Mungu wetu atusaidie sana maana kifo ki karibu ye2
Ni vigumu kuamini lakini inatubidi kusadiki
Baada ya kusadiki ya kwamba tunapoteza watu muhimu na vijana zaidi tangu mwaka kuanza maana nkianza kukumbka kwa haraka ni vijana sita mpaka sasa wametutoka
1) Steven Kanumba 2) Mafisango 3) Daudi Mwangosi 4) Mariam Hamisi 5) Mlopero 6) Sharobaro
Na wengine nsiowafahamu lakini ww wawafaham yaweza kuwa ndugu, jamaa na marafiki
Jamani hawa wote walikuwa ni vijana na walikuwa na malengo yao makubwa kwa ajili yao na kwa taifa kwa ujumla. . . . . . . .
Dah inaniuma sana ila yote ni mapenzi ya Allah kilichobaki ni kuwaombea 2 wapumzike kwa Amani
Ni vigumu kuamini lakini inatubidi kusadiki
Baada ya kusadiki ya kwamba tunapoteza watu muhimu na vijana zaidi tangu mwaka kuanza maana nkianza kukumbka kwa haraka ni vijana sita mpaka sasa wametutoka
1) Steven Kanumba 2) Mafisango 3) Daudi Mwangosi 4) Mariam Hamisi 5) Mlopero 6) Sharobaro
Na wengine nsiowafahamu lakini ww wawafaham yaweza kuwa ndugu, jamaa na marafiki
Jamani hawa wote walikuwa ni vijana na walikuwa na malengo yao makubwa kwa ajili yao na kwa taifa kwa ujumla. . . . . . . .
Dah inaniuma sana ila yote ni mapenzi ya Allah kilichobaki ni kuwaombea 2 wapumzike kwa Amani