Dah!..kweli kutongoza habari nyingine..

Dah!..kweli kutongoza habari nyingine..

Mbona digital imerahisisha sana mkuu kwa nin unaogopa ....wakeup you man....imenikumbusha ile story jamaa anaogopa kumtokea demu akabidi aende kwa mganga wa kienyeji na kupewa dawa na hapo hapo kamfuata yule demu na kufanikiiwa kumpata aliporudi kwa mganga kumshukuru mganga kamwambia ile haikua dawa wala nini yalikua ni majivu nilikupa ....kwaio mkuu kua na ujasiri WA kumfuata kama vile umepewa dawa na mganga.
Umesomeka mkuu...ngoja nimwambie tu kama noma na iwe noma..
 
HATA CM YA MCHNA TU INATOSHA SANA.
Muombe namba cm kila cku 1x3(asbh+mchana+uck) mtumie sms,hata asipo jibu, 1week ataanza kujibu naye, wik 2 ongeza ujuz zaid eg (hv gd 9t come n share my dream),
 
sister Heaven on earth,

kumtokea binti unajua nako kunahitaji moyo wa chuma kwa baadhi ya watu!

na hata ile stage ya kujenga mazoea nako ni issue!!

na hii si kwa men tu, mabinti nao huhangaika mpaka kutumiana wao kwa wao!

nyie wenyewe mnasema kutongoza ni rahisi saaaaaaaaaana....

tena kwa madem wa sasa...ndo maana nikamwambia hivo unajua kama

unampenda mtu kwa dhati its not that easy....that one I do understand
 
hahahaaa!!!

aisee umenikumbusha mbali sana kipindi changu cha foolish age!!

siku hiyo nilisema ngoja nitongoze kwa vitendo!!

binti wa watu masikini alihangaika mbele za watu utafikiri anakabwa shingo!

kila anapogeuka anakuta ninae tu na mimacho yangu!!!!!!!

mbona alikuja wmenyewe bila kuitwa!!!

namba yangu akaichukua mwenyewe bila kusita!

wala hata mnyamwezi sikuhangaika kusema mie!
Haaaa haaa kumbe wewe ni kidume........ sasa hiyo Avator mbona mtihani sana shekhe....!!
 
Wasaalam wakuu...nimeamini hakuna kitu kigumu kwa mwanaume kama kutongoza..yaani haina uzoefu wala nini...kuna mrimbwende mmoja amefanikiwa kuuteka moyo wangu lakini dah!..jinsi ya kumuanza inakuwa ngumu cuz sina mazoea nae..na hata nikijipanga mnyamwezi nimtemee madini..najikuta nanyong'onyea nikimuona na nashindwa kumweleza..sijui ndio udomozege unanirudia...yaani kidume mzima namwogopa mtoto wa kike...?..kweli kutongoza noma.
Usiwe na haraka, msome taratibu usimtamkie fasta, jaribu uwe unacheza karibu naye ikitokea chance tu ya japo kupiga naye story jaribu kupiga story unazo hisi anapendelea kwa mfano wanawake wengi wanapenda kusifiwa kwamba wazuri balaa hata kama anajijua ni wa kawaida endelea kufanya hivyo mdogo mdogo then unaweza ukamwambia hata baada ya miezi kadhaa kupita, hii haita mstua maana anafahamu kwamba wewe umechanganyikiwa kwake mda mrefu, hii ni kwa wanawake makini tu, lakini kama ni kimeo kuna aproach kibao ikiwemo kutumia pesa tu
 
Wasaalam wakuu...nimeamini hakuna kitu kigumu kwa mwanaume kama kutongoza..yaani haina uzoefu wala nini...kuna mrimbwende mmoja amefanikiwa kuuteka moyo wangu lakini dah!..jinsi ya kumuanza inakuwa ngumu cuz sina mazoea nae..na hata nikijipanga mnyamwezi nimtemee madini..najikuta nanyong'onyea nikimuona na nashindwa kumweleza..sijui ndio udomozege unanirudia...yaani kidume mzima namwogopa mtoto wa kike...?..kweli kutongoza noma.
Anza kwa kutafuta namba yake ya simu, then vinafuata vi-sms vya hapa na pale...
 
we kuna ambaye unaogopa kumsaliti!!!! ila kama upo lonely ukimwona mpehi kila umwonapo na ukifautiwa na story za hapa na pale.. alfu usichukue serious kama unaomba kazi vile si sawa...
 
Huenda ata kukonyeza huwezi pia hahaha nakutania bwana!fanya hivi jembe kanyonye yale maji yetu kidogo halafu muibukie hatoki huyo!

usinyonye bwana nenda mkavu tu iliujiaminishe kama we ni kidume kweli?
 
Acha chenga wewe, unashndwaje sasa----------
 
mbona rahisi pita mbele yake uku umeshika note za elfu kumi kumi jifanye kama unaziesabu esabu alafu pita kwake kwa mara pili lazima akuite na atakutongoza mwenyewe
 
Back
Top Bottom