Mshiki hebu soma vizuri hapo kwa red
Kifupi ukipewa lift na usiyemjua afu ukakubali.......... iwe Yaeda, Ngaramtoni, Machame, Kinondoni au Mwanza.... Kishaliwa huyo!
Ni sawa na mhudumu wa Bar anapompa mlevi namba yake ya simu, ujue kishakubali kumvulia pichu.
Hv inakuweje we Dada,Umesimama kituoni, Mwanaume nasimamisha Gari from no where, nakupigisha story 2 3 mwisho wa siku unaishia kuingia garini as a lift
Msinibishie coz nshawapa lift wa Dada zaid ya 10 Kwa style hiyo hiyo.....
Mkuu we kwani Dini gani?Bramo inaelekea we pia huwa unapenda kutoa lifti..maana kitu gani kinakupeleka na kuanza kumpigisha story huyo mdada? Au na wewe ni wale macho juu juu?
Wenzio pia tuna magari lakini kanuni ni kwamba,mtu kama sikujui No kupanda..
Utabakia kutoa macho tu,labda uwe na mtu ninayemjua.
Amin Amin nakuambia mwaJ, Mwanamke akiona mwanaume anaendesha gari hata kama ni DFP, SU, STK akapewa lift akakubali.......... Ni uamuzi tu wa dereva akafanye naye nini?
Wanawake wengi wamelogewa GARI!! Period!!
Mkuu we kwani Dini gani?
Hv inakuweje we Dada,Umesimama kituoni, Mwanaume nasimamisha Gari from no where, nakupigisha story 2 3 mwisho wa siku unaishia kuingia garini as a lift
Msinibishie coz nshawapa lift wa Dada zaid ya 10 Kwa style hiyo hiyo.....
Unapompa Mwanamke si unakuwa na lako jambo? Hata hao wanawake si wanaomba kama wanavyoomba wanaume? Labda mimi bado sijaelewa hapa...Naomba ufafanuzi MkuuWe mwanaume unaanza vp kumpa lift mwanaume mwenzio unless kakuomba, otherwise utakuwa na lako Jambo wewe...
Mie niemestick pale ulipo mention kuwa huwaga unatoa lift kwa wanaume though Asprin kaahid kuleta mada iliyoshehen hii content, je wanaume huwaga wanakuomba lift au wewe huwaga unasimama, unawapigisha story 2 3 then wanajipakia garin as alift, ni hayo tu MkuuUnapompa Mwanamke si unakuwa na lako jambo? Hata hao wanawake si wanaomba kama wanavyoomba wanaume? Labda mimi bado sijaelewa hapa...Naomba ufafanuzi Mkuu
jaribu kutoa lift Yaeda uone ka kuna mtu atapanda......nani wa kunyonyesha kobe......