Kashaulo
JF-Expert Member
- Jun 14, 2019
- 2,903
- 4,869
Ni gani hii mlamu!Kama mimi navyo shangaa mtu anakunywa wind hook 5 au kumi naona si level yangu ya kilimanjaro.
Ni gani hii mlamu!Kama mimi navyo shangaa mtu anakunywa wind hook 5 au kumi naona si level yangu ya kilimanjaro.
kaka siku hizi wanaokula windhoek wachache sana mimi pub ya kitaani hapa ni mwendo wa serengeti lite 1500Kama mimi navyo shangaa mtu anakunywa wind hook 5 au kumi naona si level yangu ya kilimanjaro.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Na mkononi kashika samsung A50,amepanga chumba kodi 50000 kwa mwezi ndani ana kila kitu.halafu utamsikia anaimba wimbo "teenda miujizaaa,Yesu teenda miujizaaa",wakati miujiza kashaitenda mwenyewe😂😂😂
Siyo kuweka bank tu,utakuta na nyumba anajenga...utashangaa hiyo 30,000 anachezea upatu na ikifika zamu yake anaweka bank.
Mjini shule.
damn itManager wa Bar ndiyo balaa zaidi. Anaweza kuishi kwa "kuwauza" barmaids. Kila barmaid anayeopolewa analipa buku kumi counter. Akiwauza angalau watano kwa siku? Mmoja anaweza kuuzwa mara mbili kwa siku.
Si ndio watoaji wa hizo hela tip.....Nyie wanaume wenzangu humu mbona mnajieleza vizuri namna wauza bar wanavyopata pesa?
Maana sijaona mdada muuza bar akitoa ushuhuda ila ni wanaume.
maisha bana, mi kuna sehem nilikuwa nafanya kazi, nalipwa 150,000/ per month, ilikuwa inabaki na akiba naweka, na niko na mke .Arusha Niliwahi kufanya kazi ya kulipwa 120k kwa mwez lakin bado ilikuwa ndogo kwangu and a kuigawa, Nikahamia moshi nikafanya tena kAzi ya 250k /month lakin pia bado ikawa ndogo, Nikapata tena kazi sehem ingine need kawa napokea 600k /month lakin pia ikawa bado ndogo kwangu. Sijui wabongo uwa tunakosea wapi, uwa tunashindwa kupangA bajeti ama nin.
Jamaa yangu analipwa 1.2 million per month lakin ilikuwa ni heri na maisha yangu.
Kumbe laki ni pesa😄😄😄maisha bana, mi kuna sehem nilikuwa nafanya kazi, nalipwa 150,000/ per month, ilikuwa inabaki na akiba naweka, na niko na mke .
[SUP]Hiyo nyongeza haiendi bure. Hulipiwa kwa njia moja au nyingine.[/SUP]Huwa tunajitahidi kuongeza bill kwa wateja