Dah!..kweli kutongoza habari nyingine..

Dah!..kweli kutongoza habari nyingine..

andika barua ukimkaribia idondoshe mbele yake afu timka mbiooo
 
Wasaalam wakuu...nimeamini hakuna kitu kigumu kwa mwanaume kama kutongoza..yaani haina uzoefu wala nini...kuna mrimbwende mmoja amefanikiwa kuuteka moyo wangu lakini dah!..jinsi ya kumuanza inakuwa ngumu cuz sina mazoea nae..na hata nikijipanga mnyamwezi nimtemee madini..najikuta nanyong'onyea nikimuona na nashindwa kumweleza..sijui ndio udomozege unanirudia...yaani kidume mzima namwogopa mtoto wa kike...?..kweli kutongoza noma.
Kwani siku hizi kuna habari za kutongoza kama enzi zile ?. Ninachojua mimi kutongoza siku hizi ni inshu nyepesi sana sio kama enzi nzetu unajipanga kutoa mistari ya kufa mtu na uongo ndio ulikuwa unashika nafasi kubwa sana, siku hizi nijiuavyo mimi hata kama huna pesa lakini unaweza kumpata demu yoyote yule umtakaye na unagonga kiulaini, cha msingi hapa ni kuwa na uwezo wa kujiamini unapokuwa unaongea na mwanamke, epuka kujiongelea au kujipa misifa isiyo na maan, unachotakiwa wewe ni kumsifia msichana hasa kile kitu ambacho kimekuvutia toka kwake, hakuna jambo zuri wanapenda dada zetu kama kumwagiwa misifa, pia kumbuka kuwa msafi na mtanashati pindi unapokuwa karibu na huyo demu, mbinu zipo nyingi na inategemeana na mazingira mliyopo
 
swtlo Kaizer hebu nikumbushe hivi siku ulipontongoza ilikuwaje tena??

lkn uongo mbaya kutongozwa ni raha sana kwa enzi zile tulizokua sisi.
 
Last edited by a moderator:
Unampenda au umemtamani mkuu? U don't know her deep down her soul! How's the hell you going to fall in love very fast! U just got a crush on her.
 
sister Heaven on earth,

kumtokea binti unajua nako kunahitaji moyo wa chuma kwa baadhi ya watu!

na hata ile stage ya kujenga mazoea nako ni issue!!

na hii si kwa men tu, mabinti nao huhangaika mpaka kutumiana wao kwa wao!

wanawake ni viumbe rahisi sana kujenga nao mazoea hawana tabu kabisa na hupenda kudumisha mazungumzo hilo halina ubishi kwani wanategemea kupata umbea ila huwezi kumkaribia mdada na kumwambia nakupenda kama nyama choma ,yaani atakuona umemvunjia heshima na yanaweza kuwa makubwa ,au unataka kum'baka.
 
Anza kumpa hela kila ukikutana nae mpe hela, muombe na no ya simu uwe unamtumia kwa mpesa, kutongoza huwezi hata kutoa pesa ushindwe!

Utasababisha jamaa awe buzi la kuchunwa maisha yake ,yaani waanawake wengine mnazamisha ,kuzungumza nae hajaweza atakwenda na mihela tu .hela hainunui mapenzi !
 
Kwani siku hizi kuna habari za kutongoza kama enzi zile ?. Ninachojua mimi kutongoza siku hizi ni inshu nyepesi sana sio kama enzi nzetu unajipanga kutoa mistari ya kufa mtu na uongo ndio ulikuwa unashika nafasi kubwa sana, siku hizi nijiuavyo mimi hata kama huna pesa lakini unaweza kumpata demu yoyote yule umtakaye na unagonga kiulaini, cha msingi hapa ni kuwa na uwezo wa kujiamini unapokuwa unaongea na mwanamke, epuka kujiongelea au kujipa misifa isiyo na maan, unachotakiwa wewe ni kumsifia msichana hasa kile kitu ambacho kimekuvutia toka kwake, hakuna jambo zuri wanapenda dada zetu kama kumwagiwa misifa, pia kumbuka kuwa msafi na mtanashati pindi unapokuwa karibu na huyo demu, mbinu zipo nyingi na inategemeana na mazingira mliyopo
Yahaya wa Jide ndo hii mbinu
 
kutongoza sio kazi ila ishu ni kupigwa kibuti mweeeeh inauma sana mi mwenyewe huwa natongoza kwa ku beep nikiona hamna dalili nasepa fasta sisubiri kupigwa kibuti,kibuti noma.
 
Mkonyeze konyeee,halafu muangalie machoni kwa huba sio chini ya dk 5 machoni mwake hata akigeuza macho wewe yafuate tu.....,halafu umtumie na kumpelekea maua(rose)
LMAO....ha ha ha teh

konyee konyeee
 
Haaaa haaa kumbe wewe ni kidume........ sasa hiyo Avator mbona mtihani sana shekhe....!!

nimmeipenda sana hiyo picha!

by the way, kwani aavatar ndo inatambulisha mtu?

ina maana wewe avatar yako inatuashiria wewe ni nanii!!!>>??

ohh sorry!
 
nimmeipenda sana hiyo picha!

by the way, kwani aavatar ndo inatambulisha mtu?

ina maana wewe avatar yako inatuashiria wewe ni nanii!!!>>??

ohh sorry!
teh teh. yah ni very handsome like my Avatar
 
Utasababisha jamaa awe buzi la kuchunwa maisha yake ,yaani waanawake wengine mnazamisha ,kuzungumza nae hajaweza atakwenda na mihela tu .hela hainunui mapenzi !
Ila inarahisisha mambo, kuna msemo unasema , penye uzio penyeza rupia
 
Back
Top Bottom