Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
[h=6]Ungekuwa wewe ungefanyeje? Kutokana na ukware wako unamuaga mkeo kuwa hutarudi nyumbani mana umetingwa na kazi ofisini kumbe sio. Jioni inafika unaendagesti na kukodi chumba, kisha unamuagiza mhudumu akutafutie mwanamke wa kulala naye. Mhudumu anaenda kukutafutia mwanamke ila kwa bahati mbaya wakati anamleta kwako umeme unakatika, mwanamke anaingia chumbani kwako na ghafla umeme unarudi na kumuangalia unagundua kuwa ni mke wako! Ungefanyaje kama ungekuwa ww?[/h]