Apo kwenye Wembe mpya nikitumia Kisu je nitakua nimekosea.Fuatilia maelekezo yafuatayo.
Vifaa vinavyotakiwa
1. Wembe mpya
2. Chombo kisafi.
3. Ndimu/limao moja
4. Kipande cha godoro jipya chenye ukubwa wa 4cm x 4cm x4cm.
Maandalizi na matumizi.
1. Kata ndimu/limao moja kwa kutumia wembe mpya kisha kamulia juisi yake kwenye chombo kisafi.
2. Chukua kipande cha godoro chovya kwenye juisi ya ndimu/ limao uliyoikamua.
4. Ingiza kwenye uke kipande cha godoro kilicho chovywa kwenye juisi ya ndimu/ limao. Kisha kiache kwa takribani nusu SAA.
5. Kisha kitoe kigodoro hicho.
Namna inavyofanya kazi.
Juisi ya ndimu au limao ina tindikali (acid), hivyo kwa kuingizwa ukeni itaufanya uke kuwa na mazingira ya tindikali (acidic medium).
Hali hii ya uchachu ndani ya uke huua mbegu zote za kiume (sperms). Hii ni kwasababu mbegu za kiume huwa zinapendelea mazingira ya nyongo (alkaline medium).
Angalizo
Juisi hiyo hufanya kazi kwa masaa 8 tu.
siyo kweli. mbona dawa za fungus huwa zinaingizwa uko kunakoBora nipate mimba kuliko hii saratani ya kizazi
usitumie kisu. kwasababu kisu kimekata vitu vingi, hivyo kinaweza kuwa na vimelea vya magonjwaApo kwenye Wembe mpya nikitumia Kisu je nitakua nimekosea.
hapana mkuu. hii juisi haingii kwenye mirija ya uzazi na wala haifiki hata ktk mji wa uzaziUnataka wazaliwe mataahira wengi mitaani wewe
ndiyo kupata mimba bila kujipanga ni kosa. utatuzalia teja, jambazi ama kahabaKwani kupata mimba ni kosa?
Lazima ipite kwenye mji wa uzazi kwanza. Pia kabla ya yai kutoka na lianze ku move lazima alkaline solution iwepo hivyo lazima hiyo acid iwe neutralize na alkaline ambayo hutoka automatically. Hivyo kinachozuia mimba ni godoro na sio acid. SEX WILL BE ENJOYABLE IF BOTH OF YOU YOUR ABLE TO PRODUCE MUCUS FOR BETTER SLIPPERY OF SEX ORGAN. INSTEAD OF THAT ACID WHICH PRODUCES FRICTION THAT RESULTS TO PAINFUL EVEN BLEEDING THAT LEADS TO MORE EXPOSURE OF DISEASEShapana mkuu. hii juisi haingii kwenye mirija ya uzazi na wala haifiki hata ktk mji wa uzazi
Hahaha. Imebidi nicheke tu.Kama ana mchubuko ajiandae kulia
Uke si wenu ni wetu nyie mnatutunzia tu tafadhali msiuingize vitu vingine visivyo salama.

Kujipanga?ndiyo kupata mimba bila kujipanga ni kosa. utatuzalia teja, jambazi ama kahaba
Tena sio ndogo ndugu yangu.Watu wana kazi sana
Hahahaaa. Namuona aiseee.Shost yake kritika anafanya yake.