Davies_007
Member
- Apr 22, 2010
- 59
- 0
Wakuu wa Kazi Mambo Vipi? Jamani Naomba Mnisaidie Akili na Mawazo Kidogo.
Nimefungiwa wireless Internet Sasa nataka Mpaka Office zingine waweze kupata Internet Nikapata wazo la Kufunga d-link wireless access point Sasa Naomba Mnishauri kama d-link wireless access point ni chaguo sahihi na Kama Mtu anajua price yake Naomba anijulishe Tafadhari
Nimefungiwa wireless Internet Sasa nataka Mpaka Office zingine waweze kupata Internet Nikapata wazo la Kufunga d-link wireless access point Sasa Naomba Mnishauri kama d-link wireless access point ni chaguo sahihi na Kama Mtu anajua price yake Naomba anijulishe Tafadhari