Dada /kaka wa Saloon -Kigamboni-Kibada

Dada /kaka wa Saloon -Kigamboni-Kibada

sforSia

Member
Joined
Nov 16, 2017
Posts
11
Reaction score
4
Anahitajika mfanyakazi wa saloon Awe anajue
-Kuweka rollers
-Steaming/hair treatment
-Kupamba Maharusi
-Kusuka aina zote za nywele
-Awe MWAMINIFU na aliyeko tayari kufanya kazi SERIOUSLY
-Awe na Huduma na Kauai Nzuri kwa wateja
-Awe tayari kutoa huduma kwa ukarimu na weledi

Kama upon tayari PM
 
Anahitajika mfanyakazi wa saloon Awe anajue
-Kuweka rollers
-Steaming/hair treatment
-Kupamba Maharusi
-Kusuka aina zote za nywele
-Awe MWAMINIFU na aliyeko tayari kufanya kazi SERIOUSLY
-Awe na Huduma na Kauai Nzuri kwa wateja
-Awe tayari kutoa huduma kwa ukarimu na weledi

Kama upon tayari PM
UHAURI: Kama hutajali rekebisha mwenyewe kama waweza. ama waombe mods wakurekebishie neno SALOON lisomeke SALON maana hivyo lilivyoandikwa hapo halileti MAANA ilokusudiwa ....

By the way nakutakia MAFANIKIO MEMA katika ANNOUNCEMENT yako ...
 
UHAURI: Kama hutajali rekebisha mwenyewe kama waweza. ama waombe mods wakurekebishie neno SALOON lisomeke SALON maana hivyo lilivyoandikwa hapo halileti MAANA ilokusudiwa ....

By the way nakutakia MAFANIKIO MEMA katika ANNOUNCEMENT yako ...

Sante mkuu
 
Back
Top Bottom