Wewe Cathy kuanzia lini!!!!Mtoto Cathy ni mimi hapa, nimekutafuta sana sijakupata mkuu dah, kama bahati vile kabla ya Pasaka wewe hapaa, nakuja na orodha ya mahitaji ya sikukuu jipange[emoji3].
Ndiyo vibaya ni kama vile unawaona ni chini!!Mkuu maelezo yote nimeandika umeona hapo tu ? Au vibaya kusema mimi sio mtu wa daladala?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha ha ha wewe sasa mgomviYani hapo ndio kaaribu kila kitu, ukite hapandi daladala lakini gari yake yenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hilo ndyo jina langu mkiu, hii financial services ni jina huku jf tu,usichanganye mambo😀
Ujumbe wako umefika ,
Tumejua kuwa wewe sio mtu wa daladala
OKING ina Google? Una utani wewe😝😝Hujui Kusev majina kwenye google? Ukisev Google hata simu ipotee uko renew lazima kila kitu hadi picha kirudi
ihiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii bhaghoshaHalafu ni kama bahati mimi si mtu wa daladala nimeacha kutumia daladala toka mwaka 2014 gari yangu ilipata matatizo kuna dogo huwa namtuma sana kunichukulia baadhi ya vitu aliligongesha hivyo ile siku tunakutana Cathy nilikuwa naenda shughulikia suala hilo
Najua, wala usijali!!Hilo ndyo jina langu mkiu, hii financial services ni jina huku jf tu,usichanganye mambo[emoji3]
Vipi kitu yako nini?Tigo [emoji15][emoji15][emoji15]
That friday smile lol, you killed it😀😀 meno yote ya mbele hamna mmh
Huenda kikawa cha chuo mkuu?Ile mitaa ile kuna vitoto vya chuo vikareeeeee kinyamaaaaa
Sikuoni pm au sio cathy ww wa pale mpakani?Hilo ndyo jina langu mkiu, hii financial services ni jina huku jf tu,usichanganye mambo[emoji3]
Hii comment ingefaa zaidi ije wakati nimeshaonana nae cathy sasa sijamuona tena unasema nimeepushwa duuhKukwapuliwa simu yako yawezekana umeepushwa na jambo, si vyote ving'aavyo ni dhahabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Vinapiga mzinga hivyo hatareeee
Hata kama ni mapenzi sio kihivyo mtoto mkali kama yule kuwa na simu ya 400k nikagundua kuna wanaume wanatembea na watu sio hadhi yao kabisaa ni kama wanaonewa huruma tuNdio mapenzi hayo mkuu. Hujui jamaa anampa nini.
Wewe unaweza kumtatulia tatizo la pesa lakini usimpe yale anayopata kwenye mapenzi ya jamaa yake anae panda nae dala dala.
Ana simu cheap kama ulivyosema lakini anapata mawasiliano yote muhimu . Just thinking outside the box.
Mkuu kamba zako uwe unazipangilia mbezi beach ipi ipo karibu na kibo comple au unamaanisga anaishi tegeta?ni pm nkupe namba yake huyu ninayehic ni yeye anakaa mbezi beach karibu na kibo complex ni mkali kinyama ila anapenda hela
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea jinsi gari linavyoingizwa kwenye hiyo story yenu!Watu sijui kwanini ukieleza story yako ukasema una gari wanachukulia et ni majivuno na kupenda sifa
Gari ni chombo cha usafiri kama ilivyo baiskeli na pikipiki hauna haja ya kumchukia mtu kisa kasema ana gari wakat ww huna tafuta uje na ww utusimulie
Sent using Jamii Forums mobile app