Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,560
Balehe imekujia vibaya kijana
Uko form ngapi?Wakuu kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu hawa dada zetu mbona hawaeleweki?
Kuna mwanangu mmoja hana muonekano hana hela ila ni muhuni anavuta sigara lakini wanawake wanampenda mno awala sana yaani ghetto kwake mezani amepanga sigara.
Halafu kuna siku alimleta demu akampiga baadae aakaanza kuvuta sigara mbele ya demu lakini demu mkali akawa anacheka cheka hadi leo kamganda jamaa,
Dada zangu kwanini mnawapenda wanaume wahuni?
Aisee!Sio yule hata mkiwa mmekaa hata kugusa kidole cha mpenzi wake hawezi yupo kama dubwasha lakuwekea sigara, tupa kule
Sent using Jamii Forums mobile app
Ina maana waseminali wanatumika kama tairi ya akiba?Wahuni ni mitambo ya kutengeneza single mother na wana wagonga haswa, wale ndugu zangu waseminali wanaonekaga hawana maana mwanzoni, ila binti akienda huko na kuvurugwa haswa akili zina mrudi na kumkumbuka mseminari.
Akirudi mseminari kaoa na yy ana mtoto baba yake hana time nae.
😅kashafunguka amechapiwa😅Inaelekea kuna "mhuni" kamtenda; unabidi afunguke zaidi
Wanatumika kama tairi, ila wakisha umizwa akili zina wakaa sawa.Ina maana waseminali wanatumika kama tairi ya akiba?
Mdada akiwa na mhun ana uhakika juu ya usalama wake kulko akiwa na jamaa bshoo tu mtot wa mamaWakuu kuna kitu kinanishangaza sana kuhusu hawa dada zetu mbona hawaeleweki?
Kuna mwanangu mmoja hana muonekano hana hela ila ni muhuni anavuta sigara lakini wanawake wanampenda mno awala sana yaani ghetto kwake mezani amepanga sigara.
Halafu kuna siku alimleta demu akampiga baadae aakaanza kuvuta sigara mbele ya demu lakini demu mkali akawa anacheka cheka hadi leo kamganda jamaa,
Dada zangu kwanini mnawapenda wanaume wahuni?
isije kuwa unachanganya wahuni na mabishoo. Kuna wale wahuni wahuni kweli yaani watu wa kuamsha amsha popote walipo hapapoi. Hizo code za huyo jamaa umempost za kibishoo/kisharobaro sana aseeGoodnaitini mahardcore wotee.. Muote ndoto njema.
Kwa my zangu muote ndoto mbaya mbaya mpk mujifunze uhuni kidogo ama muendelee kutuma huduma vigangoniView attachment 2021405
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Unamaanisha masela ?!!!
Kama ndivyo nianze kukujuza kuwa usela si uhalifu......usela si kuvuta ganja hadharani....usela si kuivunjia heshima jamii na watu wake ....usela si kutowajibika.....usela sio kutokuwa na utu ,haya na soni.....
Usela ni imani.....
Msela anajitambua.....
Msela hasujudii na kuwaogopa watu......
Msela hazingui wengine na mwiko kuzinguliwa......
Msela hapendi kuonea wengine.....
Katu msela hakubali kuonewa.....na yeyote yule....narudia tena katu hakubali hakubali hakubali KUONEWA.......
Msela ni mtu wa mazoezi ,torati ya kitaa inamtaka msela awe anajua sanaa za mapigano....kukichafuka huweza kujilinda na kumlinda mpenzi wake dhidi ya WAGAIGAI hata 10.......
Msela anajithamini na kujipenda Sana....Sana....mno.....
Kwa kuwa msela ANAJIPENDA basi ana hulka ya kupenda wengine kiukweli......
Msela ni ALPHA MALE na si BETA MALE.....
Msela si mtumwa wa mapenzi na hamsujudii mwanamke......
Hakika mademu WANAWAPENDA MASELA KWANI WAO SI SUBMISSIVES.....
Salaam zimfikie mwanangu EXTROVERT baharia wake NISHANYONGEA katika "zigi" jicho liko wima hapa JF.......
USELA NI IMANI KUBWA NA LANGO LA TORATI YA MITAA
#Yetzer ha-tov
#Shavua Tov
😍Oya msela oyaa, Oyaaaaa
Oya msela oyaa, Oyaaaaa
Msela sio mchafu
Msela sio mwizi
Msela mtanashati, anaenda na wakati
Msela sio mzushi.....
uhuni ni pale unapokuwa mwanaume mfupi manake hao ndio inasemekana wahuni, anaongea indirectly alitaka kusema kwanini wadada mnawapenda wanaume wafupi!Uhuni ni nini tuanzie hapo kwanza.
Masela wote peponi, hatuigizi maisha tupo realUnamaanisha masela ?!!!
Kama ndivyo nianze kukujuza kuwa usela si uhalifu......usela si kuvuta ganja hadharani....usela si kuivunjia heshima jamii na watu wake ....usela si kutowajibika.....usela sio kutokuwa na utu ,haya na soni.....
Usela ni imani.....
Msela anajitambua.....
Msela hasujudii na kuwaogopa watu......
Msela hazingui wengine na mwiko kuzinguliwa......
Msela hapendi kuonea wengine.....
Katu msela hakubali kuonewa.....na yeyote yule....narudia tena katu hakubali hakubali hakubali KUONEWA.......
Msela ni mtu wa mazoezi ,torati ya kitaa inamtaka msela awe anajua sanaa za mapigano....kukichafuka huweza kujilinda na kumlinda mpenzi wake dhidi ya WAGAIGAI hata 10.......
Msela anajithamini na kujipenda Sana....Sana....mno.....
Kwa kuwa msela ANAJIPENDA basi ana hulka ya kupenda wengine kiukweli......
Msela ni ALPHA MALE na si BETA MALE.....
Msela si mtumwa wa mapenzi na hamsujudii mwanamke......
Hakika mademu WANAWAPENDA MASELA KWANI WAO SI SUBMISSIVES.....
Salaam zimfikie mwanangu EXTROVERT baharia wake NISHANYONGEA katika "zigi" jicho liko wima hapa JF.......
USELA NI IMANI KUBWA NA LANGO LA TORATI YA MITAA
#Yetzer ha-tov
#Shavua Tov
😍Peponi aaaamin🙏Masela wote peponi, hatuigizi maisha tupo real
Yeye anaweza kumuona hajiweki vizuri ila wengine wakamuona yuko perfect! Ndio maana nilitaka kujua hajiweki vizuri kwa nani au kwa mleta mada?? Mi naona kama mleta mada ni mbinafsi sana ndio maana anataka wote tupende anavyopenda yeye 🤣🤣🤣🤣Yeye ni "mtanashati", anashangaa kwanini jamaa hajiweki vizuri kimuonekano na bado ana pata warembo?
Hao wahuni unaowasema wewe.....! Ni wasela Mavi wasiojitambua sasaisije kuwa unachanganya wahuni na mabishoo. Kuna wale wahuni wahuni kweli yaani watu wa kuamsha amsha popote walipo hapapoi. Hizo code za huyo jamaa umempost za kibishoo/kisharobaro sana asee