Ndio anachofanya huyu mwenzenu, anasimamisha gari ili wakate kupanda.
Yaani vivulana vya miaka 35 vinaudhi
Kwa hiyo, ulikuwa unasimamisha gari na kutoa macheno kadhaa ili wakatae???
Uba.zazi jamani ni mzigo, ni sawa na kuoa afu unamchenga mkeo[/QUOTE]
hapo kwenye blue,,,,UNAMCHENGA ina maana zaid ya 1,wewe umekusudia ipi,na kama unadhan ina maana 1 fafanua hiyohiyo,
kwangu mimi una mchenga ina maana una-make love na mkeo,pia una mchenga ndo vile unamkwepa,maana ya 1 ni rejesta,ya 2 ni maana rasmi
sasa wewe ulikuwa hujui kuwa gari ndio kisu cha kunchinjia mwanamke? ndio maana vijana siku hizi wakipata kazi wanachukuwa mikopo na kununua gari ili waweze kudadavua mademu kwa wingi.
Amin Amin nakuambia mwaJ, Mwanamke akiona mwanaume anaendesha gari hata kama ni DFP, SU, STK akapewa lift akakubali.......... Ni uamuzi tu wa dereva akafanye naye nini?
Wanawake wengi wamelogewa GARI!! Period!!
Kwani hao uliowapa lift wapo humu mpaka unasema wasikubishie? Kwanza wewe unawapigia story za nini kama hupendi wapande lift yako?
jaribu kutoa lift Yaeda uone ka kuna mtu atapanda......nani wa kunyonyesha kobe......
hapo kwenye blue,,,,UNAMCHENGA ina maana zaid ya 1,wewe umekusudia ipi,na kama unadhan ina maana 1 fafanua hiyohiyo,
kwangu mimi una mchenga ina maana una-make love na mkeo,pia una mchenga ndo vile unamkwepa,maana ya 1 ni rejesta,ya 2 ni maana rasmi
Hahaha mwaJ , najua wawakilishi wao hawakosekan humu ndani, kuhusu kuwapigisha Story, wanaume ndivyo tulivyoumbwa Dadaaangu.Kwani hao uliowapa lift wapo humu mpaka unasema wasikubishie? Kwanza wewe unawapigia story za nini kama hupendi wapande lift yako?