Dah Mei 12 hadi 15...

Nililiona tangazo nikajua ni sikukuu ya wajinga,
kumbe ni kweli, lol.

Nitarudia kazi yangu ya kusoma Biblia.
 
I see unahamishia mashambuli fesi buku




JF haina tofauti na miziki ya mipasho,ikifungwa moja kwa moja hakuna hasara,mbona ze utamu ilifungwa na watu wakasahau bwana,mods wa JF jifunze kupost vitu vya maana msijikite kwenye siasa uchwala na mambo ya lulu na kanumba ambayo hayana msaada kwa wachangiaji
 

Acha ujinga we pimbi!!
 
Namba yangu ya simu si unayo? Hebu nipe akaunti yako ya facebook. Siwezi kuishi bila kuchat na wewe asee....
ODM
huko kwenye account ya FB kuna pesa?
 
Thanks, maana tangazo lenyewe limekaa kiaina, mm kweli nisingeliona. Thanks we will miss JF for those three/four days. Hope itarudi bomba zaidi. Best of luck.
 
andika hii...Perpetua Barabojiq Qumnas....niadd nitakuaccept kule fb....mwambie na ODM....

hahahaha! sasa mrembo pepe tua hebu ngoja kwanza....aiseee! pepe bana?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…