Dada aenda kumtembelea mdogo wake waliomuozesha baada ya Wiki moja

Dada aenda kumtembelea mdogo wake waliomuozesha baada ya Wiki moja

Mawele

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2023
Posts
925
Reaction score
3,226
Dada akielezea ambavyo amekwenda kumtembelea mdogo wake ambaye ilikuwa imepita wiki moja tangu aolewe
 
Kudadeki! Huyo mtoto ana wazazi kweli! Aaah wanaume ni viumbe katili sana
 
Huu ni ukatili ambao haukubaliki.

Last time zitto kabwe maneno yalikua yanavuma kua alioa mtoto mwenye miaka 15. Kuna baadhi ya dini na makabila yenye Mambo ya ajabu sana.
 
Ila kuna jamii zimejaa upumbavu sana.

Huyo ni mtoto mdogo kabisa.

Na huyo mwanaume ni Mbakaji anayetakiwa kukamatwa haraka sana.
 
KAh! Watu wasome jmn

Alafu wanawake wenzake wako kimya kama ni kawaida.

Njemba nae anatatizo kichwani
 
Nchi yetu bado rate ya ignorance ipo juu sana.
Kumuozesha mtoto wa miaka kumi si mila wala busara ni kumnyang’anya utoto na unyanyasaji uliopitiliza.

elimu na haki ya kuamua maisha yakila mtoto wakike kwa wakiume.

Jamii inayomlazimisha mtoto kuingia kwenye ndoa kabla hajakomaa inahitaji elimu zaidi, si kujivunia ujinga kama utamaduni RUBBISH 🗑
 
Back
Top Bottom