tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 26,021
- 25,426
Kama kabanwa anashindwa nini kumchukua msichana makini wa hapa town,...sema atakuwa domo zege huyu...watu mbona tukienda mikoani/ugenini tunachota masister duuh wazalendo kabisa.
umeona eeh?
Kama kabanwa anashindwa nini kumchukua msichana makini wa hapa town,...sema atakuwa domo zege huyu...watu mbona tukienda mikoani/ugenini tunachota masister duuh wazalendo kabisa.
Ukimwi upo
acha kufanya ngono uzembe oa au olewa
hee, ina maana ndio hicho kilichokupeleka Arusha?
Hahahaha, leo mtanivunja mbavu jamani! wahahahahaha! Nakumbuka ilikuwa workshop moja ya wiki sita sehem, mwanaume nimekata wiki tatu fresh bila mashaka, wiki ya nne watu tumeshaanza kuzidiwa, kumbe watu mnaweza kutongozana hata bila kuongea, dada mmoja ikawa kila kwenue queue ya bfast na lunch anajitahidi kuwa mbele yangu, ananichukulia sahani na kunikabidhi, automatically tunaenda kukaa meza moja!...ikawa hivyo kwa siku kama tatu, stori stori mara mwenzangu umefkia hotel gani..nitakuja kukutembelea...loh!..mechi iliyopigwa sku hiyo sijawahi kuiona, mechi ilikuwa ngumu vibaya, dakika 90 bilabila, muda wa nyongeza bilabila, penart bilabila, rusha shillingi ikasimamia ugoko...siku nzima ilikuw amtanange wa kufa mtu, kumbe timu zote mbili zilikamiana na zilikuwa hazijacheza mechi siku nyingi!!
hahahaha! jamani kitufe cha like kinakuwa upande wa kushoto au kulia? mboni sikioni?
hiyo extracalicular activity. sio lazima mtu ung'ang'anie job description tu!
Dah, una moyo! Siku moja bana mimi na njaa zangu ugenini, nimebanwa hasa, nikatoka zangu nikaround mitaa nikaenda kuopoa dada poa. Sh ngapi, faster buku20...mi sina bana nina buk tano tu hapa nataka nikasimamie show ya fasterfaster, buku tano nomer bana, labda uende palee mtaa wa pili utapata hata wa buku...hapa bei ya mwisho buku 10! Basi tukakubaliana buku 10 mtoto mzuri tu maskini wa mungu. Kufika ndani mashine yenyewe ikanywea.....kila nikivuta stimu nikija kukumbuka niko na changudoa mashine inaghairi kabsaa, akiishika kuibembeleza inasimama dede nikikumbuka kuna mtu nataka kumsalito tu mwili unapiga paaah mashine inanywea tena! Nikaona isiwe tabu, nikachomoa buku ten nikampa nikamwambia nenda zako bana....!! Alivoondoka tu kitu kiarudia hali ileile ya mwanzo, hakitaki kulala kimesmama dede mpaka kinauma, nikaona isiwe tabu, bafuniiii! KUANZIA SIKU HIYO SIJAJARIBU TENA CHANGU!
ukimwi upo
Wewe sasa ndo umepatia ....., panaitwa PIN POINT, -hapo ndo mwisho wa matatizo ya huyo bro!
Dah, una moyo! Siku moja bana mimi na njaa zangu ugenini, nimebanwa hasa, nikatoka zangu nikaround mitaa nikaenda kuopoa dada poa. Sh ngapi, faster buku20...mi sina bana nina buk tano tu hapa nataka nikasimamie show ya fasterfaster, buku tano nomer bana, labda uende palee mtaa wa pili utapata hata wa buku...hapa bei ya mwisho buku 10! Basi tukakubaliana buku 10 mtoto mzuri tu maskini wa mungu. Kufika ndani mashine yenyewe ikanywea.....kila nikivuta stimu nikija kukumbuka niko na changudoa mashine inaghairi kabsaa, akiishika kuibembeleza inasimama dede nikikumbuka kuna mtu nataka kumsalito tu mwili unapiga paaah mashine inanywea tena! Nikaona isiwe tabu, nikachomoa buku ten nikampa nikamwambia nenda zako bana....!! Alivoondoka tu kitu kiarudia hali ileile ya mwanzo, hakitaki kulala kimesmama dede mpaka kinauma, nikaona isiwe tabu, bafuniiii! KUANZIA SIKU HIYO SIJAJARIBU TENA CHANGU!
Mmh we una matatizo yako tuu ya kutosimama dede nakushauri nenda kwa mganga kutoka nigeria
ukome, dhambi ingekutafuna
umeona eeh? right bond at the right time.