Acha ku comment upumbavuUkimwi utaupata tu endapo utaenda kuupima, usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Tafuta documentary YouTube inaitwa " HOUSE OF NUMBERS", ina zaidi ya saa 1 lakini iangalie mara kadhaa utaelewa hii Dunia inavyoendeshwa. Story za UKIMWI na woga kuhusu HIV vimebakia Africa na nchi tegemezi. Hizo campaign zilisha expire siku nyingi kwenye nchi zenye taarifa zaidi. Maisha ni hayahaya acha watu waishi maisha wanayoona yanawafaa ilimradi hawavunji sheria yoyote. Ukiamua kuishi kwa uoga ni wewe, ila usiwatishe watu.
Ko apo mwamba we utaki kusikia habari za kupima ni mwendo wa kulowekaAmekutext Dm mtandaoni Ukamuuliza wewe nani.?🤔 Akakujibu jina 😊ukamuuliza okay una shida gani .?😏 Akakujibu ningependa Tuwe Marafiki kama utojali🤗
Ukasema Ngoja Niingie Profile Yake✋ ukaangalie picha Zake 😀Ukaona Mara Yupo Na Range 🚘 Anaonekana Jamaa mmoja mwenye uwezo 🤔
Akakuombanqmba ya sim na wewe bila kusita ukampa 🙌After 1day akakuomba muonane ukamwambia Huna nauli 🥴 Bila Kuchelewa Sms ya M-PESA Ikaingia kwenye sim yako 200,000 kakutumia na ni nauli tyu hiyo ingawa unapotoka hapazidi hata 20,000😀
Ukasema mambo yasiwe mengi ukajiremba mwenyewe 😀Ukajipulizia na marashi ya kunukia vizuri 😀ukaweka make up 🥰bila kuchelewa ukarequest usafiri ukapanda
Baada ya massage kadhaa ukafika alipokuelekeza akakuchukua kwaaajili ya Lunch na kukupeleka hotel nzuri🙂 Akakushika mkono na kukufanya ucheke muda wote kwa vituko vyake😂
Ukafall in Love hapohapo utadhani mmejuana kwa miaka 😀😀Akakuchukua Mpaka HOTEL mkaingia ndani 🛏️ Kimahaba😘Ukapenda The Way alivyo romantic,nguvu na ujasiri 🤓ukajisikia secure ukiwa nae😃
Ukajua kabisa kuwa unachoenda kufanya sio sahihi lakini ukajisikia poa tu ukamwambia Atumie KINGA , Akakuambia it's too late babe 😎ukasema Okay ukutaka kumsumbua 😟
Akakuambia Anakupenda ukusita kumwambia unampenda pia🥰Eenh Ukavua Nguo tena Mwenyewe 😀MKANYANDUANA kwa style zote😊😂Akakubusu katika shavu Lako Kisha Akakuambia Nimefurahi Nimekuwa na wewe muda mzuri na wewe☺️
Akachukua wallet yake akakupa 300,000 na wakati huoalikutumia 200,000🤗Ukatabasamu kisha Akakuambia mjiandae ukapanda uku ukimuaga kwa tabasamu zito😀 ulipofika Nyumbani ukamtumia message kuwa umefika kimya😶 Ukampigia namba I Inatumika 🤔Unaingia WhatsApp unamuona Online 🤔Ukamtext "Babe"dakika chache baadae umuoni WhatsApp Unaona Kivuli tyu AMEKUBLOCK 😂😂na kawaida ukimpigia kakublock unabaki unajiuliza kwanini🤔
Ukasema it's okay atajua Mwenyewe😝 siku, week,miezi,ikapita unaanza kujisikia homa homa 😕mchovu 😨Uzito umepungua na utando mdomoni
Unaenda kituo cha Afya kupima 💊💉Nusu saa daktari anaingia 🙂pole sana dada language una maambukizi ya virusi vya Ukimwi na ni mjamzito vile vile🙁😭😭😭 MIMBA+HIV??🥺😲how😲
Hauelewi 😲hauamini😱 Unarudi Nyumbani ukiwa na hours kubwa😰unaona Kifo Hiki hapa😭 Unatazama Angani Unaona Mwisho Wako 😭😭😭😭unajuta Kumuamini mtu kirahisi Ivyo 😰😰 Unatamani Muda ungerudi nyuma Lakini ndio ivory inakuwa too late 😕unajiuliza Ulikosea Wapi upati majibu 😰HIV umepata na MIMBA umepata isitoshe aliekupa kakukimbia😕SAD😭
Dear ladies msiwe kama huyu 🙏ishi vizuri hapa Duniani acheni kutamani Material things ,kuwa mwanamke ambae ungependa Mwanao Aje kuwa mtoto mzuri na ndio wazazi wetu walitufundisha 😕😕Ishi Maisha yanayompendeza MUNGU pekee Na Sio Binadamu 🙏😕Vitabu vya dini vinasema "MSIAMINI KILA ROHO ILA ZICHUNGUZENI IZO ROHO KAMA ZIMETOKANA NA MUNGU "MKE +MUME anatoka kwa MUNGU 🙏 usisahau maagizo ndio silaha ya ushindi
🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Benjamin Edward Lukumay
🤣🤣🤣🤣Ukimwi utaupata tu endapo utaenda kuupima, usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Tafuta documentary YouTube inaitwa " HOUSE OF NUMBERS", ina zaidi ya saa 1 lakini iangalie mara kadhaa utaelewa hii Dunia inavyoendeshwa. Story za UKIMWI na woga kuhusu HIV vimebakia Africa na nchi tegemezi. Hizo campaign zilisha expire siku nyingi kwenye nchi zenye taarifa zaidi. Maisha ni hayahaya acha watu waishi maisha wanayoona yanawafaa ilimradi hawavunji sheria yoyote. Ukiamua kuishi kwa uoga ni wewe, ila usiwatishe watu.
Huwezi kuelewa ila kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa MPUMBAVU ila hujui kama ni MPUMBAVU. Ruhusu fikra huru kujua usiyoyajua. Wakati Magufuli anawashtua watu kuhusu COVID-19, wengi walimshangaa sana baadae Dunia mzima ikaelewa. Mpiga debe wa H.I.V, AIDS etc anaitwa Robert Gallo na yupo hai. Mambo mengine yamewazidi kimo kwasababu uelewa wenu ni mdogo. Hata nikikwambia fikiria nje ya box huwezi kuelewa kwasababu akili yako imeshikiliwa na ni hivyohivyo kwa zaidi ya 90% ya watu(binadamu duniani). Ila naamini siku moja utaelewa. Narudia tena usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Hiyo sentence inahitajika uwe na akili kuweza kuielewa, kama reasoning capacity yako ni ndogo huwezi kuelewa kamwe. NEVER.Acha ku comment upumbavu
Dada Mupirocin hivi unajuwa maana ya chambo ni nini? HAKUNA mwanamme anayetoa hela na kumpa mwanamke bila malengo, utazinya tu hizo hela tena kwa taabu. Tamaa za kijinga na kukata tamaa na maisha kunawaangamiza sana kina dada. Mwanamke unashindwaje kujiuliza kuwa hauna mchango wowote kwa maendeleo ya mwanamme halafu yeye akupe tu hela bila sababu, huoni kama ni mtego kweli?Amekutext Dm mtandaoni Ukamuuliza wewe nani.?🤔 Akakujibu jina 😊ukamuuliza okay una shida gani .?😏 Akakujibu ningependa Tuwe Marafiki kama utojali🤗
Ukasema Ngoja Niingie Profile Yake✋ ukaangalie picha Zake 😀Ukaona Mara Yupo Na Range 🚘 Anaonekana Jamaa mmoja mwenye uwezo 🤔
Akakuombanqmba ya sim na wewe bila kusita ukampa 🙌After 1day akakuomba muonane ukamwambia Huna nauli 🥴 Bila Kuchelewa Sms ya M-PESA Ikaingia kwenye sim yako 200,000 kakutumia na ni nauli tyu hiyo ingawa unapotoka hapazidi hata 20,000😀
Ukasema mambo yasiwe mengi ukajiremba mwenyewe 😀Ukajipulizia na marashi ya kunukia vizuri 😀ukaweka make up 🥰bila kuchelewa ukarequest usafiri ukapanda
Baada ya massage kadhaa ukafika alipokuelekeza akakuchukua kwaaajili ya Lunch na kukupeleka hotel nzuri🙂 Akakushika mkono na kukufanya ucheke muda wote kwa vituko vyake😂
Ukafall in Love hapohapo utadhani mmejuana kwa miaka 😀😀Akakuchukua Mpaka HOTEL mkaingia ndani 🛏️ Kimahaba😘Ukapenda The Way alivyo romantic,nguvu na ujasiri 🤓ukajisikia secure ukiwa nae😃
Ukajua kabisa kuwa unachoenda kufanya sio sahihi lakini ukajisikia poa tu ukamwambia Atumie KINGA , Akakuambia it's too late babe 😎ukasema Okay ukutaka kumsumbua 😟
Akakuambia Anakupenda ukusita kumwambia unampenda pia🥰Eenh Ukavua Nguo tena Mwenyewe 😀MKANYANDUANA kwa style zote😊😂Akakubusu katika shavu Lako Kisha Akakuambia Nimefurahi Nimekuwa na wewe muda mzuri na wewe☺️
Akachukua wallet yake akakupa 300,000 na wakati huoalikutumia 200,000🤗Ukatabasamu kisha Akakuambia mjiandae ukapanda uku ukimuaga kwa tabasamu zito😀 ulipofika Nyumbani ukamtumia message kuwa umefika kimya😶 Ukampigia namba I Inatumika 🤔Unaingia WhatsApp unamuona Online 🤔Ukamtext "Babe"dakika chache baadae umuoni WhatsApp Unaona Kivuli tyu AMEKUBLOCK 😂😂na kawaida ukimpigia kakublock unabaki unajiuliza kwanini🤔
Ukasema it's okay atajua Mwenyewe😝 siku, week,miezi,ikapita unaanza kujisikia homa homa 😕mchovu 😨Uzito umepungua na utando mdomoni
Unaenda kituo cha Afya kupima 💊💉Nusu saa daktari anaingia 🙂pole sana dada language una maambukizi ya virusi vya Ukimwi na ni mjamzito vile vile🙁😭😭😭 MIMBA+HIV??🥺😲how😲
Hauelewi 😲hauamini😱 Unarudi Nyumbani ukiwa na hours kubwa😰unaona Kifo Hiki hapa😭 Unatazama Angani Unaona Mwisho Wako 😭😭😭😭unajuta Kumuamini mtu kirahisi Ivyo 😰😰 Unatamani Muda ungerudi nyuma Lakini ndio ivory inakuwa too late 😕unajiuliza Ulikosea Wapi upati majibu 😰HIV umepata na MIMBA umepata isitoshe aliekupa kakukimbia😕SAD😭
Dear ladies msiwe kama huyu 🙏ishi vizuri hapa Duniani acheni kutamani Material things ,kuwa mwanamke ambae ungependa Mwanao Aje kuwa mtoto mzuri na ndio wazazi wetu walitufundisha 😕😕Ishi Maisha yanayompendeza MUNGU pekee Na Sio Binadamu 🙏😕Vitabu vya dini vinasema "MSIAMINI KILA ROHO ILA ZICHUNGUZENI IZO ROHO KAMA ZIMETOKANA NA MUNGU "MKE +MUME anatoka kwa MUNGU 🙏 usisahau maagizo ndio silaha ya ushindi
🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Benjamin Edward Lukumay
Jaribu kuficha ujinga wako mkuuHuwezi kuelewa ila kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa MPUMBAVU ila hujui kama ni MPUMBAVU. Ruhusu fikra huru kujua usiyoyajua. Wakati Magufuli anawashtua watu kuhusu COVID-19, wengi walimshangaa sana baadae Dunia mzima ikaelewa. Mpiga debe wa H.I.V, AIDS etc anaitwa Robert Gallo na yupo hai. Mambo mengine yamewazidi kimo kwasababu uelewa wenu ni mdogo. Hata nikikwambia fikiria nje ya box huwezi kuelewa kwasababu akili yako imeshikiliwa na ni hivyohivyo kwa zaidi ya 90% ya watu. Ila naamini siku moja utaelewa. Narudia tena usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Hiyo sentence inahitajika uwe na akili kuweza kuielewa, kama reasoning capacity yako ni ndogo huwezi kuelewa kamwe. NEVER.
Huwezi kuelewa ila kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa MPUMBAVU ila hujui kama ni MPUMBAVU. Ruhusu fikra huru kujua usiyoyajua. Wakati Magufuli anawashtua watu kuhusu COVID-19, wengi walimshangaa sana baadae Dunia mzima ikaelewa. Mpiga debe wa H.I.V, AIDS etc anaitwa Robert Gallo na yupo hai. Mambo mengine yamewazidi kimo kwasababu uelewa wenu ni mdogo. Hata nikikwambia fikiria nje ya box huwezi kuelewa kwasababu akili yako imeshikiliwa na ni hivyohivyo kwa zaidi ya 90% ya watu(binadamu duniani). Ila naamini siku moja utaelewa. Narudia tena usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Hiyo sentence inahitajika uwe na akili kuweza kuielewa, kama reasoning capacity yako ni ndogo huwezi kuelewa kamwe. NEVER.Jaribu kuficha ujinga wako mkuu
Acha ujingaHuwezi kuelewa ila kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa MPUMBAVU ila hujui kama ni MPUMBAVU. Ruhusu fikra huru kujua usiyoyajua. Wakati Magufuli anawashtua watu kuhusu COVID-19, wengi walimshangaa sana baadae Dunia mzima ikaelewa. Mpiga debe wa H.I.V, AIDS etc anaitwa Robert Gallo na yupo hai. Mambo mengine yamewazidi kimo kwasababu uelewa wenu ni mdogo. Hata nikikwambia fikiria nje ya box huwezi kuelewa kwasababu akili yako imeshikiliwa na ni hivyohivyo kwa zaidi ya 90% ya watu(binadamu duniani). Ila naamini siku moja utaelewa. Narudia tena usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Hiyo sentence inahitajika uwe na akili kuweza kuielewa, kama reasoning capacity yako ni ndogo huwezi kuelewa kamwe. NEVER.
Mkuu mara nyingi sana, anayehisi mwerevu kuna uwezekano akawa mjinga na MPUMBAVU. Nimefanya research kuhusu H.I.V - A.I.D.S zaidi ya miaka 15, hakuna ninachoongea kwa bahati mbaya. Ninajua ninachokisema, hata nikiandika kitabu Page 100 wengi hamtaelewa sababu mmeshikwa akili kwa miaka mingi. Ndo maana natoa sentence moja wenye akili muanzie hapo, usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote, tafuta documentary YouTube inaitwa HOUSE OF NUMBERS ina zaidi ya saa 1 iangalie. Anzia hapo mengine utajiongeza. Ila usizoee kujiona una akili na kutukana usiowajua. Waweza kukuta wewe ndo mjinga zaidi.Jaribu kuficha ujinga wako mkuu
Mkuu wewe ni Deception?Huwezi kuelewa ila kuna uwezekano mkubwa wewe ukawa MPUMBAVU ila hujui kama ni MPUMBAVU. Ruhusu fikra huru kujua usiyoyajua. Wakati Magufuli anawashtua watu kuhusu COVID-19, wengi walimshangaa sana baadae Dunia mzima ikaelewa. Mpiga debe wa H.I.V, AIDS etc anaitwa Robert Gallo na yupo hai. Mambo mengine yamewazidi kimo kwasababu uelewa wenu ni mdogo. Hata nikikwambia fikiria nje ya box huwezi kuelewa kwasababu akili yako imeshikiliwa na ni hivyohivyo kwa zaidi ya 90% ya watu(binadamu duniani). Ila naamini siku moja utaelewa. Narudia tena usipopima ukimwi huwezi kuwa nao maisha yako yote. Hiyo sentence inahitajika uwe na akili kuweza kuielewa, kama reasoning capacity yako ni ndogo huwezi kuelewa kamwe. NEVER.
Shkamoo da shadi.Hii stye walikuwa wanaitumia wakubwa kutuasa miaka hiyo na kwa kiasi fulani tuliwaelewa.
Japo kwa sasa zama zimebadilika sana watu wanafanya yote hayo bila woga na baada ya hapo wakiona hawaelewi chap wanakimbilia pharmacy kununua dawa wanameza kuyakwepa maambukizi.
Kikubwa hapo ni hao walaghai watunze tu vibunda vyao.
Mkuu wewe ndo mjinga ila hujui kama mjinga, mimi sikurupuki kuongea kitu chochote, nimefanya research.Acha ujinga