Dah mheshimiwa Komba!!!!!!!

Eti anawawakilisha watu wakati yupo usingizini..
 
hapo akiamka anagonga meza hoja imepita. Picha kama hizi ni vizuri ziwafikie wapiga kura wake.


Mheshimwa Komba kajitetea kuwa alikuwa kwenye maombi mazito ya kuliombea bunge liwe na upako na lijadili mambo ki-upako zaidi, hakulala kama alivyonaswa. Kweli msanii haishiwi sababu.
 
hahaha, huyo anajaribu kudownload nyimbo za TOT kwa ajili ya next election.
 
Anawaza jinsi ya ku convert nyimbo za KINGONI kwenda kwenye maudhui ya KI FISADI FISADI na KI CCM. Jamaa ameiga nyimbo za kwenye misiba na sherehe za Kingoni kaziimba ki ccm hana dili huyu jamaa
 
Jamani mheshimiwa alijibu kesho yake tu kuwa watu wa magazet walimuangalia vibaya.

'Alikua kwenye maombi mazito''
 
hahahaha apo anatunga vesi ya tatu,,,,ya ccm nambari miwani
 
Ubunge kwa Tanzania siyo uwakilishi ni mfadhili wa jimbo kuwa father christmass santa claus wa jimbo, kugawa vijizawadi vidogo vidogo unapeta tu! hata ukilala bungeni miaka yote mitano na kuwa bubu utapita tu ili mradi ukumbuke VIJIZAWADI! Mjengo umegeuzwa mere formality tu
 
Hakuna namna ya kuyatoa mamba haya ila nikusema ubunge uwe na kikomo, kama Rais ili kusiwepo naujinga wakuseman italala na hakuna wakuniuliza, pia kuwepo na kura ya maoni kilabaada ya mwaka kupima kazi za wabunge ili wawajibike kwa wananchi kama kura ya imani isipokuwepo hakuna kitakachoendelea ili kama hawawezi kufanya kazi basi tuwaondowe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…