Jumanne Mwita
JF-Expert Member
- Nov 18, 2014
- 424
- 1,044
Kuna huyu dada (anawatoto wawili japo mdogo), kalipiwa ada ya mafunzo ya ushonaji na mume wake, kajifunza mpaka akajua.
Picha linaanza mwalimu wake akawa anamegua kama wife, kibosi.
Haikuishia hapo mwanamke maelewano na mume wake yakawa ya kuunga unga baada ya kuanza kushika pesa.
Hapa naweka ujumbe kuna kesi polisi ya mwanamke kutoroka na Bro mwingine aliyekuwa anajifunza ufundi pia kwa mwalimu huyo huyo, lakini akawa kauza mazao kwahiyo anakibunda fulani cha kula.
Mwalimu wao anahangaika kuwarudisha maana mume wa mwanamke huyo kasala sana (mume alikuwa anampiga sana huyo mwanamke unaambiwa).
Simply, mwanamke baada ya kujua ufundi alianza kumvimbia mume wake, maana mume hakuwa na kipato cha kueleweka japo alijibana mpaka kumlipia ada.
Tujitahidi sana kuchagua mama wa kuzaa nazo, hii issue inakata sana na ime trend sana.
Bro unapaswa kujua mwanamke wako akikuzidi kipato kuna namna atazingua tu na pia uanaume na heshima ndani havitengenezwi kwa kumpiga mwanamke.
Kutoka X
Picha linaanza mwalimu wake akawa anamegua kama wife, kibosi.
Haikuishia hapo mwanamke maelewano na mume wake yakawa ya kuunga unga baada ya kuanza kushika pesa.
Hapa naweka ujumbe kuna kesi polisi ya mwanamke kutoroka na Bro mwingine aliyekuwa anajifunza ufundi pia kwa mwalimu huyo huyo, lakini akawa kauza mazao kwahiyo anakibunda fulani cha kula.
Mwalimu wao anahangaika kuwarudisha maana mume wa mwanamke huyo kasala sana (mume alikuwa anampiga sana huyo mwanamke unaambiwa).
Simply, mwanamke baada ya kujua ufundi alianza kumvimbia mume wake, maana mume hakuwa na kipato cha kueleweka japo alijibana mpaka kumlipia ada.
Tujitahidi sana kuchagua mama wa kuzaa nazo, hii issue inakata sana na ime trend sana.
Bro unapaswa kujua mwanamke wako akikuzidi kipato kuna namna atazingua tu na pia uanaume na heshima ndani havitengenezwi kwa kumpiga mwanamke.
Kutoka X