mwarabuwadubeii
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 661
- 652
Moja ya kauli zao kuu Za kujifariji vijana pasua kichwa Bora niwe na mtu mzima hata nisumbua.
Kwani mtu kujifariji imekuwa jinai?Moja ya kauli zao kuu Za kujifariji vijana pasua kichwa Bora niwe na mtu mzima hata nisumbua.
Ndio tunsema siku hzi wanawake wa kuoa hawapo.. big up kwa diamond na wengine waliofanya kutafuta sample za kigeni na sasa hvi wana furahia maishaa...Not such extent....mi binafsi siwezi kuwa na mapenzi ya kweli na mme wa mtu, hata mi nakuwa namchora tuu! nikiona kuna kitu muhimu nakihitaji kwake ntajifanya nampenda ili nipate hicho kitu after that nakudump tuu....
Haa haa.....na kweli asee tunashare scarcity resources...YUKO WAPI MWANAUME WA PEKE YAKO?
LAZIMA TUCHANGIE.
WANAUME ARE LESS IN NUMBER, ⅜ NI WANAUME.
KWENYE WATU NANE, WATATU NI WANAUME
Not such extent....mi binafsi siwezi kuwa na mapenzi ya kweli na mme wa mtu, hata mi nakuwa namchora tuu! nikiona kuna kitu muhimu nakihitaji kwake ntajifanya nampenda ili nipate hicho kitu after that nakudump tuu....
Haa haa haaa.....u made my night mkuu..You are so clever I liked your principle it worth to be shared
Aaaahaaa.. Dear uchokozi . aahhaaa...Thanks..Wachangie nn wakati wameguswa kwenye kidonda! Hapo ni maumivu ya kimya kimya.
Ukiona dem mrembo and that yuko way classic alaf elimu yake yakuunga unga na hana shughuli yeyote ya maana anayofanya mbaya kwao sio mtoto wa kishua or middle class yet yuko updated always. Please, NEVER EVER date or wife such a woman. Utakuja umia na kumwaga kilio.
Kuna wanawake washaona kupiga uhuni ni deal mjini hapa. It really disgusts me to tha core. Kuna mwanamke mmoja tuko nae kitaa kimoja aged between 24 - 27 years yan ndivyo hivyo alivyo. Imefika a point like kila mtu anashikwa na kinyaa juu yake na wako wengi mno.mjini hapa.
Women,
Fanyeni kazi kwa bidii kwa mikono yenu wenyewe msipende mambo msio na uwezo nayo. Hela ya mwanamne iwe bonus tu. Sisi wanaume tunaojitambua hatuwez oa makopo ya mtaani design hiyo.