Dada yangu anataka nimpe mambo..

Dada yangu anataka nimpe mambo..

Status
Not open for further replies.
Acha ujinga hebu lilapue hilo au unataka majirani walilapue?
 
Hv nyie mna wazazi kweli? Au ubinamu wenu wa kuunga? Majibu ya nini cha kufanya unayo mwenyewe usituchoshe sie.
 
Mtafute mkuu mmoja anaitwa Mzabzab,hii topic inamuhusu atakupa ushauri Mzuri.
 
Nakushauri usomt..mbe bali jaribuni kukutanisha vikojoleo vyenu kama njia ya kuepuka tamaa ya ngono,kikojolea kitakachokasirika kitamtemea mwenzake mate na huo ndio utakuwa mwisho!
 
Wana jamvi..
Binamu yangu ambaye tumekua tukipendana kindugu, anataka nifanye nae... Iko hivi:-

Yeye kaolewa mi sijaoa, ana mtoto wa 1yr. Dadalili akija geto kwangu, huwa anataka tukae kitandani na hatimae hujilaza. Juzi shemeji alisafiri kaenda mkoani kikazi, akaomba nkalale kwa ajili ya ulinzi, nkaenda. Nilipoenda kulala alikuja, na mie nilikua na kazi naifanya kwenye laptop,, akaja akaomba nimuwekee muvi.., akajichagulia muvi iitwayo "i split on ur grave" ndani yake kuna malove..., nkashangaa kanipandishia mguu, nkamwangalia naona analembua. Nkamwomba akalale kwake maana alintamanisha, akaenda. Alipofika room kwake akani sms, anataka aje alale kwangu, nikamkatalia. Nimfanyaje, na mi sipendi tu do?

Tembeza bakora ww! Unalaza damu nn? Hakuna kuogopa wala nn!
 
Kung'uta uyoo, alokwambia kuna laana nani? Binamu hamna noumaa wala nn!
 
Threads kama hizi huwa napenda tu kusoma comments za wadau....teh teh teh!
 
duh! am left speechless lakini it depends,kwa wenzetu waisilam dini inaruhusu...ila kwa sie bwana asifiwe/tumsifu ni bonge la abomination oooohhhh
 
Oops!

Nkalale kwa ajili ya ulinzi,
Nkashangaa,
Nkamwangalia,
Nkamwambia akalale kwake!
 
ukute huyo shemejio kawatega tu...be carefull ooo...utakatwa kichwa mkuu.
 
Wana jamvi..
Binamu yangu ambaye tumekua tukipendana kindugu, anataka nifanye nae... Iko hivi:-

Yeye kaolewa mi sijaoa, ana mtoto wa 1yr. Dadalili akija geto kwangu, huwa anataka tukae kitandani na hatimae hujilaza. Juzi shemeji alisafiri kaenda mkoani kikazi, akaomba nkalale kwa ajili ya ulinzi, nkaenda. Nilipoenda kulala alikuja, na mie nilikua na kazi naifanya kwenye laptop,, akaja akaomba nimuwekee muvi.., akajichagulia muvi iitwayo "i split on ur grave" ndani yake kuna malove..., nkashangaa kanipandishia mguu, nkamwangalia naona analembua. Nkamwomba akalale kwake maana alintamanisha, akaenda. Alipofika room kwake akani sms, anataka aje alale kwangu, nikamkatalia. Nimfanyaje, na mi sipendi tu do?

hivi unataka tukushauri nini tena wakati wewe mwenyewe umekiri kuwa huyo ni mke wa mtu,why cant you use yo common sense?or your common sense is not common?
 
Aziniye na mwanamke hana akili afanya jambo litakalomwangamiza.,pia rejea kisa cha yusuf ktk mwanzo 39 mke wa mfalme alipomtaka alale naye alikataa then yule mwanamke akageuka kuwa yusuf alitaka kumbaka,kijana alifungwa ila baada ya mfalme kugundua kuwa alionewa alipandishwa cheo akawa waziri.,vipi leo mke wa boss wako akikuhitaji si itakuwa sherehe kwako!.tumwogope mungu
 
Aziniye na mwanamke hana akili afanya jambo litakalomwangamiza.,pia rejea kisa cha yusuf ktk mwanzo 39 mke wa mfalme alipomtaka alale naye alikataa then yule mwanamke akageuka kuwa yusuf alitaka kumbaka,kijana alifungwa ila baada ya mfalme kugundua kuwa alionewa alipandishwa cheo akawa waziri.,vipi leo mke wa boss wako akikuhitaji si itakuwa sherehe kwako!.tumwogope mungu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom