Dada wa familia ya Kitajiri -Lacoste, atapeliwa dola laki 2 huko colorado US.

mxyo16

JF-Expert Member
Mar 29, 2011
1,243
758
Kuna matibabu mbadala yananaitwa spiritual healing...kwa kutumia process inaitwa chakra balancing. Wanasema wanaadamu tuna mwili huu physical na pia mwili spiritual.

Pale inapotokea mambo yako unaona yapo shwari na unajiona ni mtu mwenye furaha...hiyo inasababishwa na spiritual body yako kuwa shwari....yani chakras zipo balanced....

na ikitokea unaugua, huzuni, mambo yanaenda usivyopanga ...ndio hapo wanasema chakras zako hazipo balanced zimesababisha hayo...kwahiyo ...kama wanavyojinadi waganga wetu wa kienyeji (madokta) na huko ulaya wapo watu hao ...wana majina kama Psychics, tarrot readers...etc....

sasa kuna dada anaetoka familia ya Lacoste wanaotengeneza nguo na vifaa vya michezo ufaransa...yani cash sio haba...nadhani yamemkuta ...to my surprise...hata sijui nn, kaenda kwa huyo mganga..kufanyiwa hiyo chakra balancing...akapewa sharti kuleta dola laki 2 za kununulia vipande vya dhahabu (gold coins) kufanyiwa huo mchakato ili na kwamba asipofanya hivyo majini yata mchukua...

Ili gundulika hizo gold coins aliziuza na kuchukua mpunga wote

2F97087400000578-3372146-image-m-37_1450901412168.jpg
tapeli ana umri 32

2F970F1A00000578-3372146-image-a-38_1450901417752.jpg
dada tajiri mtapeliwa..umri 22

355xNxChakraSystem.jpg.pagespeed.ic.3-Gn2BRqA9.jpg
maeneo ya chakra ambayo hufanyiwa kazi kubalance your spiritual being...


2F970F0300000578-3372146-image-a-40_1450901434170.jpg
clinic ya mtuhumiwa...

Jamani hawa watu matapeli wapo..sio Tanzania tu...kwahiyo inapotokea watanzania wenzetu wanafanya bidii kutumbua majipu haya ...sio chuki...ni kwamba ni harakati za dunia nzima na ni ubinaadamu pia...na hofu ya mungu kufichua maovu. dola laki 2 ni sawa na shilingi za bongo 430,000,000
 
Huwa kuna kauli kwamba wazungu nao pia ni washirikina sana....hili nalo nikiashiria
 
kama kweli ni tajiri hizo milion 400 sio issue... amejifunza la kwasimulia watoto wake
 
kama kweli ni tajiri hizo milion 400 sio issue... amejifunza la kwasimulia watoto wake

Ila inaonyesha kuwa mtu anaweza kuwa na imani za kishirikina no matter elimu yake, race, dini au utajiri alio nao.....kama hali ndio hii serikali izidishe juhudi kulinda raia wote especially albino
 
Watu matajiri huwa wengi wana anxiety
wengi hawana furaha
ndo maana vitu wanavyo fanya sometimes..ni katika kuhangaika tu na upweke
 
Unatafuta excuse ya kujustify umaskini wako???

Mkuu kuna watu huchangia mijadala kutokana na waliyo ya experience katika maisha yao......Yawezekana ana justify utajiri wake pia.....(I'm just saying...... looking into the other side of the coin).....you never know!
 
Mkuu kuna watu huchangia mijadala kutokana na waliyo ya experience katika maisha yao......Yawezekana ana justify utajiri wake pia.....(I'm just saying...... looking into the other side of the coin).....you never know!

Unaona alikua anaongelea reported speech"kasema wengi hawana furaha".
 
Kuna nyuzi nyingi tu humu zinafundisha na kuelezea hayo mambo, sikuwahi kudhani kuwa ni utapeli I say
 
Kuna nyuzi nyingi tu humu zinafundisha na kuelezea hayo mambo, sikuwahi kudhani kuwa ni utapeli I say

hawajamaa hawatofautiani na waganga wetu...concepts zao karibu zipo sawa...na wote ni wabahatishaji tu.... ukisoma concepts zao na ukasikia masimulizi yao...kwa waliowachunguza (researchers) walikuta wanaambiwa kwamba ...ukweli upo kuwa kile ambacho unakipanga ufanikiwe kama binaadamu huwa huwezi kukifikia kwasababu ulimwengu haujaumbwa hivyo....zipo energies zinazoingilia michakato kufikia malengo yako ...na kwamba unapofanikiwa chochote basi huwa ni by mistake...

nahapo ndio wengi huliwa......hawa waganga(pschics) ndio wanasema wanao uwezo kukuwezesha kufanikiwa jambo lako, ambalo naturally haliwezi kufanikiwa...na kukupa masharti kibao....Kati ya hawa waganga kuna wale ambao kutokana na style za maisha yao wameweza kuufikia uungu fulani hivi (gods) ..upande wa mabudha na hindu gods ....yani wamezishinda tamaa za kibinaadamu, na kujijenga kispiritual ndio wanaoweza kukusaidia kufanikisha kisicho fanikiwa ili kifanikiwe...

ila sasa katika safari ya mamba na kenge wamo, ndio huyo mdada...na wengine wengi tu hapa nchini kwetu kwa stories za wahanga wao.....
 
Back
Top Bottom