Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,865
- 833
Aziniye na mwanamke hana akili afanya jambo litakalomwangamiza.,pia rejea kisa cha yusuf ktk mwanzo 39 mke wa mfalme alipomtaka alale naye alikataa then yule mwanamke akageuka kuwa yusuf alitaka kumbaka,kijana alifungwa ila baada ya mfalme kugundua kuwa alionewa alipandishwa cheo akawa waziri.,vipi leo mke wa boss wako akikuhitaji si itakuwa sherehe kwako!.tumwogope mungu