Dada zetu Mna Mambo!

Kuna mahali elimu yetu ya tanzania ilikatikia. Hebu angalia hivi vitu akina mmm na wenzake wanaleta hakuna hata kijana mmoja aliyesoma miaka ya hivi karibuni anafua dafu.
 
samahani una copyright kutoka kwa M.M. Mwanakijiji au ndo kibongo bongo..BASATA muu wapi?...
mwendo wa kibongo tu ukiona kinachokuvutia na wewe unaiga unagonga kopi na kupiga seli tena kwa kuwa hukuhangaika kutunga chochote unafaidika kuliko muhusika
 
Mzee Mwanakijiji umenifurahisha kwa Mashairi ya kina, thanx so much, nadhani ushauri umewafikia!
 
Vidole vinaniuma, kalamu naiachia,
Nililotaka kusema, hilo nimewaambia,
Hivyo kutama natama, miye nawabarikia,
Dada zetu mna mambo, mambo yenye vijimambo!

another masterpiece from mmm.......................beti ni nyingi sitashangaa baadhi yetu tukiishia njiani katika kuzisoma................
 
Nakumbuka mashairi ya zamani '
sungura karuka ruka lakini hakufikia
matunda hakuyashika mikononi hakutia
hakika alisumbuka nguvuze zikapungua
nguvuze zikapungua sungura namwambia

sizitaki mbichi hizi sungura akagumia
naona nafanya kazi bila faida kujua
yakamtoka machozi matunda akalilia
matunda akalili sungura nakwambia ...

mashairi haya nimeyasoma darasa la tatu au nne na sikuelewa maana yake, maana yake nilianza kuitumia nilipokuwa secondary, mvulana anakutaka ukikataa anaanza ooh kwanza demu gani, sura mbaya, miguu imepinda n.k. hapo ndi nilikuwa nakumbuka kuwajibu.. sawa sizitaki mbichi hizi umerukia weee umezikosa ndio unagundua mbichi?? siku hizi hakuna vitabu vya aina hiyo.
 

Dada zetu mwatutega, twategwa tukategeka,

Mikogo mnayomwaga, twajikwaa twaanguka,
Na nyuma mkigeuka, toba! Tunanusurika,
Dada zetu mna mambo, mambo yenye vijimambo.

ukitegwa ukategeka.....usiwalaumu watoto wa watu.......................ni wewe tu na tamaa zaki ndizo zinakuingiza kingi..........................
 
Dada zetu twawapenda, Bila ninyi tunakonda,
Kila siku zikienda, twajuta tunayotenda,
Msiache kutupenda, twapenda mnavyopenda,
Dada zetu mna mambo, mambo yenye vijimambo!

tatizo la mwanamke siyo kupenda ila kukuheshimu....................ndiyo shughuli.......................kwetu kupenda ndiyo kazi kubwa kweli........tuasemayo mara nyingi wala hayapo moyoni...............................we are born liars..........so gals watchout when I tell you I love you very much........in fact I mean that I want to ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,you very much..................................
 
Wengine mwavumilia, na miaka inapita,
Watoto kutukuzia, kumbe mioyo yajuta,
Na siku ikifikia, na ninyi mbele mwapeta,
Dada zetu mna mambo, mambo yenye vijimambo!

hii siyo kweli kamwe mwanamke hakukuzii wewe mtoto ila anajikuzia yeye mwenyewe mtoto wake.........................chunguza na utabaini hili ni kweli kabisa.............
 
Mwanakijiji Hongera kwa shairi zuri umenikumbusha vituko vya Mwanameka!!

OMG... umenikumbusha mbali jamani mwanameka.. niliandika mashairi ya wimbo nyuma kwenye daftari somo la mwl wa kike aliekuwa na tabia hz za mwanameka jamani nilichapwa mbele ya shule na adhabu ya kusafisha choo mwezi mzima na mzazi aliitwa, sina hamu
 
tatizo la mwanamke siyo kupenda ila kukuheshimu....................ndiyo shughuli.......................kwetu kupenda ndiyo kazi kubwa kweli........tuasemayo mara nyingi wala hayapo moyoni...............................we are born liars..........so gals watchout when I tell you I love you very much........in fact I mean that I want to ,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,you very much..................................[/QUOTE]

kheee yamekuwa hayo tena, asante kwa taarifa RUTA
 
Mwanakijiji nashindwa hata kuku-define. Umeshehena utaalam wa kila aina. Inawezekana hata naniii ni mtaalam vilevile nini??
 
Back
Top Bottom