Darasa ni noma,ile ngoma yake sikati tamaa nimeikubali
Darasa?
Kweli majina yamekwisha huko tunakokwenda sitashangaa msanii akijiita KINYESI
Wasanii naowakubali ktk HipHop ni Stereo na One Incredible Ngoma zao zote hau-skip unasikiza mwanzo mwenga!! Na rnb Ben pol na Rama D wengine wanabahatishaga tu ngoma moja moja!
one incredible ni mkal ila hana zali anajulikana kwa wachache.ila hawa washkaj darasa,stereo washkj nyota zao zinashine mbaya.
Wasanii naowakubali ktk HipHop ni Stereo na One Incredible Ngoma zao zote hau-skip unasikiza mwanzo mwenga!! Na rnb Ben pol na Rama D wengine wanabahatishaga tu ngoma moja moja!
uyo stereo ndio nani? nyimbo gani yake inayohit?
one incredible ni mkal ila hana zali anajulikana kwa wachache.ila hawa washkaj darasa,stereo washkj nyota zao zinashine mbaya.
sikiliza nishike mkono inapigwa daily kwenye redio stations
hapo kwenye rnb nimekubali lkn hip hop sina imani nao darasa anabamba!
one incredible ni mkal ila hana zali anajulikana kwa wachache.ila hawa washkaj darasa,stereo washkj nyota zao zinashine mbaya.
One ni mkali kuliko neno mkali lenyewe jamaa anajua sema hana zali kama jmo
nini kipimo cha kutokuwa na zari??one umsikii kwa sababu ataki kutumika.....ndio tatizo la nyinyi watoto mnalishwa tu hamjui ata kinachoendelea,Niki mbishi ulimsikia sana hapo nyuma je leo unamsikia kwenye redio yenu?au unasikia nyimbo za mlab watamaduni zikichezwa??kwa nini uzisikiii??kwa nini usikiii ata neno Duke limekuwa zambi kutamkwa na jamaa wa hapo?...kwa nini stereo kakimbia tamaduni na nyimbo zake sasa zinagongwa na jamaa??.pamoja na yote ukweli unajulikana. ata uwaunganishe stamina,roma,darasa na lolpop mcs wote hawafikii uwezo wa ONE.
katika kizazi cha sasa baada ya Hashimu dogo hakuna mc mkali kuwai kutokea kama ONE the Incredible.ameibadilisha sana game ya hiphop kila mtu sasa anataka kuchana kama One,kitu ambacho ni kikubwa sana kwa msanii mchanga kama yeye kuwa inspaya wachanaji wengi.