Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Nina mshikaji wangu huyo ambae tangu utotoni tumekuwa kama marafiki lakini pia sisi ni watu ambao tunaheshimiana na tumekulia mtaa moja
Ila changamoto iliyojitokeza kipindi cha hivi karibuni ni Dada yake katokea kunipenda na ameomba awe na Mimi kama mpenzi wake lakini pia ameniambia hii ni siri yangu nisimwambie mtu
Kwa kweli hili sijui limekaa vipi kimtizamo kwa huyu rafiki yangu akigundua hili jambo?
Ila changamoto iliyojitokeza kipindi cha hivi karibuni ni Dada yake katokea kunipenda na ameomba awe na Mimi kama mpenzi wake lakini pia ameniambia hii ni siri yangu nisimwambie mtu
Kwa kweli hili sijui limekaa vipi kimtizamo kwa huyu rafiki yangu akigundua hili jambo?