Dada wa mapokezi Avic Town hajui huduma kwa wateja

Mkuu umenikumbusha mbali, mwaka 2009 niliwahi kwenda duka la mariedo pale benjamin mkapa tower, kuna mdada pale na haka kaumbo kangu kama sijala mwezi mzima akawa ananitazama kama vile niliyepotea njia.
Nikawa namuuliza bei ya vitu mbalimbali ananijibu kama vile tuna ugomvi.
Mwisho akaona naanza chagua akawa ananitazma kwa hasira.
Nilipochukua bahasha ya kaki yenye michuzi nikaweka kaunta kumlipa maana nilichagua vitu vingi ndipo akaanza nikenulia na kunichekea sana.
Tatizo people judge other people kwa mavazi na vitambi.
Wengine hata tule vipi afya ilishaweka mgomo
 
Nimeenda avic town kuangalia bei za nyumba nijaribu kulinganisha na gharama za ujenzi duh dharau niliyoipata nadhani bado tunahitaji kuajiri wageni katika sekta zetu, pale mapokezi nimekuta wadada wawili nauliza bei za nyumba wananijibu nyumba ya chini kabisa inaanzia milioni 120 nikaomba nionyeshwe ilivyo ......akagoma huku akinishangaa muonekano wangu, nadhani alitegemea aje raia wa kigeni we dada kaa ukijua siku hizi hela tunazo sisi wananchi wa kawaida wapiga dili wote wameishiwa kama unakumbuka leo walikuja dada mmoja amevaa baibui na mtandio na mwingine amevaa suruali ya jeans na top ya pink......usidharau watu kutokana na muonekano
Utafikiri ni wafanyakaz wa vda bwana

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Watu wana dharau sana.

Siku moja natoka Bagamoyo niko na Vitz. Naangalia mshale wa Petrol inaelekea kukata. Niko pale JKT karibu na njia panda ya kwenda Kunduchi nikaingia shell. Kulikuwa na foleni kidogo, nikasogeza gari nikafungua tank nikamwambia muhudumu jaza full tank. Jamaa akaanza dharau, utalipa? Nikamjibu kwanini nisilipe, tukarushiana maneno pale mwisho wake akajaza. Nikampa pesa yake nikaondoka. Sasa sijui alikuwa anahofia nini
 
Watu wana dharau sana.

Siku moja natoka Bagamoyo niko na Vitz. Naangalia mshale wa Petrol inaelekea kukata. Niko pale JKT karibu na njia panda ya kwenda Kunduchi nikaingia shell. Kulikuwa na foleni kidogo, nikasogeza gari nikafungua tank nikamwambia muhudumu jaza full tank. Jamaa akaanza dharau, utalipa? Nikamjibu kwanini nisilipe, tukarushiana maneno pale mwisho wake akajaza. Nikampa pesa yake nikaondoka. Sasa sijui alikuwa anahofia nini
Kuna watu wengine akili zao sijui huwa ziko vipi.! Sasa alijua huwezi kulipa
 
Mkuu umenikumbusha mbali, mwaka 2009 niliwahi kwenda duka la mariedo pale benjamin mkapa tower, kuna mdada pale na haka kaumbo kangu kama sijala mwezi mzima akawa ananitazama kama vile niliyepotea njia.
Nikawa namuuliza bei ya vitu mbalimbali ananijibu kama vile tuna ugomvi.
Mwisho akaona naanza chagua akawa ananitazma kwa hasira.
Nilipochukua bahasha ya kaki yenye michuzi nikaweka kaunta kumlipa maana nilichagua vitu vingi ndipo akaanza nikenulia na kunichekea sana.
Tatizo people judge other people kwa mavazi na vitambi.
Wengine hata tule vipi afya ilishaweka mgomo
Utakuta ulinunua nje ya bajeti yako kumuonyesha unazo
 
Mkuu umenikumbusha mbali, mwaka 2009 niliwahi kwenda duka la mariedo pale benjamin mkapa tower, kuna mdada pale na haka kaumbo kangu kama sijala mwezi mzima akawa ananitazama kama vile niliyepotea njia.
Nikawa namuuliza bei ya vitu mbalimbali ananijibu kama vile tuna ugomvi.
Mwisho akaona naanza chagua akawa ananitazma kwa hasira.
Nilipochukua bahasha ya kaki yenye michuzi nikaweka kaunta kumlipa maana nilichagua vitu vingi ndipo akaanza nikenulia na kunichekea sana.
Tatizo people judge other people kwa mavazi na vitambi.
Wengine hata tule vipi afya ilishaweka mgomo
Yaani kwa kwa jinsi ulivyotaja hako kaumbo nahisi nakufahamu, unakaumbo kadogo alafu unaenda sana usa na unaishi kule saku ya mbagala nimekosea.
 
Nimeenda avic town kuangalia bei za nyumba nijaribu kulinganisha na gharama za ujenzi duh dharau niliyoipata nadhani bado tunahitaji kuajiri wageni katika sekta zetu, pale mapokezi nimekuta wadada wawili nauliza bei za nyumba wananijibu nyumba ya chini kabisa inaanzia milioni 120 nikaomba nionyeshwe ilivyo ......akagoma huku akinishangaa muonekano wangu, nadhani alitegemea aje raia wa kigeni we dada kaa ukijua siku hizi hela tunazo sisi wananchi wa kawaida wapiga dili wote wameishiwa kama unakumbuka leo walikuja dada mmoja amevaa baibui na mtandio na mwingine amevaa suruali ya jeans na top ya pink......usidharau watu kutokana na muonekano
Mimi nashindwa kuelewa hivi kwanini wahudumu wasipewe mikataba inayowafukuzisha kazi pale wanapokosa good customer care? kwenye mahoteli ni zero,ukija mahospitali nako zero yaani ujinga ujinga tu!
Hili nalo nikama sifa moja wapo ya kuwa mfanyakazi kutoka Tanzania
 
Alafu mtu anayekuhoji hivyo hana hata kandambili miguuni shit kabisa
Watu wana dharau sana.

Siku moja natoka Bagamoyo niko na Vitz. Naangalia mshale wa Petrol inaelekea kukata. Niko pale JKT karibu na njia panda ya kwenda Kunduchi nikaingia shell. Kulikuwa na foleni kidogo, nikasogeza gari nikafungua tank nikamwambia muhudumu jaza full tank. Jamaa akaanza dharau, utalipa? Nikamjibu kwanini nisilipe, tukarushiana maneno pale mwisho wake akajaza. Nikampa pesa yake nikaondoka. Sasa sijui alikuwa anahofia nini
 
Nimeenda avic town kuangalia bei za nyumba nijaribu kulinganisha na gharama za ujenzi duh dharau niliyoipata nadhani bado tunahitaji kuajiri wageni katika sekta zetu, pale mapokezi nimekuta wadada wawili nauliza bei za nyumba wananijibu nyumba ya chini kabisa inaanzia milioni 120 nikaomba nionyeshwe ilivyo ......akagoma huku akinishangaa muonekano wangu, nadhani alitegemea aje raia wa kigeni we dada kaa ukijua siku hizi hela tunazo sisi wananchi wa kawaida wapiga dili wote wameishiwa kama unakumbuka leo walikuja dada mmoja amevaa baibui na mtandio na mwingine amevaa suruali ya jeans na top ya pink......usidharau watu kutokana na muonekano
Huna pesa huna pesa tu toa vitisho vyako...wenye pesa wanaonekana hata kwa macho
 
Watu wana dharau sana.

Siku moja natoka Bagamoyo niko na Vitz. Naangalia mshale wa Petrol inaelekea kukata. Niko pale JKT karibu na njia panda ya kwenda Kunduchi nikaingia shell. Kulikuwa na foleni kidogo, nikasogeza gari nikafungua tank nikamwambia muhudumu jaza full tank. Jamaa akaanza dharau, utalipa? Nikamjibu kwanini nisilipe, tukarushiana maneno pale mwisho wake akajaza. Nikampa pesa yake nikaondoka. Sasa sijui alikuwa anahofia nini
 
Nafikiri tuna tatizo kubwa sana la "Mikataba ya Huduma kwa Wateja" katika maeneo mengi ya kazi.
Hili suala liliwahi nikumba nimeenda pale AVIATION HOUSE-Kitunda;nilikuwa nimeenda kusajili kindege cha kampuni yetu pale,tulikuwa tumekikodisha toka nchi fulani ya Afrika sasa tunataka kubasilisha kitu inaitwa "Basement" ili tuanze kufanyia kazi Bongo.

Sasa nimefika pale reception namkuta dada anaelekea kwenye umama hivi,ninamuuliza "fulani" atakuwa ghorofa namba ngapi na chumba namba ngapi?Nimeelekezwa kwake nije nifuate taratibu za Ukaguzi ili nisajili ndege "yangu" hapa Bongo.....Yaani lile neno kusema "ndege yangu" na jinsi nilivyo,ni kama vikamchefua sana yule mhudumu...Maana akiniangalia nina pensi ya kiwindaji,safari boot na short sleeve double pockets.Mwili usio na shukrani sina cha kitambi wala rangi ya pesa...Alinipokea vibaya sana,yaani kunipa ile pass alinipa kwa mashaka sana....Nikajiuliza sana,hivi kwani mimi nafananaje!?Ilibdi nikajiangalie hadi kwenye kioo nyumbani
 
Kuna siku tulienda na sister angu Mlimani city wakati simu flani mpya zimetoka duniani wakati tunamwambia huyo mkaka muuzaji alituangalia SNA nikamwambia MPE pesa tusepe jamaa akashangaa tunamwambia funga mzigo
 
Back
Top Bottom