Dada, usiwaamini madereva Bolt

Ila yule binti, ulewaji gani ule!! Network imekata kabisa? Mahangaiko yote yale hata kushtuka 😢
 
Abakwe tu tena huyo ilibidi apigwe mtungo na mtu sita au saba hivi ili awe mfano kwa wengine.

Mwanamke unaondokaje nyumbani kusema unaenda bar kulewa?
Yan mimi mwanamke nikishasikia au kuona yuko namna hii, huwa nasikia huruma sanaaaa. Lazima kuna changamoto anayo, sio bure hiv hiv.
 
Yan mimi mwanamke nikishasikia au kuona yuko namna hii, huwa nasikia huruma sanaaaa. Lazima kuna changamoto anayo, sio bure hiv hiv.
Hawa bro ukisema uwaonee huruma watakupasua sana kichwa na kwanza hiyo huruma utawaonea wangapi ikiwa leo pale taifa darby ya Simba v/s Yanga robo tatu ya uwanja wanajaza wao?kwenye mabanda ya mpira wanabishana mpira kama wamelogwa japo huwa wanachambua pumba.

Hawa hii sera yao ya 50/50 imewaharibu wanaiga mpaka ujinga wasiouweza,nina 40+ hapa Dar jiji la vurugu nina 26 yrs ila maadili yanavyoshuka miaka 10 nyuma wanawake ninaowaona leo siyo wale niliokua nao.
 
Sasa afanyeje Kanoa utamu,yataka moyo kuyashinda haya.
 
Kusema hivyo ni kama kusema " wanawake waache kuvaa suruali za kubana hili wasibakwe"..

kama sababu ya huyo dada kubakwa ni kulewa,je watoto wanaobakwa wanakuwaga wamelewa kwenye Uber??

Mmeamua tu kua wabakaji haina haja ya kutafuta sababu ya kuhalalisha alichofanya jamaa,,kulewa sio kosa kisheria..

Nje ya Mada,kariakoo gerezani wanaume walevi wote wanageuzana,ukilewa wahuni wanakupitia kesho maskani story kuhusu wewe
 
Mimi kwakwel mwanamke mlevi HAPANAAA, yan naona kama ni mtu aliyechanganyikiwa kabisa yan. Dah, Noo Nooo Noo!!!
 
Life is full of suprises
 
Nimeanza kulewa kabla sijajiunga Jf
Na nimetumia Uber na Bolt kufika nyumbani
Sijawahi kukutana na changamoto,
Narequest naingia kwenye gari, nafika nnapofika nalipa nauli naenda kulala.
Watu wengine wanaletaga drama wanasingizia pombe
Mxiiew
Inategemea unalewa kiasi gani. Kama unalewa kiasi cha kutojitambua lazima ubakwe
 
Sijui niweke video zote ila mods watanipiga ban ya maisha😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…