dada zetu thamani ya mapaja ndio basi?

dada zetu thamani ya mapaja ndio basi?

Ni wewe ama??...usinambie unavaa kimino!!

..mie mpenzi wa suruali ingawa napenda kuona wadada wakiachia mapaja....haswa akiwa maji ya kunde.....paja linakuwa limeng'aa zaidi mashalaaaaaah..
 
habari za jioni wanajamii? Nipo kwenye daladala natoka kwenye mihangaiko yangu hapa maeneo ya ubungo
kuna dada kaka jirani yangu kavaa umini a.k.a mini skirt wa kufa mtu na umepanda hadi taiti yake nyeupe inaonekana ila ye' haonekani hata kujali hiyo hali na sio kwamc hajui.
Jamani imefikia hau thamani ya mapaja na maziwa ya dada zetu kushuka thamani hivyo!? Kina kaunga na lara nangoja hoja zenu bila kusahau Preta na smile

Biashara itembezwayo ndiyo ionekanayo! Asipotangaza utajuwaje kuwa hiyo ni biashara.
 
Back
Top Bottom