Dada Dr. Pamela Sawa, tafadhali jirekebishe!

Tukiacha malalamiko ya huyu dada nadhani Wizara yetu ya Afya inatakiwa ifanyiwe marekebisho makubwa sana.

Kwanza kuna kukomoana kati ya madaktari waliosoma Tanzania na wale waliosoma Ulaya ya Mashariki. Miaka ya nyuma viongozi wengi wizara ya Afya walikuwa madaktari wasaidizi au clinical officers. Hawa watu walipotaka kujiendeleza hawakupata nafasi za kusomea udaktari kwenye chuo pekee cha udaktari Tanzania kwa enzi hizo, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, tawi la Muhimbili. UDSM ilikuwa strict sana katika admission hivyo hawa watu hawakuthubutu kabisa kwenda kuomba kuingia Muhimbili hivyo wakapata nafasi za kwenda kusoma kwenye vyuo vidogo vya Ulaya ya Mashariki na Cuba. Wengi waliporudi wakaja kuchukua nafasi nyeti wizara ya Afya na kujenga chuki dhidi ya graduates wa vyuo local au vile vya Afrika ya Mashariki.

Hawa jamaa ambao kwa kawaida hupendelewa kuitwa MD Russia wamekuwa wakipeana upendeleo huku wakiwatenga MD Dar. Wamekuwa wakitumia lugha ya kirusi kupeana mikakati makazini. Na hakika zaidi ya asilimia 90 si wazuri katika shughuli za kuhudumia wagonjwa.
Ukiacha umuhimu wa Wizara ya Afya kujijenga vizuri ili iweze kusaidia watanzania, pia iwe makini katika kufuatilia watu waliosoma nje ya nchi kama kweli wana sifa wanazozipeleka hapo wizarani. Tumeshawahi sikia baadhi ya watu walioenda kusoma Urusi na China, kwamba wakifika kule huwa hawasomi kwa kuwa ni lazima watafaulu (Hakuna serikali itatoa msaada wa kusomesha watu wako kumi halafu ikaja baada ya miaka sita ikisema wengine tisa walifeli, lakini huyu mmoja pekee ndio kafaulu; hivyo wakitoa misaada kwa watu kumi hakika hao watu kumi watamaliza shule), na wengine huacha chuo ila baada ya muda wao wa masomo kuisha huja Tanzania wakiwa na vyeti feki kwamba tayari wameshamaliza chuo. Bahati mbaya TCU haijaingia kuthibitisha uhalali wa wafanyakazi wa Afya wengine wanaua watanzania kwa kuwa wamekosa elimu.
 
N.B: Nimeiweka hapa kwenye siasa, maana Tz kila kitu ni siasa tu!

Nimekuwa na rafiki zangu wazalendo kuliko mimi (kama watatu) ambao wamekutana na mama huyu pale Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

Kama kawaida ya mama huyu wote walikuwa wakifika ofisini kwake wanaishia kuondoka wamekwazika, bila kujali malengo yao thabiti ya kuanzisha hospitali na vituo vidogo vya afya nchini Tanzania, kwa lengo la kuboresha maisha ya mtanzania. Hawa ni watanzania ambao wametumia mali zao ili kufungua vituo vya afya nchini, biashara ambayo kwa hakika si ya kuaminika kwa nchi yetu ya Tanzania lakini wakiwa wanaongozwa na dhamira njema ya kusaidia wenzetu nyumbani wamethubutu kujaribu (Mmoja Marekani, mwingine Afrika Kusini, na wa mwisho yupo nyumbani Tanzania). (Tunamshukuru Mungu ndugu zangu hawa wote wamepata usajili baada ya kusota kwa miezi kadhaa wakisubiri kupata usajili).

Naambiwa Dr. Pamella Sawa ni Msajili wa Vituo vya Afya Binafsi na Umma wizara ya Afya. Kitengo ambacho kwa hakika kimekuwa kinazidi kufungia vituo vya watu binafsi kwa maelekezo kwamba havijatimiza vigezo wakati huo huo wakiviacha vituo vya serikali visivyohitajika hata kuwapo kwa jinsi visivyokuwa na sifa za kutoa huduma kwa wananchi.

Kitengo hiki kimekuwa kikipokea rushwa nyingi wawapo kuchunguza utendaji kazi wa vituo vya afya Tanzania, na mara zote wamekuwa wanatengeneza mazingira ya rushwa hata kama huna kosa.

Mtanzania msomi, Dr Pamella anasifika sana kwa kuheshimu raia wa kigeni hususani wahindi wenye vituo vyao vya afya nchini kwetu, huku akiwadharau Watanzania vijana kwa wazee ambao wanajitolea kutoa huduma kama hiyo. Ni mara nyingi utaona mhindi anaruhusiwa kuingia ofisini kwake bila kusubiri foleni ya watanzania waliokaa nje ya ofisi yake.

Ukiingia ofisini kwa Dr. Sawa (Yameshawahi nikuta wakati namsindikiza jamaa yangu kufuatilia usajili wa hospitali yake) utapokelewa kwa moyo mkarimu na wasaidizi wake ambao pia hawaishi kunyanyaswa na dada huyu mrembo lakini ghafla ukashangaa anakutoa kwa ukali kwa kisingizio cha kwamba wana mkutano au subiri mtu mwingine atoke (japo kuna watu zaidi ya watatu wanaotoa huduma katika ofisi yake).

Dr. Sawa anasifika kwa maneno makali ambayo baadhi ya nyakati huleta aibu kwa watanzania wanaoingia ofisini kwake. Watumishi wengi wizara ya afya ambao wanahitaji huduma katika ofisi yake huenda kuongea naye kwa woga mkumbwa utadhani yeye ni Simba, ingawa ana umbile dogo na lenye mvuto.

Wengine wanadai kwamba ati Sawa hutumiwa na baadhi ya rafiki zake kutoruhusu kupitisha maombi ya watu wengine wanaonekana ni hatari kwa vituo vingine vya afya kuendelea kupata wateja (sina uhakika maana maombi hupitishwa na board, ingawa yeye huhusika na hatua zote za kupitia maombi na pia ana nguvu sana kikaoni).

Tunashukuru serikali kutoa fursa sawa kwa wote, maana hata mwanamke msomi kama huyu anaweza kupata nafasi nzuri wizara ya afya makao makuu bila shida yoyote, lakini mambo anayowafanyia watanzania wenye moyo safi wa kutaka kuisaidia jamii yetu yanamfanya aonekane asiyefaa na kwa kweli anatakiwa ajirekebishe haraka.

Kama ni tabia zake za asili basi ajitahidi kuziweka kando pindi awapo kazini.

Lakini Tutafika tu!!!

Mkuu suala hili mfikishie Blandina Nyoni ili amshughulikie huyu dada, maana ameshawashughulikia sana watu kama hawa pale Wizara ya Afya.
 
Huyo Dr. Pamela hana kitu wala hasiwababaishe. Na sijui huo udaktari kaupatapataje huko Russia maana form 4 hapa Tanzania alipata division zero. Siku nyingine ukienda muulize jina lake la ukweli. Jina lake haswa ni Lulu Sawa; amesomea Muhimbili P/School na alikuwa anakaa Ocean Road, pale Sea View. Baade akaenda either Mzizima Secondary au Shaaban Robert. Yawezekana alichakachukua vyeti vya form 4 na 6.

Tatizo la Tanzania mtu akishakuja na cheti cha nje wanamshobokea na kumpa cheo kikubwa bila kuangalia background yake ikoje.

Kama sikosei alisoma kama MA kule Ifakara. Siwezi puuza madai ya mtuma sredi ingawa nadhani sekta ya afya na zaidi kuhusu hizi hospitali binafsi zina mapungufu mengi ambayo mengine ni uzembe na mazoea yetu ya kutopenda kufuata sheria na taratibu.
 
Wanawake badilikeni. Mnapopata nafasi nzuri onyesheni kwamba tunaweza na hamkupewa kwa upendeleo. Inanisikitisha sana kila mara wanawake wenye madaraka kulaumiwa kwa utendaji wao. Hebu tujirekebishe ili ile fursa sawa ionekane.

Hapo umenena!!!!!!!!!!!
 
Hapa sijui kipi ni kipi? sasa hivi ni excuse hospital ya binafsi kutoa huduma substandards eti tu kwa sababu zile za serikali ni chakavu zaidi ? pia nyingine eti ni za hawa wachina nao wanajiita 'hospitali' wakati hawana MDs..hatuezi kwenda staili hiyo wajameni. Sheria zipo kuboresha huduma ya afya, si kuchukua standards za hovyohovyo. Pia kama mhusika anayotoa usajili kama unaona anakunyanyasa bila sababu za msingi, nina hakika anaye bosi wake, document ishu yako na ongea na bosi wake umsikilize atakwambia nini, la sivo huu uzi nahisi ni majungu tu.
 
Vituo vingi vya afya havifuati taratibu stahiki. Dada Lulu sawa ni kweli ana attitude, Rushwa kula bongo ni utamaduni wetu. Katibu mkuu sidhani kama ataweza kumshughulikia Pamela kwani ana back up ya vibopa. Napita tuu.
 
We washangaa vituo vya afya............mbona hata shule za serikali a.k.a za kata hazina sifa za kuwa shule lakini yanasajiliwa bila kutimiza vigezo..........no lavatory, no laboratory, no playing grounds, no enough classrooms, no teachers except head master, no library and books...msururu mrefu....lakini ni shule tena wanatoa takwimu wana shule so and so........inauma sana!
 
Je na hapo tutamlaumu JK? Maana huyo mwana dada Dr, is an individual ambaye amepewa dhamana na serikali, watanzania inabidi yubadilike kwanza as individual ndiyo tuikosoe serikali, bila hivyo anayepata rungu atapiga kila mahali, na mwingine akipata naye analipiza kisasi.

Watu wanakosoa mfumo mzima.....you don't get it...do you..?????!!!!!!! kaah
 
Hapa sijui kipi ni kipi? sasa hivi ni excuse hospital ya binafsi kutoa huduma substandards eti tu kwa sababu zile za serikali ni chakavu zaidi ? pia nyingine eti ni za hawa wachina nao wanajiita 'hospitali' wakati hawana MDs..hatuezi kwenda staili hiyo wajameni. Sheria zipo kuboresha huduma ya afya, si kuchukua standards za hovyohovyo. Pia kama mhusika anayotoa usajili kama unaona anakunyanyasa bila sababu za msingi, nina hakika anaye bosi wake, document ishu yako na ongea na bosi wake umsikilize atakwambia nini, la sivo huu uzi nahisi ni majungu tu.

Sheria msumeno....
 
Huyu dada najua kasoma maastrich school of management kiko netherlands mph according to her kuna siku nilisafiri nae kutoka dom dar niliongea nae sana tu sasa hayo kasoma urusi labda kama ni undergraduate sawa
 
Tatizo la nchi yetu ni kwamba tumefanywa tuamini kwamba ofisi za serikali hazipo kwa ajili ya kutuhudumia sisi, bali zipo kwa ajili ya ku-exercise authority juu yetu.
Ni lazima tubadili huu mfumo ili hao wanaokalia viti kwenye ofisi za serikali wajue kwamba wapo pale kwa ajili ya kutuhudumia sisi na si vinginevyo.

Mkulu
Much respect... you have made my day.
Nakushukuru.
...Tazama...nimebonyeza "like"
 
Huyo Dr. Pamela hana kitu wala hasiwababaishe. Na sijui huo udaktari kaupatapataje huko Russia maana form 4 hapa Tanzania alipata division zero. Siku nyingine ukienda muulize jina lake la ukweli. Jina lake haswa ni Lulu Sawa; amesomea Muhimbili P/School na alikuwa anakaa Ocean Road, pale Sea View. Baade akaenda either Mzizima Secondary au Shaaban Robert. Yawezekana alichakachukua vyeti vya form 4 na 6.

Tatizo la Tanzania mtu akishakuja na cheti cha nje wanamshobokea na kumpa cheo kikubwa bila kuangalia background yake ikoje.

Ni ukweli mtupu na ndio maana hajui ethics za kazi,, ana bore vibaya mnoooooooooo, naomba kuishia hapo maana nina machungu nae mengi sana huyu
 
Huyo Dr. Pamela hana kitu wala hasiwababaishe. Na sijui huo udaktari kaupatapataje huko Russia maana form 4 hapa Tanzania alipata division zero. Siku nyingine ukienda muulize jina lake la ukweli. Jina lake haswa ni Lulu Sawa; amesomea Muhimbili P/School na alikuwa anakaa Ocean Road, pale Sea View. Baade akaenda either Mzizima Secondary au Shaaban Robert. Yawezekana alichakachukua vyeti vya form 4 na 6.

Tatizo la Tanzania mtu akishakuja na cheti cha nje wanamshobokea na kumpa cheo kikubwa bila kuangalia background yake ikoje.
Mwekezaji Mzawa, jina la Lulu umepatia ndilo jina lake la primary, mimi nimesoma naye primary na sio Muhimbili!.

Primary alikuwa bright hivyo kwa vile umesema uwongo, hakusoma Muhimbili, then pia itakuwa ni uongo hakupata Div 0!.

Kiukweli huyu dada ni no nonsense lady!. Tangu primary yuko very strict!. The fact she is a striking beautiful, watu wanamungia as if taking her for a ride or for granted!.

Inawezekana akawa hivyo mnavyodai ila kupitia TV nimeona, hivyo vituo vilistahili kufungwa!.

Tukirudi kwa wahindi, tukubali tukatae, they are snarter!. Wamejenga trust ya hali ya juu kila kona!. Benki zetu, wao wanapewa mikopo bila collateral na wanarudisha!. Hospitali zao Agha Khan, Regency, Hindu Mandal na TMJ ndio top in town, nimelazwa Moi eti kipimo cha MRI lazima niende Regency!. Hata viongozi wetu tunawatibu nchini kwao!.

Huyu Dada ni Dr wa ukweli anayezingatia sheria, taratibu na kanuni za usajili!. Tatizo letu wabongo tunapenda sana short cuts na mambo ya ujanja ujanja ambayo Lulu hayakubali!.
 
Mwekezaji Mzawa, jina la Lulu umepatia ndilo jina lake la primary, mimi nimesoma naye primary na sio Muhimbili!.

Primary alikuwa bright hivyo kwa vile umesema uwongo, hakusoma Muhimbili, then pia itakuwa ni uongo hakupata Div 0!.

Kiukweli huyu dada ni no nonsense lady!. Tangu primary yuko very strict!. The fact she is a striking beautiful, watu wanamungia as if taking her for a ride or for granted!.

Inawezekana akawa hivyo mnavyodai ila kupitia TV nimeona, hivyo vituo vilistahili kufungwa!.

Tukirudi kwa wahindi, tukubali tukatae, they are snarter!. Wamejenga trust ya hali ya juu kila kona!. Benki zetu, wao wanapewa mikopo bila collateral na wanarudisha!. Hospitali zao Agha Khan, Regency, Hindu Mandal na TMJ ndio top in town, nimelazwa Moi eti kipimo cha MRI lazima niende Regency!. Hata viongozi wetu tunawatibu nchini kwao!.

Huyu Dada ni Dr wa ukweli anayezingatia sheria, taratibu na kanuni za usajili!. Tatizo letu wabongo tunapenda sana short cuts na mambo ya ujanja ujanja ambayo Lulu hayakubali!.

Wewe amekutuma umwandikie ili umsafishe
 
Kuna mchangiaji ameongelea mfumo. Nini kifanyike, Nilikuwa RSA mwezi uliopita Cape Town ukiingia kuanzia airport unajua ile nchi watu wanafuata utaratibu sisi watanzania tuna curse gani ishindwe kwa jina la mwana wa daudi. Kila system iko broken. Tujiangalie na tufuate utaratibu husika.
 
Siamini kama itakuwa majungu, naamini huyu dada aweza kuwa strict kama Pasco alivyosema, lakini kuwa strict hakukufanyi uwe mtendaji bora. Unaweza ukawa strict katika matakwa na imani zako zilizo tofauti na wengine.
Mwanzilishi wa maada ambaye kapotea hajafurahishwa na tabia za asili za dada huyu na kwa bahati hajasema aachishwe kazi au la. Ila kamuomba ajirekebishe.
Lisemwalo lipo, watu wakikuona jaribu kubadirika maana ipo siku Godfathers wanakuwa hawana chao. Hebu walioko maofisi wachape kazi!
 
Back
Top Bottom