Dada Huyu Kapotea na Anatafutwa (Arusha)

Dada Huyu Kapotea na Anatafutwa (Arusha)

Ntu

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
1,038
Reaction score
697
Wandugu tumepotelewa na dada huyu, katoka nyumbani (Matejoo kwa Giriki) tangu siku ya Juma tano tarehe 24/04/2019. Tumemtafuta kila mahali bila mafanikio. Tumeambiwa alionekana maeneo ya Kwa-Mromboo. Mara ya mwisho alivaa malapa ya bluu, kitenge cha kijani, koti jeupe (dogo), kichwani kajifunika mtandio wa rangi ya zambarau. Tumetoa taarifa polisi (Kituo cha Ngarenaro) na tumepewa RB namba: NG/RB/504/2019.

1084528


Yeyote atakayekuwa amemuona atoe taarifa kituo chochote cha polisi au apige namba zifuatazo;
0742-832-390 (Mumewe)
0756-336-967 (Baba Mkwe)
0758-263-074 (Shemeji yake)

Asanteni sana.
 
Atakua katoroka ama katoroshwa.Ama kuna mambo hayako sawa.mnamtesa ama.Lazima atakua na sababu zake za msingi.Na nyie huenda mnazijua
Mkuu sasa hivi tunamtafuta, tukianza kuulizana nani mwenye makosa naona haitasaidia kwa sasa (jambo lenyewe lipo polisi), cha msingi ni kumpata
 
Mkuu sasa hivi tunamtafuta, tukianza kuulizana nani mwenye makosa naona haitasaidia kwa sasa (jambo lenyewe lipo polisi), cha msingi ni kumpata
Kama mmelileta hapa basi jua kulijadili ni haki.Na tukitumia weledi tutajua mengi.Na inawezekana kuna watu watachukuliwa hatua
 
Mkuu sasa hivi tunamtafuta, tukianza kuulizana nani mwenye makosa naona haitasaidia kwa sasa (jambo lenyewe lipo polisi), cha msingi ni kumpata
Kama mmelileta hapa basi jua kulijadili ni haki.Na tukitumia weledi tutajua mengi.Na inawezekana kuna watu watachukuliwa hatua
 
Back
Top Bottom