Kwani hii thread ina maudhui ya kumuongelea mtu fulani? I don't think so..! After all gorgeousmimi isn't that kind of a woman..! I respect her for that.
Kwani hii thread ina maudhui ya kumuongelea mtu fulani? I don't think so..! After all gorgeousmimi isn't that kind of a woman..! I respect her for that.
Kama huna kifua unatakiwa kwenye hii mitandao upite kimya kimya...te te te...
Ha ha ha siwezi kuwa bullied mtandaoni...si najitoa tu...ha ha ha...
Ila kabla sijatoka nakupa za uso kwanza nikupime nguvu...unaweza kuwa kidagaa tu....
Wengi wanaolia kuwa ni victims wao ndio attention seekers...
wanajianika issue zao mitandaoni...wakija wanaojua dark side zao ndio inaanza kuwa issue...ukijianika uwe na kifua...
Kwani hii thread ina maudhui ya kumuongelea mtu fulani? I don't think so..! After all gorgeousmimi isn't that kind of a woman..! I respect her for that.
ha ha ha na kuna watu wana mitusi kweli kweli...lakini bado wanapokea likes from like minded members...
Huwa nashindwa kuwashangaa....ila nimeshajua humu kuna teams kama za mitandao ya kitoto...si JF MMU ya those days...