Hata mimi nimemshangaa sana huyu mtoa mada kumuita EL muongo,sijui nani mkweli kwake ktk hao watia nia? Tena kwa usalama wa ccm ni bora wakampitisha EL,wakijichanganya tu wakamuacha ndo mwisho wa ccm na inaenda kuzikwa rasmi,asiyeamini asubiri kuamini,nani sasa wa kusimama kwa ccm? Membe? Membe ataligawa taifa vipande vipande,anataka TZ iungane na OIC ya waislamu na ndo ndoto zake kubwa,taifa lisilo na dini kuja kuingiziwa udini,itatugharimu sana.
Mkuu, Mzee23 yuko sahihi kabisa. Wakati anatangaza nia Arusha alisema tatizo la foleni Dar atalimaliza ndani ya miezi 12 lakini akiwa Dar amesema atalimaliza ndani ya miezi 6 tu!!!hapana. nilimsikia ni miezi sita mkuu
Dah! unaona sasa? kama network yake inazingua sasa hivi itakuwaje akishakaa pale ikulu?Mkuu, Mzee23 yuko sahihi kabisa. Wakati anatangaza nia Arusha alisema tatizo la foleni Dar atalimaliza ndani ya miezi 12 lakini akiwa Dar amesema atalimaliza ndani ya miezi 6 tu!!!
Jambo la kwanza alisema ataanza na elimu.
Hii alisema alpokuwa anatangaza nia arusha
Mkuu, Mzee23 yuko sahihi kabisa. Wakati anatangaza nia Arusha alisema tatizo la foleni Dar atalimaliza ndani ya miezi 12 lakini akiwa Dar amesema atalimaliza ndani ya miezi 6 tu!!!