SitawezanaVip wewe
Nikikupea utawezana ?
Usijaribu kufanya kitu hovyo kama hicho.Rafiki ni ndugu ambaye anakutegemea kwa ushauri wa mambo mengi hivyo dada yake nawe pia ni dada yako mpe heshima yake rafiki yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada zingatia huu ushauri !!Usijaribu kufanya kitu hovyo kama hicho.Rafiki ni ndugu ambaye anakutegemea kwa ushauri wa mambo mengi hivyo dada yake nawe pia ni dada yako mpe heshima yake rafiki yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada zingatia hiliKwa vile huyo dada ni mkubwa sana kwako na huwezi kumuoa usijihusishe nae kingono.
Utamdhalilisha sana rafiki yako, utajiaribia sana mipango yako utakapo taka kuoa.
Hao wadada wanakuaga ving'ang'anizi.
Ni kweli urafiki wenu utaisha, Nakumbuka kaka yangu aligombana na rafiki yake alivyojua tu anashow interest kwangu na baadae aliwapiga marufuku marafiki zake wote kunisalimia hata kufika kwetu🤣🤣🤣Sijamaanisha hivyo ila wasiwasi wangu
Urafiki wetu utakuja kuisha au kugombana
Sent using Jamii Forums mobile app