Kuna siku niliwahi kuangalia picha kama hii usiku, aisee sikulala, niliweweseka mpaka asubuhi.
Ila baadae nilienda kwenye website fulani hivi nikakuta jinsi inavyofanyika
Nahisi kama Kuna bomba jeupe kama la inch 2" hapo katikati ya hayo maji yanapotiririka