KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,771
- 39,538
Wasaalam wakuu,
Nimeamini hakuna kitu kigumu kwa mwanaume kama kutongoza,yaani haina uzoefu wala nini.
Kuna mrimbwende mmoja amefanikiwa kuuteka moyo wangu lakini dah!..jinsi ya kumuanza inakuwa ngumu kwasababu sina mazoea nae.
Na hata nikijipanga mnyamwezi nimtemee madini najikuta nanyong'onyea nikimuona na nashindwa kumweleza.
Sijui ndio udomozege unanirudia...yaani kidume mzima namwogopa mtoto wa kike...?..kweli kutongoza noma.
Nimeamini hakuna kitu kigumu kwa mwanaume kama kutongoza,yaani haina uzoefu wala nini.
Kuna mrimbwende mmoja amefanikiwa kuuteka moyo wangu lakini dah!..jinsi ya kumuanza inakuwa ngumu kwasababu sina mazoea nae.
Na hata nikijipanga mnyamwezi nimtemee madini najikuta nanyong'onyea nikimuona na nashindwa kumweleza.
Sijui ndio udomozege unanirudia...yaani kidume mzima namwogopa mtoto wa kike...?..kweli kutongoza noma.