Nani yupo nyuma ya huyu mkulima mstaafu wa south africa.... maswali ni mengi kuliko majibu????????????
 
  • Thanks
Reactions: Oii
Basi mkenya umefurahi kweli kwa ndege yetu kukamatwa,si bure we utakuwa kigagula
 
Back
Top Bottom