Dah! I got into everlasting pain

Dah! I got into everlasting pain

Pritty wa joseph

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
2,379
Reaction score
2,051
pain often make us be strong but sometimes better a dogs than human being , I can not describe how I hurting, I am MC of the weddings, though not so much, x wangu alituma watu waje wanikodi with big offer without me knowing, I asked to be schedule in advance and led me around I got the day falling in the courtyard , lol come back to read the names nkakuta jina la x wangu na jina la binti aliyenipindua, I had no way out zaidi yakufanya lililonipeleka, dah wakuu nimeumia sana
 
Ts hurts kwa kwel pole sana...but i find u bold enough kuendelea kufanya kilichokupeleka mi nisingeweza.
 
Huyo ex wako hajakua akili.
Msamehe bure tu

Kwa kumkomesha kwenye harusi mwanzo mwisho wapigie ccm ni ile ile

Anyway

Jitoe waambie hutoweza kufanya hiyo kazi watafute mtu mwengine

Mkuu nilifanya, it was last week jumamosi kuamkia jumapili
Sikuwa najinsi
 
Ningekuwa mimi ndio wewe ningeongea na dj wimbo wa Toni Braxton He wasn't man enough utawale shughuli yote....
Huku nikiuimba vipande vipande kwa mbwembwe,mbona wangekoma?

Wangejuta kukupa kisemeo loh!!!

Lakin inaumaa
 
Ningekuwa mimi ndio wewe ningeongea na dj wimbo wa Toni Braxton He wasn't man enough utawale shughuli yote....
Huku nikiuimba vipande vipande kwa mbwembwe,mbona wangekoma?

Hahhaahhaha dah nifah u made my night nimecheka sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom