Cycles of powerlessness: How can we improve the health system?

Mwenzio ndo kayaona magumu hivyo lol!

Maswali si magumu hivyo. Ila kwa mtu ambaye si muwazi kama ambaye ana ulterior motive, yanaweza kuwa magumu.

Either huyu mbunge ni simpleton type ya kujitutumua kuandika kiingereza ili aonekane anajua sana, na hivyo kusahau hata ukweli kwamba anaowaandikia wengi hawajui kiingereza na kwa kuandika kiingereza anazorotesha mawasiliano.

Au lengo lake si kuwaandikia Watanzania masikini kama anavyojifaragua.

Both of these scenarios are impalatable. The first gives a picture of an attention seeking trained ignoramus.

The second is a manipulative psychopath as one member already said.

Kuna watu wako vijijini wana access ya internet na printer, ikija post nzuri wanaweza hata kui print na kusambaza kwa wanavijiji wajisomee.

Sasa huko vijijini kwenye abject poverty mtu anaweza kui print hii piece akasambaza kwa wananchi wahusika kabisa? Si kejeli hizi?
 
Maswali si magumu hivyo. Ila kwa mtu ambaye si muwazi kama ambaye ana ulterior motive, yanaweza kuwa magumu.

Either huyu mbunge ni simpleton type ya kujitutumua kuandika kiingereza ili aonekane anajua sana, na hivyo kusahau hata ukweli kwamba anaowaandikia wengi hawajui kiingereza na kwa kuandika kiingereza anazorotesha mawasiliano.

Au lengo lake si kuwaandikia Watanzania masikini kama anavyojifaragua.

Both of these scenarios are impalatable. The first gives a picture of an attention seeking trained ignoramus.

The second is a manipulative psychopath as one member already said.

Kuna watu wako vijijini wana access ya internet na printer, ikija post nzuri wanaweza hata kui print na kusambaza kwa wanavijiji wajisomee.

Sasa huko vijijini kwenye abject poverty mtu anaweza kui print hii piece akasambaza kwa wananchi wahusika kabisa? Si kejeli hizi?
kaka leo una yako tu na kigwangala , article hii ni nzuri sana tu bana
 
wewe jembe mkuu nimekukubali hata jana ulipokuwa unaongea Startv ulifanya vizuri sana nashangaa ni kwa nini haujatumika ipasavyo ila naona kama unapoteza muda sana kufanya mambo ya siasa rudi kwenye fani tu kaka

mkuu tatizo la Kigwa ni watu wanaomzunguka lakini huyu jamaa ukimsoma kwa muda mrefu utagundua kuwa ni mtu mmoja muhimu sana kwa taifa hili. Cha muhimu kwake ni kusimamia anachokiamini na kuachana na propaganda za the so called plastic political rivals.

kwetu wanaJF tuweke siasa pembeni tunapochangia mada zenye umuhimu kwa taifa regardless muanzisha thread ni wa chama gani
 
kaka leo una yako tu na kigwangala , article hii ni nzuri sana tu bana

Huja address maswali. Article ni nzuri kwa nani? Kivipi? Ukiwaandikia earthlings article ya some Android lingo itakuwaje nzuri kwao?
 
mkuu tatizo la Kigwa ni watu wanaomzunguka lakini huyu jamaa ukimsoma kwa muda mrefu utagundua kuwa ni mmoja muhimu sana kwa taifa hili. Cha muhimu kwake ni kusimamia anachokiamini na kuachana na propaganda za the so called plastic political rivals.
kwetu wanaJF tuweke siasa pembeni tunapochangia mada zenye umuhimu kwa taifa regardless muanzisha thread ni wa chama gani

Kaulizwa kuhusu disparity kati ya migari ya ajabu ya kibunge (Range Rover Vogue imekuwa mention, a very unsustainable RR, ukigusa tu umemwaga kikombe cha mafuta, I should know) kaulizwa disparity ya gari hili na hao wananchi masikini anaosema wanabebwa kwenye "carts", hakujibu.

Huyu ni mmoja wa wabunge wanaochampion wabunge kuongezewa marupurupu.

Mnataka tuamini tu kwamba yuko sincere katika madai yake kwamba ana uchungu na Watanzania wa kawaida?
 
Daaah! Watu kweli ni mahodari wa kuponda!
...NN, watu lazima waponde and i totally understand them. Mhe. Kigwangala leaves a lot to be desired kwa mambo yake.

...Tukirudi kwenye mada. Yeye amelalamika badala ya kuelezea hatua alizochukua baada ya kuona madhaifu yote hayo -ambayo nafahamu, aliyafahamu toka awali akiwa shule- kwenye mfumo wa afya, na akaomba tuboreshe kwa maoni na ushauri.

...Nafahamu pia, yeye na vijana wengine katika fani hiyo, wamekalia "research" kila kukicha, sio kwa nia ya kusaidia nchi katika sekta hii, bali kujineemesha kwa funds zinazotolewa na mashirika, ngos, na miradi mbalimbali inayofanya tafiti zisizoisha na zisizo na tija ya "kushikika" katika afya za Watanzania. Simply, they are agents in turning Tanzanians into "modern guinea pigs".

...And this is for you Mhe.. Piga kazi, acha maneno mingi. Hiyo maneno mingi waachie wasanii.
 
Kaulizwa kuhusu disparity kati ya migari ya ajabu ya kibunge (Range Rover Vogue imekuwa mention, a very unsustainable RR, ukigusa tu umemwaga kikombe cha mafuta, I should know) kaulizwa disparity ya gari hili na hao wananchi masikini anaosema wanabebwa kwenye "carts", hakujibu.

Huyu ni mmoja wa wabunge wanaochampion wabunge kuongezewa marupurupu.


Mnataka tuamini tu kwamba yuko sincere katika madai yake kwamba ana uchungu na Watanzania wa kawaida?
Kiranga, nakana hapa kwamba sijawahi kuwa miongoni mwa wabunge wanachampion posho hata siku moja. soma msimamo wangu kwenye Dr. Hamisi Kigwangalla's Round Table

The divide inayoonekana kati ya wabunge na wananchi ni kubwa na iko wazi na wala haihitaji maelezo yangu, lakini sasa ina uhusiano gani na makala yangu? maswali ya namna hii nimejifunza kuyapotezea tu maana hayana maana. Hata wewe kwa namna yoyote ile unatumia gari, je tunaizibaje hiyo disparity kati yako na ndg zetu wa vijijini wanaoishi kwenye abject poverty?
Kama hoja ni magari ya wabunge na alama ya usaliti kwa wananchi maskini, mbona hatuongelei usaliti wa wasomi kama Kiranga, hivi haoni yeye anafaidi sana kuwa katika ulimwengu huu wa kuwasiliana ilhali wenzetu kule vijijini hawana hata magazeti ya kusoma? Disparities ziko za aina nyingi sana na zinafanywa na wengi, siyo wabunge tu, hoja ya sisi wanaharakati ni kuwa tuwasemee wale walio chini ili wapewe kipaumbele (soma John Rawls' justice as fairness). Hoja ni kwamba hata wewe Kiranga una role ya ku-play kwenye vita dhidi ya dhulma, ukandamizaji na unyanyasaji...je umefanya nini mpaka hapo ulipo? ama wewe unaona hili ni jukumu la wabunge, ama ni haki yako wewe kuwa hapo ulipo na si haki ya wabunge kuwa pale walipo? Fumbua kichwa chako, angaza mbali zaidi ya pua yako usije ukagongwa gari
 
mkuu tatizo la Kigwa ni watu wanaomzunguka lakini huyu jamaa ukimsoma kwa muda mrefu utagundua kuwa ni mtu mmoja muhimu sana kwa taifa hili. Cha muhimu kwake ni kusimamia anachokiamini na kuachana na propaganda za the so called plastic political rivals.
...Narubongo, what do you want us to believe? Kwamba na hii post kaandikiwa na hao wanaomzunguka?
 
Wengine wanasema mazoea hujenga tabia, unadhani ukiwa na jimbo ndio utaepuka kuandika sana kiingereza (suala la kuongea lingine)? Naamini na wewe utaendelea tu na "kakiingereza kako". Kaka HK naomba utafsiri katika kiswahili ili tukunyake vyema; maana kila mtu anapata tafsiri yake kulingana na mwalimu wake wa UPE alivyokuwa "fiti"

Comprehension ndogo,

Mimi sina constituency, sijajidai ku champion causes za masikini wa Tanzania na wala sijajitutumua kugombea nafasi ya umma.Situmii senti tano nyekundu ya mlipa kodi wa Tanzania. Sanasana naweza kuwa nachangia tu katika GDP ya Tanzania.

Hata nikiamua kuandika Kireno, Esperanto au Klingon na machizi wangu wawili hapa poa tu.

Huyu mbunge anayejidai kuona uchungu sana kwa niaba ya masikini wa Tanzania, anapowaandikia ujumbe kwa Kiingereza, wengine tukisema anawakejeli na kuwakoga tutakuwa tunakosea?

Au tukisema anataka kutumia tu chambo cha kutetea masikini lakini lengo lake ni kukinga mkono ili apate misaada kwa kupitia jina la masikini, misaada ambayo hatujui kama itawafikia walengwa na wala hatuna sababu ya kuamini hivyo, utakuwa na haki ya kutukatalia?
 
Kaulizwa kuhusu disparity kati ya migari ya ajabu ya kibunge (Range Rover Vogue imekuwa mention, a very unsustainable RR, ukigusa tu umemwaga kikombe cha mafuta, I should know) kaulizwa disparity ya gari hili na hao wananchi masikini anaosema wanabebwa kwenye "carts", hakujibu.

Huyu ni mmoja wa wabunge wanaochampion wabunge kuongezewa marupurupu.

Mnataka tuamini tu kwamba yuko sincere katika madai yake kwamba ana uchungu na Watanzania wa kawaida?

1. kuhusu magari nafahamu ule ni mkopo wa 90m anaopewa mbunge na anatakiwa aurudishe! kwahiyo anauwezo wa kununua gari aina yoyote anayoitaka mwenyewe, hata wabunge wa cdm mbona tunawaona wanapush ma v8
2. swala la kigwa kugangamala na kuongezewa posho .. kwa hili sina hakika sana (kwakuwa mwenyewe anayasoma haya na ili kumaliza utata nadhani itakuwa ni busara zaidi aje aweke msimamo wake)


...Tukirudi kwenye mada. Yeye amelalamika badala ya kuelezea hatua alizochukua baada ya kuona madhaifu yote hayo -ambayo nafahamu, aliyafahamu toka awali akiwa shule- kwenye mfumo wa afya, na akaomba tuboreshe kwa maoni na ushauri.

...Nafahamu pia, yeye na vijana wengine katika fani hiyo, wamekalia "research" kila kukicha, sio kwa nia ya kusaidia nchi katika sekta hii, bali kujineemesha kwa funds zinazotolewa na mashirika, ngos, na miradi mbalimbali inayofanya tafiti zisizoisha na zisizo na tija ya "kushikika" katika afya za Watanzania. Simply, they are agents in turning Tanzanians into "modern guinea pigs".

...And this is for you Mhe.. Piga kazi, acha maneno mingi. Hiyo maneno mingi waachie wasanii.

Hapa tukirudi kwenye ukweli hivi ni lini uliwahi kumsikia mbunge anaongea hadharani alichokichangia au yaliyoongelewa ndani ya kamati za bunge either awe wa chama tawala au upinzani. Anayeweza kukwambia mchango wa mbunge ni mwanakamati mwenzake pekee na hii picha tunayoiona nje ni tofauti kabisa na ile ya jikoni (ndani ya vikao vya kamati)
 
Kiranga, nakana hapa kwamba sijawahi kuwa miongoni mwa wabunge wanachampion posho hata siku moja. soma msimamo wangu kwenye Dr. Hamisi Kigwangalla's Round Table

The divide inayoonekana kati ya wabunge na wananchi ni kubwa na iko wazi na wala haihitaji maelezo yangu, lakini sasa ina uhusiano gani na makala yangu? maswali ya namna hii nimejifunza kuyapotezea tu maana hayana maana. Hata wewe kwa namna yoyote ile unatumia gari, je tunaizibaje hiyo disparity kati yako na ndg zetu wa vijijini wanaoishi kwenye abject poverty?
Kama hoja ni magari ya wabunge na alama ya usaliti kwa wananchi maskini, mbona hatuongelei usaliti wa wasomi kama Kiranga, hivi haoni yeye anafaidi sana kuwa katika ulimwengu huu wa kuwasiliana ilhali wenzetu kule vijijini hawana hata magazeti ya kusoma? Disparities ziko za aina nyingi sana na zinafanywa na wengi, siyo wabunge tu, hoja ya sisi wanaharakati ni kuwa tuwasemee wale walio chini ili wapewe kipaumbele (soma John Rawls' justice as fairness). Hoja ni kwamba hata wewe Kiranga una role ya ku-play kwenye vita dhidi ya dhulma, ukandamizaji na unyanyasaji...je umefanya nini mpaka hapo ulipo? ama wewe unaona hili ni jukumu la wabunge, ama ni haki yako wewe kuwa hapo ulipo na si haki ya wabunge kuwa pale walipo? Fumbua kichwa chako, angaza mbali zaidi ya pua yako usije ukagongwa gari

I take back the posho bit, naona ume champion moves against posho, to your credit.

Divide kati ya wabunge na wananchi ina uhusiano wa moja kwa moja na makala yako kwa sababu wananchi na wabiunge wote mnatumia public funds.

Hata mie ntatumia gari, lakini kama mie mbunge wa nchi masikini sitaweza kutumia Range Rover Vogue gari ya bei mbaya na yenye kunywa mafuta kama baharia mlevi. Hujakanusha kwamba unatumia gari hii ya fahari ya ajabu halafu unakuja hapa kutuambia una uchungu na wananchi?

Huwezi kumuita Kiranga msaliti wakati Kiranga hajataka dhamana ya wananchi. Mie nina mpango wa kununua Evoque RR katika miezi 9 ijayo, lakini situmii fedha ya kodi ya wananchi masikini wa Tanzania kwa hiyo huwezi kunisema. Wewe unakotoka mshahara wako na marupurupu yako ndiko huko huko kunakotoka hizo fedha zinazofanya hao hao wananchi unaosema wanazalia kwenye mikokoteni. Kwa maana nyingine Range Rover Vogue lako linachangia kuzorotesha huduma za afya.

Mimi nina role ya kuplay, role yangu ni kumulika viongozi wote wanaotuambia wanaumia sana kwa uchungu wa kuona hatuna zahanati ya shilingi milioni kumi kwa watu elfu kumi, huku wao wako katika viyoyozi vya gari zenye injini za 5.0 ambazo nchi zinazotupa misaada wabunge na mawaziri hawana, gari za ma rappers na Wall St / Silicon valley Yuppies.

Halafu kuja kuandika kiingereza hujakuelezea, hao wananchi wanaozalia kwenye mikokoteni ndio wataelewa uzuri zaidi ukiandika kiingereza au ni mikogo tu ya kwamba ukitaka kuoinekana msomi sio tu uweke mi certification yako yote kwenye signature (tacky) lakini pia uandike kiingereza?

Ndiyo communication skills za usomi hizo?

Au audience yako uliyoitaka haijui kusoma kiswahili?
 
1. kuhusu magari nafahamu ule ni mkopo wa 90m anaopewa mbunge na anatakiwa aurudishe! kwahiyo anauwezo wa kununua gari aina yoyote anayoitaka mwenyewe, hata wabunge wa cdm mbona tunawaona wanapush ma v8
2. swala la kigwa kugangamala na kuongezewa posho .. kwa hili sina hakika sana (kwakuwa mwenyewe anayasoama haya na ili kumaliza utata nadani itakuwa ni busara zaidi aje aweke msimamo wake)



Hapa tukirudi kwenye ukweli hivi ni lini uliwahi kumsikia mbunge anaongea hadharani alichokichangia au yaliyoongelewa ndani ya kamati za bunge either awe wa chama tawala au upinzani. Anayeweza kukwambia mchango wa mbunge ni mwanakamati mwenzake pekee na hii picha tunayoiona nje ni tofauti kabisa na ile ya jikoni (ndani ya vikao vya kamati)

Kama wabunge wa CHADEMA wanachukua magari ya kifahari nao ni mule mule tu. Mi sina mapenzi na chama chochote hapa ni issues tu.

Kama mtu ana uchungu kweli na umasikini wetu atajua kuchukua mikopo mikubwa kwa mambo ya anasa si njia ya kutoka katika umasikini, hata kama atachukua mkopo si kwenda kununua Range Rover Vogue wakati nchi masikini.
 
Wengine wanasema mazoea hujenga tabia, unadhani ukiwa na jimbo ndio utaepuka kuandika sana kiingereza (suala la kuongea lingine)? Naamini na wewe utaendelea tu na "kakiingereza kako". Kaka HK naomba utafsiri katika kiswahili ili tukunyake vyema; maana kila mtu anapata tafsiri yake kulingana na mwalimu wake wa UPE alivyokuwa "fiti"

Mie nishakuwa na falsafa ya maisha yangu sitaki public office, kwa hiyo huwezi kuniambia habari ya "ukiwa na jimbo". Hilo haliko na halitakuwa katika mawazo yangu. Kwa hiyo mfano wako hau apply kwangu.
 
Unfortunately, when the day came the woman didnt immediately notice that she was in labour. When she finally realized and told her mother-in-law, she was told to just wait and be strong, because she is a woman. So she waited. At night, the pain became aggravating and grew stronger and stronger. She woke her husband, who was fast asleep and drunk, but he assured her everything was alright and that she should wait as his mother had earlier said, because she knows better.
...Mhe. you should know better, that basic education -let alone, reproductive education- is lacking in most rural areas. Elimu ndio ufunguo wa maisha. Pigania elimu kwa maskini wa vijijini.
Finally, he noticed his wife groaning and struggling. They quickly awoke the whole family and took her in a cow-pulled cart to the traditional birth attendant, where they were confident that they will receive delivery services. When the traditional birth attendant came and examined the lady in the cart, she quickly noticed that the head of the baby could easily be seen. Upon further examination, she noticed that the woman had twins and that she had lost a lot of blood. Realizing she could not help, the birth attendant told them to rush to the nearby dispensary.
...Hakuna anayewekeza tena kwenye afya ya wakulima wa nchi hii. Imebaki kuiita kazi yao kuwa ndio uti wa mgongo wa nchi. Halafu wengine, wanajenga hoja kwamba ni "maskini wa kutupwa", je?, huyu dada na kijiji chake ni wakina nani?
The poor woman struggled to wait for the ambulance to no avail. The husband sat beside his wife, weeping calmly, his heart full of guilt. As minutes passed, he became aware of the reality that his wife was dying. No sooner than the ambulance arrived, the woman passed away. This is a testimony from the husband.
...Wananchi wengi wanakufa kwa malaria pia. Research kwenye hii area haziishi, whats wrong?
The first cycle is within the individual; he or she has to be liberated and enabled to demand for his or her rights. This entails a person who is confident and can make decisions about his or her life and his or her children. Unfortunately many people – especially women – remain trapped in this cycle by a lack of information and autonomy.
...Wataondokaje kwenye hilo duara, kama wawakilishi wao wanakula, wanavimbiwa, wanasaza na bado wanasema chakula hakitoshi? Wamesahau kwamba waliowapigia kura wakufa kwa kukosa wahudumu makini na vifaa vya gharama nafuu kabisa, katika vituo vya afya.

...If you want to liberate them, bring basic education near them. Educate the girls hata kwa scholarships when you can, na uchangie katika kupiga vita mila potofu za kuuza watoto wa kike kwa kisingizio cha mahari.
The Government should direct more resources to strengthening primary health care services bringing them closer to the people.
...Nenda kauze hii mawazo kwa wabunge wenzako. Na itakuwa vyema ukiiboresha kwa case studies, etc.
Will the budget that is going to be tabled next month in Parliament reflect this?
...Tukuulize wewe Mhe.. Si ndio uko jikoni?
 
Hapa tukirudi kwenye ukweli hivi ni lini uliwahi kumsikia mbunge anaongea hadharani alichokichangia au yaliyoongelewa ndani ya kamati za bunge either awe wa chama tawala au upinzani. Anayeweza kukwambia mchango wa mbunge ni mwanakamati mwenzake pekee na hii picha tunayoiona nje ni tofauti kabisa na ile ya jikoni (ndani ya vikao vya kamati)
...Mara chache, nilizofuatilia vipindi vya bunge kwenye tv, nimeona na kusikia wakisema yale waliochangia kwenye kamati, n.k, ingawa si kwa undani. Hapo unapata picha ya nini kinaendelea. Na kumbuka, wengine ni mafundi wa kuandika watakayochangia au waliyochangia bungeni -kwenye kamati au la- kwenye mtandao.
 
Aiseee!!!! Hongera.

Si mpaka.

Ingawa situmii pesa ya walipa kodi lakini naweza kuona ubatili mtupu nikaghairi vile vile.

Sasa nashangaa wanaotumia fedha za walipa kodi wanavyotapanya! halafu bila aibu wanakuja hapa kutuambia wana uchungu sana kuona wananchi wanazalia kwenye mikokoteni.
 
Respect Kigwangwala..na usipogombea 2015 tunakuloga...unahitajika sana ila hujijui kupigwa sio kama hupendwi
 
1. Huna moral high ground kumdiscredit mawazo ha Hamisi ukiwa anonymous.

2. Kama huwezi kujadili namba 1, kaa pembeni kama unavyotaka nifanye mimi.

3. Hayo mambo ya chai unayoyaleta yanaonyesha uzoefu wako katika mambo ya taarab. Simo.

How does "moral high ground" have to do with anonymity or lack thereof?
 
Back
Top Bottom