Kaa tu single, haina shida.Asee kuna the way nyuso za watu zinabadilika once nikiwajibu sijaolewa.
Mama yangu anapenda kuniforce ety niolewe ili nizae watoto watatu her argument is mwanamke akikaa kwenye nyumba yake she is a queen.. Nawaza hao watoto watatu atawalea yeye? Jee nikipata mume wa kunidunda, kunicheat etc bado ntakua queen tu au ntaishia kua single mother ?
Life is like poker, always make sure you have an Ace up your sleeve.
Sent using Jamii Forums mobile app
sure, mwanaume mchepukaji anakuhatarisha ktk Kila nyanja ya maisha .Aisee wote hawafai ila kama nitatakiwa kuchagua bora wa kunidunda
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa. Sio hakitakiwi kuvuka mipaka, hakitakiwi kabisasure, mwanaume mchepukaji anakuhatarisha ktk Kila nyanja ya maisha .
Na kipigo pia hakitakiwi kuvuka mpaka.
Sawa kabisa na ili isiwepo kabisa, basi kila mmoja imempasa kua MTU mzima.
Hadi mkafikia hatua ya kuoana bila shaka ninyi ni watu wazimaSawa kabisa na ili isiwepo kabisa, basi kila mmoja imempasa kua MTU mzima.
Kuna watu wanalazimisha makofi.
Wengine huishia kubadilika nadhan sababu ya mazoea, badala yakua vile walivokua kabla ..... Sasa mazoea ndio yanawaendesha.
Hivi kwanini mkuu kwa hiyo situation inanikutaga sana sijui huwa wanatushangaa wakati huwa ni maamuzi ya mtu binafsi**** jamaa aliniuliza toka umalize chuo una kama mwaka saiv vp una mtoto nikasema sina
Akanipiga jungu akasema mwana unajitunza
Ndio siulizwi sasa
Huyu member amepotelea wapi ?
Dada unaolewa lini ?Ndio siulizwi sasa
Acha kunifuatilia mbwa weweDada unaolewa lini ?
Dada unaolewa lini ?
Hahahaha, duhAcha kunifuatilia mbwa wewe
Huyu mjinga kila ninapokomenti na yeye yupo sijui hata anawashwa na niniHahahaha, duh
Msamehe, RafikiHuyu mjinga kila ninapokomenti na yeye yupo sijui hata anawashwa na nini
π«π«π«π«π«π«π«Acha kunifuatilia mbwa wewe
Leave my babe alone please,
Mtu hasiyeolewa lazima abwatuke kama wewe akiulizwa hilo swali. Pole. Nataka nikusitiri. Upo tayari ?