DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

Pole sana.
Kwa maelezo yako tu inaonyesha mtu halisi wa kuja kukuoa bado hajatokea, hao wote uliojaribu ni wahuni wa kawaida sana. Hawakuwa na mpango wa kukuoa zaidi ya kutaka kula mzigo tu.

Ushauri wangu, kwa sasa wewe tulia tuli, usiwe na haraka wala papara. Msimamo wako ndio silaha yako, ng'ang'ania hapo hapo. Maana tupo wanaume tunaopenda kuoa wanawake wenye misimamo imara kama hiyo. Ipo siku tu, kama ipo ipo tu.

Kwa umri wako na msimamo wako viko sawa kabisa. Jambo moja tu ambalo silijui ni muonekano wako. Kwa leo naishia hapa.
 
So Dada wa jf huja sex mpka sasa kwa sababu bado hujaolewa ?


Halafu tafuteni normal guys like ME huwa ndo wana settle down
 
Njoo PM Kuna kitu nataka kuhakikisha kutoka kwako...Hakika huto jutia maamuzi yako ya kunifuata Pm
 
Nikuambie tu ukweli kwa jinsi unavyocomplicate mshusiono kwa kulazimisha ndoa na kugoma kutoa nyapu jiandae tu kuwa single maza maana hakuna namna nyingine
 
shida yako hutaki kutoa mechi ukitoa mechi hutojuta tena anyway njoo dm tuyajenge
 
Hiyo kitu ya kuwa na mahusiano bila kuonjana asee dada yangu endelea kusali.
Ila kwa sisi wanaume ni ngumu sana. Yani kirahisi rahisi naona Mwanamke bila kumvua pichu.!!?
 
HUWEZ OELEWA WEW,Mara nying madem kama nyinyi mwisho Wa sku uolewa na wahuni(walevi,wavuta bangi,jobless)
 
Kuna jamaa mmoja yupo Twitter,anajiita kigogo.anatumia Avatar kama yako,,,hivo nikiiona hyo Avatar yako najua ni yeye
Yap,nafahamu hiyo account Mkuu, na hii Avatar niliichukua kwake baada ya kuipenda!
 
We mshamba,,,ila samahan kwa kukwambia neno hilo...utawezaje kukaa na bikra miaka yote hiyo....narudia huo ni USHAMBA...kama sio ushamba basi utakuwa Matatizo kweny mwili wako si bure...
 
Kuzaaa na mtu mara nyingi hutokea unplanned. Cha msingi ni msimamo wa mpenzi wako. Na kukubaliana nae.
Kumsahau its just maamuzi na kuitune mind yako kusahau itasahau. Ndio utamkumbuka but jitaidi kutomtext,kumpigia wala kumtafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…