Hahahaha, leo mtanivunja mbavu jamani! wahahahahaha! Nakumbuka ilikuwa workshop moja ya wiki sita sehem, mwanaume nimekata wiki tatu fresh bila mashaka, wiki ya nne watu tumeshaanza kuzidiwa, kumbe watu mnaweza kutongozana hata bila kuongea, dada mmoja ikawa kila kwenue queue ya bfast na lunch anajitahidi kuwa mbele yangu, ananichukulia sahani na kunikabidhi, automatically tunaenda kukaa meza moja!...ikawa hivyo kwa siku kama tatu, stori stori mara mwenzangu umefkia hotel gani..nitakuja kukutembelea...loh!..mechi iliyopigwa sku hiyo sijawahi kuiona, mechi ilikuwa ngumu vibaya, dakika 90 bilabila, muda wa nyongeza bilabila, penart bilabila, rusha shillingi ikasimamia ugoko...siku nzima ilikuw amtanange wa kufa mtu, kumbe timu zote mbili zilikamiana na zilikuwa hazijacheza mechi siku nyingi!!