Daah nachomokaje hapa sielewi kabisa, msaada!

Daah nachomokaje hapa sielewi kabisa, msaada!

Kbs
Ukiwa shule Kuna namna unaona waliopo kitaa hawapo aggressive na 💸💸siku ww ukimaliza ukiingia kitaa .......naomba nsiendelee nshakua emoshno
Cry abeg 🤣😆😆
FB_IMG_17081969541809530.jpg
 
Mzee itakua anawapenda sana anahis mkiwa mtateseka sana...itakua nyie ni wavivu hamjazoea mazingira magumu 🤣🤣🤣si Hata ww mwenyewe unaona ulivo ukikerwa unalia
mbona siliagi jamani😂😂.. Halafu sio wavivu basi tu Toka Mababu na mabibi zamani walikua wanaishi hivyo wamerithishana
 
Wakuu kwema?

Nimevurugwa saana Sasa sielewi nafanyeje hapa.. Nina mahusiano na wanawake wawili wote Wanakaa mkoani Arusha, sasa mmoja nina muda nae kama Mwaka Sasa huyu mwingine ni mpya mpya.

Ni wazuri wote ila huyu mpya amemzidi mwenzake kwa staha, ana staha na ni mstaarabu zaidi na sio muongeaji sana.. na hapa Dar Nina mmoja wa kunipunguzia nyege kama nikizidiwa huyu Wa Dar nilishampa misingi yangu Hana noma kabisa.

Hyu wa kwanza kafunga chuo mwenzake ni mfanyakazi Sasa huyu mfanyakazi ambaye ni wa pili alipata Kazi Dar akaomba aje akae kwangu mpaka atakapokaa sawa nikakubali anakuja Jumatano ajiandae andae..

Jana ghafla Wa chuo ananipigia simu nipo Shekilango njoo nipokee nikashtuka saana
Nikamuambia mbona hujanipa taarifa akasema ameamua ku ni surprise daah

Nikamuuliza unakaa muda gani akaniambia week mbili mpaka Barua za field zikitoka waah.. ninavyowaambia Niko nae hapa ndani huyu Wa chuo.

Sielewi nafanyeje na huyu mwingine huwa tunapenda sana kuongea na simu usiku hapendi sana kuchati nikimtumia message mbili tatu anapiga, wadau hapa nafanyaje maana sielewi huyu namtoa vipi hapa?

Msaada tutani.
Huyo mmoja nipe pasi nikusaidie kuokoa msala
 
Kesi ndogo sana hiyo. Hapo wa kupangwa ni wa chuo huyo akiwepo hapo atakubana sana anatakiwa kuondoka. Hapo tatizo litabaki ni kwa namna ulikua unaishi nao hapo mwanzo
 
Ahhh ongeza wengine wanne ,jumla wawe Saba,kila siku unajipigia mmoja

We bado kijana,shababi,nguvu za kutosha,kazi nzuri,hela unazo,majumba unayo,usafiri kedekede,imebak kuwajaza tu🤣

Mwambah unafal wapii?
Life is too short badddd🤣🤣
 
Back
Top Bottom