Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,106
- 111,768
Naomba nisieleweke vibaya ndugu wana jukwaa 😅Hehee 😂😂😂
Ni katika namna ya kuokoa jahazi lisizame.
Naomba nisieleweke vibaya ndugu wana jukwaa 😅Hehee 😂😂😂
NakaziaUhuni haujawahi kuwa na faida zaidi ya mahangaiko.
Kijiji bila wazee siyo Kijiji hiko. Umemshauri vema mkuu.Hakuna ujanja kwenye ku-cheat maana hata uwe mjanja kama dabolooseveni James Bond kuna siku utakamatwa tu. Nadhani bado ungali kijana. Miaka 10 - 20 mbele ya safari huko (kama utakuwa umeshajitambua) utakuja kukumbuka purukushani hizi za ujanani na kuishia kujisikitikia tu kwa muda na resources ulizopoteza...na kumshukuru Mungu kama utavuka bila UKIMWI, mikosi na mengineyo. Pole!
Shukrani saana mkuu hii mbinu inaweza ikafanya kaziWatakuja WANAFKI hapa kukupopoa.. na baadhi yao tyr washafika.
Sasa cha kufanya hapo ni kujitoa mhanga.
Ukubali nusu shari kuliko shari kamili.
Tafuta hela kias fulani, mpe huyo aliyekuja bila taarifa mwambie azuge lodge au gest kwa muda wa siku mbili tatu huku akitafuta ndugu zake walishio Dar ambao watakuwa na msaada wa kumuhifadhi bila tatizo.
Wewe singizia una ugeni wa mtu wako unaeheshimiana nae sana na amekosea kuja bila taarifa hivyo huna budi kufanya ulivyoplan.
Daah! Hongera bro!Dah nikihesabu wangu sasaaaaa
Hahahs haaaa wanafika saba na wote maisha yanaenda
Wee hao watatu tuuu wanakusumbua?
Bila shaka ilikua ni igizo🤣
Huu mstari haueleweki kwa kweli, sasa usipozini na mwanamke hamna shida, au kuna kuzini bila ya mwanamke?Aziniye na mwanamke hana akili kabisa.
Tendo la kujamiiana huhusisha watu wa jinsia mbili tofauti yaani Me na Ke, mwanaume afanyapo hilo tendo na mwanamke asiye mkewe huzini, na ndiyo maana ya huo mstari "aziniye na mwanamke hana akili kabisa"Huu mstari haueleweki kwa kweli, sasa usipozini na mwanamke hamna shida, au kuna kuzini bila ya mwanamke?
Ahahahha 🤣🤣🤣🤣mwambie upo safarini kuelekea Iringa kikazi maybe unaweza rudi next month, kuna upepo mkali huwezi ongea mkaskizana viziri labda meseji tuu
Nmecheka mno mkuu dahWaweke wote humo. Waambie mimi nawapenda nyote. Na siku zote niko nanyi
Ujana una mambo mengi sana mkuu, muda mwingine unakuta wazazi wamejitahidi kumlea mtoto katika malezi na maadili mazuri, lakini mtoto anawaaibisha bila second thought.Hivi inawezekanaje binti unatoka nyumbani unaenda kuishi nyumbani kwa kijana ambaye sio ndugu yako tena kwa siku nyingi hivyo..
Au wazazi wangu mimi sio wa nchi hii![]()