Dada yangu anataka nimpe mambo..

Dada yangu anataka nimpe mambo..

Status
Not open for further replies.
Aziniye na mwanamke hana akili afanya jambo litakalomwangamiza.,pia rejea kisa cha yusuf ktk mwanzo 39 mke wa mfalme alipomtaka alale naye alikataa then yule mwanamke akageuka kuwa yusuf alitaka kumbaka,kijana alifungwa ila baada ya mfalme kugundua kuwa alionewa alipandishwa cheo akawa waziri.,vipi leo mke wa boss wako akikuhitaji si itakuwa sherehe kwako!.tumwogope mungu
 
Wana jamvi..
Binamu yangu ambaye tumekua tukipendana kindugu, anataka nifanye nae... Iko hivi:-

Yeye kaolewa mi sijaoa, ana mtoto wa 1yr. Dadalili akija geto kwangu, huwa anataka tukae kitandani na hatimae hujilaza. Juzi shemeji alisafiri kaenda mkoani kikazi, akaomba nkalale kwa ajili ya ulinzi, nkaenda. Nilipoenda kulala alikuja, na mie nilikua na kazi naifanya kwenye laptop,, akaja akaomba nimuwekee muvi.., akajichagulia muvi iitwayo "i split on ur grave" ndani yake kuna malove..., nkashangaa kanipandishia mguu, nkamwangalia naona analembua. Nkamwomba akalale kwake maana alintamanisha, akaenda. Alipofika room kwake akani sms, anataka aje alale kwangu, nikamkatalia. Nimfanyaje, na mi sipendi tu do?
movie inaitwa I spit opn your Grave. pia hiyo movie haina malovee kama vile wewe unavyosema ila kuna kama scenes mbili hivi za mwanamke anabakwa!
sasa kama huyo binamu yako anataka kubakwa fine ila wala usiisingizie movie.
kama haupendi mduu sasa huku umekuja kuomba ruhusa ya wanajamii au? maana hadi hapo tayari maamuzi unayo kabisa sasa I wonder what else do you want us to do.
The cards are on your laps either you take them or leave them ila always kaa ukijua ya kwamba mke wa mtu ni sumu.
 
Wana jamvi..
Binamu yangu ambaye tumekua tukipendana kindugu, anataka nifanye nae... Iko hivi:-

Yeye kaolewa mi sijaoa, ana mtoto wa 1yr. Dadalili akija geto kwangu, huwa anataka tukae kitandani na hatimae hujilaza. Juzi shemeji alisafiri kaenda mkoani kikazi, akaomba nkalale kwa ajili ya ulinzi, nkaenda. Nilipoenda kulala alikuja, na mie nilikua na kazi naifanya kwenye laptop,, akaja akaomba nimuwekee muvi.., akajichagulia muvi iitwayo "i split on ur grave" ndani yake kuna malove..., nkashangaa kanipandishia mguu, nkamwangalia naona analembua. Nkamwomba akalale kwake maana alintamanisha, akaenda. Alipofika room kwake akani sms, anataka aje alale kwangu, nikamkatalia. Nimfanyaje, na mi sipendi tu do?

biblia imesema, yeyote alalaye na ndugu yake, AMELAANIWA!!

sasa kijana kuwa macho!! chunga nyeti zako!!

hivi hujaona wananume wenzio wakiwa wamekatwa ----- zao

sababu ya vitu kama hivi?

mwambie ukweli kuwa hutaki hio kitu !!
 
Aziniye na mwanamke hana akili kabisa ,afanya jambo litakalomwangamiza.,pia rejea kisa cha yusuf ktk mwanzo 39 mke wa mfalme alipomtaka alale naye alikataa then yule mwanamke akageuka kuwa yusuf alitaka kumbaka,kijana alifungwa ila baada ya mfalme kugundua kuwa alionewa alipandishwa cheo akawa waziri.,vipi leo mke wa boss wako akikuhitaji si itakuwa sherehe kwako!.tumwogope mungu
 
movie inaitwa I spit opn your Grave. pia hiyo movie haina malovee kama vile wewe unavyosema ila kuna kama scenes mbili hivi za mwanamke anabakwa!
sasa kama huyo binamu yako anataka kubakwa fine ila wala usiisingizie movie.
kama haupendi mduu sasa huku umekuja kuomba ruhusa ya wanajamii au? maana hadi hapo tayari maamuzi unayo kabisa sasa I wonder what else do you want us to do.
The cards are on your laps either you take them or leave them ila always kaa ukijua ya kwamba mke wa mtu ni sumu.

nilitaka niseme kuhusu hii movie, USHAMALIZA!!

nimeatafuta sana hio scene ya malovee sijaiona!!

kijana yuko mjini lakini hajielewi!
 
Kwi kwi kwi kwi....wadau nao wangependa kukusoma unaegemea kipande ipi katika hili.

Threads kama hizi huwa napenda tu kusoma comments za wadau....teh teh teh!
 
Haya..mawazo ndo hayo umeyasikia yote ni hayohayo na kwakuwa unathamini sana ushauri wa great thinkers katika kuitafuta laana akili kumkichwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom