Dada yangu pitia hapa

Dada yangu pitia hapa

Mmmh mbona haya tunayajua? Inategemea ni mme wa aina gani acha kabisa ukipata mtu anaejitambua mbona unaenjoy? Kila mtu anapata fungu lake trust me kuna mchepuka unaweza kujali mke wa mje kuliko wa ndani na heshima ikafata mkondo wake, kaya haya yoteeee tunayajua nikipata anaendana na mie akuuuu tunatafunana na nikikuta ni msafiiiiiiii anajariiiii zile type zangu loh sumu ya mwanaume wa hivi wa aina hii lazima iniuwe ahaaaaa
 
Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.

Kwani dada yako mtoto?

Kama mtu mzima, anayajua yote hayo, na kaamua kuendelea hivyo, wewe kipi kinakufanya kuingilia maisha yake?

Kila mtu kivyake.

Unataka kumuoa huyo dada yako?

Au wewe ndiye unataka kuwa mchepuko wa mwanamme mingine?

Kwa nini unashikia bango habari za faragha za watu wazima wenzio?

Tabia mbaya hiyo.
Na wewe ni mume wamtu?
 
Mimi nataka kukuoa wewe.

Majibu yangu ni ya kifalsafa tu, hayawakilishi hali yangu ya kinyumba.

Kwa nini mtu mzima mmoja aingilie maisha ya faragha ya mtu mzima mwingine?
Haya njoo tuoane
 
Mmmh mbona haya tunayajua? Inategemea ni mme wa aina gani acha kabisa ukipata mtu anaejitambua mbona unaenjoy? Kila mtu anapata fungu lake trust me kuna mchepuka unaweza kujali mke wa mje kuliko wa ndani na heshima ikafata mkondo wake, kaya haya yoteeee tunayajua nikipata anaendana na mie akuuuu tunatafunana na nikikuta ni msafiiiiiiii anajariiiii zile type zangu loh sumu ya mwanaume wa hivi wa aina hii lazima iniuwe ahaaaaa
Sasa ungekuwa wewe ndo umrfanyiwa hivo ungejisikiaje??
 
Kuna wakati nawafikiria hawa viumbee nakosa jibu ingawaje sio wote.
 
Haya njoo tuoane
Hatuoani. Kiswahili hakina kuoana.

Mwanamme anamuoa mwanamke, mwanamke anaolewa na mwanamme, hakuna kuoana. Mimi nakuoa wewe.

Sema "njoo unioe", si "njoo tuoane".
 
Teh teh acha basi kutoa siri zetu mkuu ... Unataka tuwe tuna pumzikia wapi ??? Watu Kama nyie hamfai katika jamii mnaharibu mambo...😵🙄😳😱
Binafsi ninampongeza sana kwa kutoa thread nzuri nia njema ya kuimarisha Maisha ya ndoa,wewe km unaona amekuharibia hiyo ni Kimpango wako.
 
Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.

Kwani dada yako mtoto?

Kama mtu mzima, anayajua yote hayo, na kaamua kuendelea hivyo, wewe kipi kinakufanya kuingilia maisha yake?

Kila mtu kivyake.

Unataka kumuoa huyo dada yako?

Au wewe ndiye unataka kuwa mchepuko wa mwanamme mingine?

Kwa nini unashikia bango habari za faragha za watu wazima wenzio?

Tabia mbaya hiyo.

Mkuu naona dawa imekuingia kisawasawa safi sana yaani sana,endelea kupiga kelele weee lkn muda si mrefu utapona tu Ugonjwa wako,Dawa hii ni kali ni dozi ya mtu mzima mwenye meno 32.hahahahaaaaa!!!!!,
 
Ukiona dem mrembo and that yuko way classic alaf elimu yake yakuunga unga na hana shughuli yeyote ya maana anayofanya mbaya kwao sio mtoto wa kishua or middle class yet yuko updated always. Please, NEVER EVER date or wife such a woman. Utakuja umia na kumwaga kilio.

Kuna wanawake washaona kupiga uhuni ni deal mjini hapa. It really disgusts me to tha core. Kuna mwanamke mmoja tuko nae kitaa kimoja aged between 24 - 27 years yan ndivyo hivyo alivyo. Imefika a point like kila mtu anashikwa na kinyaa juu yake na wako wengi mno.mjini hapa.

Women,
Fanyeni kazi kwa bidii kwa mikono yenu wenyewe msipende mambo msio na uwezo nayo. Hela ya mwanamne iwe bonus tu. Sisi wanaume tunaojitambua hatuwez oa makopo ya mtaani design hiyo.
 
Back
Top Bottom