The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Okay...nimeelewaFy..Fynest mbona unaniangusha babaangu!?
Okay...nimeelewaFy..Fynest mbona unaniangusha babaangu!?
Ha ha ha ukiangalia vizuri this is 7 hours, how are you doin sweetheart??
Ndiyo huyo huyo unayemfikiria wala sijakosea
Off topic lazima ziwepo ili mada ichangamke!Kwani tuko jeshini hapa mpaka tuwe kwenye pozi la ATTENTION muda wote?Tunahitaji kua AT EASE ili tuweze kuchangia!
Hivi una chaja ya kobe ya pini ndogo lolz
Fy..Fynest mbona unaniangusha babaangu!?
do u wanatell me whts goin on between u and beautiful Maria Roza?Ha ha ha ukiangalia vizuri this is 7 hours, how are you doin sweetheart??
mmmhhh is 15mnts less hahahaha lol
im ok sweet pampkin..
how are u?
She's just guarding me honeydo u wanatell me whts goin on between u and beautiful Maria Roza?
Safi mpnz!Hapa nimepewa warning ya kwenda off topic so natimka!mambo vipi dear?
I am doin gud honey Posted via Mobile ha ha ha umesimama pale where you told me lol!!!!!
Can you check your PMHahahahahahahah lol
yes pale pale hata mguu sikusogeza lol
masaa mawili yamebakiae halafundo
Wewe mwanamke sasa unataka kuiniaibisha hapa, haya mambo ya KUGONGA unajua sio mazuri presha yaweza shuka, halafu kuna ishu inabidi tuzungumze nadhani Teamo atakuwa amekupa hint kama bado nitakushtua nikwambie
Yaani wewe na pesa ni kama mfagio na vumbiHa ha ha ha ha ha ha, mkesha wa story via bluetooth naupenda sana, tunaongea yote,
hadi story za mende na buibui na mbu halafu maisha yanakwenda.
Hebu niambie hiyo ishu bana, inaweza kuwa ya pesa nikapata ya kununua nyama jpili hii.
Nakudai halafu!!
1. Siasa 2. wanawake 3. Manchester United 4. Wanawake 5. Chelsea 6. Wanawake 7. Kompyuta na elektroniki 8. Wanawake 9. Arsenal 10. Wanawake
11. Biashara 12. Wanawake 13. Bundersliga 14. Wanawake 15. Muziki 16. Wanawake
17. Magari 18. Wanawake............... 19. Masomo …………… .
Yaani wewe na pesa ni kama mfagio na vumbi
mh!.....
Kweli wanaume tunatofautiana, unakuta eti Mwanaume anampigia simu demu anapiga naye story kwa masaa manne hadi sita. Story zinazopigwa ni kuhusu Birthday, mahusiano, nguo za rangi gani zinavutia, sherehe gani unapendelea na kuhusu familia zenu mara Baba yangu ni mkali mara mama yangu hapendi kutazama Tv!!!
Au mimi ndiyo nina matatizo kwa sababu siwezi kuongea na demu kwenye simu zaidi ya nusu saa unless tunongelea mambo yanayoeleweka, mara nyingi huwa naona bora kumpigia msela mwenzangu na tukazungumza hata kwa masaa mawili bila kuboreka kwa sababu ni mengi ya kuongelea na wakati huo huo kujifunza, kwa mfano:
1. Siasa 2. wanawake 3. Manchester United 4. Wanawake 5. Chelsea 6. Wanawake 7. Kompyuta na elektroniki 8. Wanawake 9. Arsenal 10. Wanawake
11. Biashara 12. Wanawake 13. Bundersliga 14. Wanawake 15. Muziki 16. Wanawake
17. Magari 18. Wanawake............... 19. Masomo na bado tukaahirisha mazungumzo kwa sababu ya muda au majukumu mengine.
Inaweza kutokea mtu unashindwa kulala eti kisa jirani yako anapiga stori na "rafiki yake" (mwanamke) tangu usiku mpaka asubuhi, ukimwambia amtongoze huyo demu basi kieleweke, anadai dini haimruhusu kutenda dhambi. Baada ya muda demu anapata Bwana, unaona njemba inanyong'nyea eti ita-miss mtu wa kupiga naye story. My foot!!!!!!
Kwenye hili suala kuna mtu lazima ana matatizo, aidha mimi au mtu wa aina hii .
Mkuu ninachomaanisha ni kuwa watu tunatofautiana...
Kwamba mtu anapiga story kuhusu Birthday na vitu vingine unnecessary labda tuseme kwa masaa sita....
Unamshauri kuwa kama vipi afanye mambo ili binti awe wake manake anamkubali msela, yeye anaweka mapozi...
Inatokea siku binti anachukuliwa na wasiopiga story nyingi, mtu anaanza kuvuta midomo....
Hapo ndo maana nahisi aidha mimi au watu wa dizaini hiyo kuna mmoja ana matatizo....
yani uloandika ni mchango toshaSijui sijakuelewa vizuri, ni unadharau hao unaowaita mademu kwamba hawana story za maana au??????
Halafu mtu akiwa anapiga story na huyo demu haitoshi mpaka amefanya uzinzi au??
Daaaaa ngoja niache, manake sio lazima kuchangia kila thread, nitasoma maoni ya wengine. Kwa heri.