Mromboo
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 3,071
- 6,902
My dada muache tu ana matatizo huyu jamaaa. Si bure analake jamboThamani ya mwili wako ni kubwa zaidi ya ujuavyo. Acha kabisa huo mpango
My dada muache tu ana matatizo huyu jamaaa. Si bure analake jamboThamani ya mwili wako ni kubwa zaidi ya ujuavyo. Acha kabisa huo mpango
ahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa_shikamoooooooooo da Blaki Woman.
Njoo nyumban hubby hayupo!
Nisaidieni mwenzenu nawatafuta dada poa hapa Arusha nitawapata kona gani?
marahaba mdogo wangu
tabia gani ninayosoma hapa
uafrika ndivyo ulivyo?
pole wewe kaka mtafuta dada poa......wapo wengi na taka utakavyo kwani dhambi inayokutawala ndiyo itakayokuuwa. dada poa wamejaa mitaa yote ya jiji la Arusha ila hutegemea unataka dada poa wa bei gani? wapo kuanzia laki 7(VIP) hadi jero(YEBOX2). so sema unataka wa bei gani ili dhambi inayokutawala ikumalize kabisa. hakika hutainuka. Huyo dada poa utafia kifuani mwake. itakuwa aibu ya mwaka.
Na si machangu staarabu tu hao?dada poa ndio mpango mzima,kwa bei yake ,wakati wako,style yako sehemu yako no longolongo tena unachagua aina uitakayo,india ,swahili,zungu somali,zaramo ,chaga,pemba,yaani kama unafanya shoping vile, halafu uzuri wa dada poa hawavunji ndoa yako hata ukipishana nae hakujui tena!Kama kabanwa anashindwa nini kumchukua msichana makini wa hapa town,...sema atakuwa domo zege huyu...watu mbona tukienda mikoani/ugenini tunachota masister duuh wazalendo kabisa.
Hahahaa, hamna kitu mwanangu...angeniroga ingekuwa inagoma hata kwa kale kampango kangu ka kando pale Moro! teh teh
Nani kakwambia walío owa/olewa hawana ukimwi? Kwa taarifa yako ukimwi ni zaidi ya hvo ufikiriavo.Mapambano dhidi ya ukimwi hayotokuja kufanikiwa.
Mkuu naona watoto wa mama wanajaza story za isidingo,egori na acapulco bay! Sie uswazy tumezoea video za rufufu !kwenda naye wapi_mimi nimesoma st.kayumba...hayo mambo ya kusafiri na mwanamke mnayaweza mliosoma st.teresa,st.marry's etc.etc...
doh mna kazi wasaliti dawa yenu pastola tuuuu paaaaaaaaaaaa!