Bajoa
Senior Member
- Aug 23, 2014
- 175
- 30
Mmmh mbona haya tunayajua? Inategemea ni mme wa aina gani acha kabisa ukipata mtu anaejitambua mbona unaenjoy? Kila mtu anapata fungu lake trust me kuna mchepuka unaweza kujali mke wa mje kuliko wa ndani na heshima ikafata mkondo wake, kaya haya yoteeee tunayajua nikipata anaendana na mie akuuuu tunatafunana na nikikuta ni msafiiiiiiii anajariiiii zile type zangu loh sumu ya mwanaume wa hivi wa aina hii lazima iniuwe ahaaaaa


