utakuwa unamsema yule Catherine anayesali "Mlima wa Moto" kwa mama Rwakatare. kweli aisee yule mtoto ni moto wa kuotea mbali - kisu kikali unaweza kuhonga nyumba nakwambia!Wiki iliyopita nilikuwa kwenye daladala za makumbusho nawasiliano tukawa tumekaa na dada mmoja hivi jina aliniambia anaitwa Cathy
Huyu dada cathy sio siri alikuwa mzuri sana na nilijiapiza japo si kawaida yangu kuomba namba kwenye usafiri wa uma lakini kwa huyu nilisema lazima nijitoe ufahamu nichukue
Tukiwa tunatoka mawasiliano nikamuuliza anashukia wapi akasema mpakani nikaona ni kipande kidogo sana hivyo nikajitahidi kujipigisha stori chache ili anipatie namba na kweli mpaka kufika mpakani alikuwa kashanichorea namba na nikaipiga ikaita kwake nikawa na uhakika then yeye akashuka
Ile nimetoka mpakani kuelekea mwenge mataa nikiwa nafurahaa kusave namba ya mtoto cathy alipita jamaa mmoja na boda boda akaikwapua simu yangu na kupotea nayo mazima kiukweli maumivu yalikuwa makubwa sana si kwaajili ya simu yangu ila ile namba muhimu niliyopewa na Cathy
Tumaini pekee lilikowa limebaki ni kurenew namba labda mtoto Cathy atanitafuta leo ni siku ya tatu toka nirenew napigiwa na wengi ila sijaona simu ya huyu mtoto kuingia sasa sijui anasubiri nianze mimi kumtafuta au alijaribu akaona sipatikani
Naomba nikuombe Cathy kama upo humu na unausoma uzi huu kama namba yangu bado unayo nitafute leo kabla ya pasaka utafurahi sana au kama uliifuta namba kwa bahati mbaya njoo pm fasta leo ule pasaka utakayoikumbuka maisha yako yote
Halafu ni kama bahati mimi si mtu wa daladala nimeacha kutumia daladala toka mwaka 2014 gari yangu ilipata matatizo kuna dogo huwa namtuma sana kunichukulia baadhi ya vitu aliligongesha hivyo ile siku tunakutana Cathy nilikuwa naenda shughulikia suala hilo
Ila wakuu nimejifunza kitu nilikuwa nadharau sana hizi daladala kumbe kuna wadada wazuri wengi wanatumia huu usafiri tujitahidi kuwapunguza huko kama una kiuwezo hata IST sio mbaya kwa mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Umefunga pm bana, au ni hii simu yangu kimeo π€ napishana na kapu la mshahara hivi hivi aah
Nyie balaa sanaIla sisi wamiliki wa TZ 11 tunafaidi sana kuliko nyie wapanda daladala,bodaboda na mnaomiliki hizo sijui IST na VX.
Sie na vikapu vyetu na vikata kucha mtaani tunapita nao vizuri tu[emoji28][emoji28]
Yaani, we acha tu, siku zote naficha lakini Ijumaa hiyo mpaka nikajisahau kwamba nina "mwanya" wa juu[emoji3]That friday smile lol, you killed it[emoji3][emoji3] meno yote ya mbele hamna mmh
Watu sijui kwanini ukieleza story yako ukasema una gari wanachukulia et ni majivuno na kupenda sifa
Gari ni chombo cha usafiri kama ilivyo baiskeli na pikipiki hauna haja ya kumchukia mtu kisa kasema ana gari wakat ww huna tafuta uje na ww utusimulie
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah huo si mwanya sasa ni pango mkuu, vipi ulidundwa mdomo hadi ukatokea mwanya?ππYaani, we acha tu, siku zote naficha lakini Ijumaa hiyo mpaka nikajisahau kwamba nina "mwanya" wa juu[emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo cathy n mwembamba mrefu wa kimo hebu nipe muonekano wake kama ndo yeye nikupe nambaWiki iliyopita nilikuwa kwenye daladala za makumbusho nawasiliano tukawa tumekaa na dada mmoja hivi jina aliniambia anaitwa Cathy
Huyu dada cathy sio siri alikuwa mzuri sana na nilijiapiza japo si kawaida yangu kuomba namba kwenye usafiri wa uma lakini kwa huyu nilisema lazima nijitoe ufahamu nichukue
Tukiwa tunatoka mawasiliano nikamuuliza anashukia wapi akasema mpakani nikaona ni kipande kidogo sana hivyo nikajitahidi kujipigisha stori chache ili anipatie namba na kweli mpaka kufika mpakani alikuwa kashanichorea namba na nikaipiga ikaita kwake nikawa na uhakika then yeye akashuka
Ile nimetoka mpakani kuelekea mwenge mataa nikiwa nafurahaa kusave namba ya mtoto cathy alipita jamaa mmoja na boda boda akaikwapua simu yangu na kupotea nayo mazima kiukweli maumivu yalikuwa makubwa sana si kwaajili ya simu yangu ila ile namba muhimu niliyopewa na Cathy
Tumaini pekee lilikowa limebaki ni kurenew namba labda mtoto Cathy atanitafuta leo ni siku ya tatu toka nirenew napigiwa na wengi ila sijaona simu ya huyu mtoto kuingia sasa sijui anasubiri nianze mimi kumtafuta au alijaribu akaona sipatikani
Naomba nikuombe Cathy kama upo humu na unausoma uzi huu kama namba yangu bado unayo nitafute leo kabla ya pasaka utafurahi sana au kama uliifuta namba kwa bahati mbaya njoo pm fasta leo ule pasaka utakayoikumbuka maisha yako yote
Halafu ni kama bahati mimi si mtu wa daladala nimeacha kutumia daladala toka mwaka 2014 gari yangu ilipata matatizo kuna dogo huwa namtuma sana kunichukulia baadhi ya vitu aliligongesha hivyo ile siku tunakutana Cathy nilikuwa naenda shughulikia suala hilo
Ila wakuu nimejifunza kitu nilikuwa nadharau sana hizi daladala kumbe kuna wadada wazuri wengi wanatumia huu usafiri tujitahidi kuwapunguza huko kama una kiuwezo hata IST sio mbaya kwa mtoto
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kudundwa bali meno hayajawahi kuota hapo!!Aah huo si mwanya sasa ni pango mkuu, vipi ulidundwa mdomo hadi ukatokea mwanya?[emoji3][emoji3]
Hèee you're so unique mkuu, makande utaweza kula kweli?
Hata kama ni mapenzi sio kihivyo mtoto mkali kama yule kuwa na simu ya 400k nikagundua kuna wanaume wanatembea na watu sio hadhi yao kabisaa ni kama wanaonewa huruma tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakula ila kung'ata siwezi, nitumie bakuli la makande uone! Katika hizo "Financial services" zako, unakopesha? [emoji848]Hèee you're so unique mkuu, makande utaweza kula kweli?
shauri yako....Mkuu hizi unaleta sasa nuksi huyu mtoto aolewe bila hata kujaribu namba yangu maana najua hata yeye aligundua ni mtu wa hadhi gani
Sent using Jamii Forums mobile app
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ πππOKING ina Google? Una utani weweππ
Umeadimika best.π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ πππ
KolonaπUmeadimika best.