Dah! Mkulima ndiye amesababisha ndege ya Tanzania ikamatwe Afrika Kusini - Reuters

HaHaha.....magufuli ni ng'ombe ya kawaida tu.

He registered those new planes as property of GoT property to avoid seizure for ATCL outstanding debts.....now they are getting impounded because the GoT is not paying it's debts(feel free to insert your favorite facepalm gif here)

And to think these planes were supposed to bring pride to Tanzania. Jeezus.

Ujamaa f^cked these people sideways
Ninyi ubepari umewafanya wazungu washike ardhi yote yenye rutuba mmeachwa jangwa linalokuza mbigiri na miiba tu huku mkiendelea kufa njaa mzungu anazidi Kutengeneza billions of dollers kutoka kwenye maua
 
yaani kama wakenya wote wana akili au kufikiri kama wewe MOLA atusaidie watanzania kila kitu unapenda ujuaji na kubishana jumlisha kujikweza tuliza akili mzee nchi kuw na natatizi ya madeni kawaida kwani wakenyvsi kun nchi za asia zinawadi mno na hata hamuwezi furukuta ulishawahi kuona nyuzi humu learn learn....
 
Mkulima kawa bilionea ghafla
Kuna mataifa utawala wa sheria hufanya kazi sio mchezo, yaani mkulima wa Afrika Kusini ambaye anadai kwamba ardhi yake ilitaifishwa kipindi alikua akiishi Tanzania, aliwasilisha kesi mahakamani na kusababisha ndege ya Tanzania ishikiliwe hadi alipwe hela zote pamoja na riba.

Inabidi kuwa makini sana unapowavuruga wageni ambao siku wakirudi makwao halafu unafuata huko na mindege. Ni muhimu sana kuzingatia wakati wa kukimbizana na akina Acacia, maana wana mawakili wa kimataifa na wakiamua, aisei utanyan'ganywa hadi majengo ya ubalozi.

------------------------------------

South African authorities impounded an Airbus 220-300 aircraft leased by Tanzania’s national flag carrier following a court application by a retired farmer who is owed compensation by the Tanzanian government, the farmer’s lawyer said.

The plane had been scheduled to fly from the Oliver Tambo International Airport in Johannesburg, South Africa, to Dar es Salaam, Tanzania on Friday, but was seized on an order issued by the Gauteng High Court in Johannesburg, Tanzania’s transport ministry said in a statement on Friday.

Roger Wakefield, of Werksmans Attorneys, said his client, an elderly farmer who asked not to be named, was owed $33 million, including interest, in compensation from the Tanzanian government after his land in the country was expropriated several decades ago. The farmer was subsequently awarded the compensation in an arbitration, he said.

Wakefield said the only way Tanzania could secure the release of the plane was if it put up security or paid the debt.

A Tanzanian government spokesperson was not immediately available for comment.

Calls to the High Courts in Gauteng province went unanswered outside of usual business hours.

Speaking by phone to Reuters, Wakefield said the plane was impounded in line with South African and international laws allowing for an asset owned by a foreign entity to be attached to a case related to a foreign arbitration award.

The plane was chosen because there is evidence it is owned directly by the Tanzanian government and its value is commensurate with the amount owed to the farmer, who was born in Namibia, he said.


 
KEYWORDS:
...Uchaga
---kuchinja mmoja mmoja
....nawakuchukia sana
Haya tutaona mwisho wake ni nani atalia, familia yako inapokukosa au hao unao wachukia sana hadi sasa nuataka kuwachinja...

Haya mkuu tutaona
 
Alafu ile ardhi yenye rutuba nzuri wanalima maua .
Ninyi ubepari umewafanya wazungu washike ardhi yote yenye rutuba mmeachwa jangwa linalokuza mbigiri na miiba tu huku mkiendelea kufa njaa mzungu anazidi Kutengeneza billions of dollers kutoka kwenye maua
 
Naona wakenya weengi wakishangilia kukamatwa kwa moja ya ndege ya shirika la Air Tanzania huko nchini Afrika kusini kutokana na deni la muongo kadhaa huko nyuma kutoka kwa aliuekuwa mkulima nchini Tanzania.

Sasa basi, waliokuwa wafanyakazi wa sokoduka kubwa a.k.a supermarket iliyojulikana Nakumart na Uchumi nchini Tanzania wanapanga mbinu kama za mkulima wa afrika kusini kuwa ndege ya KQ ikishuka bongo ishikiliwe kwa sababu na wao wana madeni wanayodai..!!
 
Asee
Naona wakenya weengi wakishangilia kukamatwa kwa moja ya ndege ya shirika la Air Tanzania huko nchini Afrika kusini kutokana na deni la muongo kadhaa huko nyuma kutoka kwa aliuekuwa mkulima nchini Tanzania.

Sasa basi, waliokuwa wafanyakazi wa sokoduka kubwa a.k.a supermarket iliyojulikana Nakumart na Uchumi nchini Tanzania wanapanga mbinu kama za mkulima wa afrika kusini kuwa ndege ya KQ ikishuka bongo ishikiliwe kwa sababu na wao wana madeni wanayodai..!!
 
Did that farmer buy the land or he's one of the colonial land grabbers seeking illegal compensation??
 
HaHaha.....magufuli ni ng'ombe ya kawaida tu.

He registered those new planes as property of GoT property to avoid seizure for ATCL outstanding debts.....now they are getting impounded because the GoT is not paying it's debts(feel free to insert your favorite facepalm gif here)

And to think these planes were supposed to bring pride to Tanzania. Jeezus.

Ujamaa f^cked these people sideways
Haya sasa ndio hizo pesa zimeenda , the Tanzanian proverbial swan song of "tumenunua na pesa zetu za ndani" has met with brutal karma.
 
Kama ni deni stahiki, litalipwa tu, Serikali ina vyanzo vingi vya mapato.

Tutalipa hata kwa ile pesa na dhahabu iliyorudishwa na U. Kenyata recently, acha kucheza, pesa ipo mingi:)
Haya sasa ndio hizo pesa zimeenda , the Tanzanian proverbial swan song of "tumenunua na pesa zetu za ndani" has met with brutal karma.
 
HaHaha.....magufuli

He registered those new planes as property of GoT property to avoid seizure for ATCL outstanding debts.....now they are getting impounded because the GoT is not paying it's debts(feel free to insert your favorite facepalm gif here)

And to think these planes were supposed to bring pride to Tanzania. Jeezus.

Ujamaa f^cked these people sideways
Pwahahahahahahahahahaha 😂 😂 😂
Sasa tunangoja ATL inanzishe safari za kule UK, huko nako kina naona kina acacia gold wakienda mahakamani kuzulia ndege kama vile Canada walivyofanya... Itabidi kuanzia sasa ATCL wakipanga kuanzisha safari za nchi za Kigeni wanaulizia serekali yao kama Tz ina deni na hio nchi..
 
Yaaaani hili lidege linawatekenya tekenya WAKENYA sehemu zote zote
Sikiliza nyie mnazo ndege za kupora EAC miaka ile... Siye tunazo classic New hata hiyo tunaweza tukawazilia

More evil gets done in the name of righteousness than any other way. Lipeni madeni
 
Naona wakenya weengi wakishangilia kukamatwa kwa moja ya ndege ya shirika la Air Tanzania huko nchini Afrika kusini kutokana na deni la muongo kadhaa huko nyuma kutoka kwa aliuekuwa mkulima nchini Tanzania.

Sasa basi, waliokuwa wafanyakazi wa sokoduka kubwa a.k.a supermarket iliyojulikana Nakumart na Uchumi nchini Tanzania wanapanga mbinu kama za mkulima wa afrika kusini kuwa ndege ya KQ ikishuka bongo ishikiliwe kwa sababu na wao wana madeni wanayodai..!!

Deni ni la serikali ya Tanzania.
Ndege ni ya serikali ya Tanzania.

Nakumatt uliskia wapi ni ya serikali ya Kenya?
KQ pia ina wamiliki mbali mbali, KLM ya Netherlands ikiwa inaongoza.
Kwa nini ukamate ndege ya asiyejua wala kuhusika na vita zenu?

Huu upungufu wa akili ndio umefanya Tanzania ibaki LDC.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom