Walimu ni kama wanacheza mchezo wa watoto wa kinyumba nyumba, wakijiita baba/mama wangali bado hawajawa wazazi.
Mgomo gani unaanza wiki moja kabla ya kufunga? Kama kuna Mwl. kati yetu hapa aeleze kusudio la kutaka kuichimbisha serikali inayojua keshokutwa tu sensa inaanza.
Walimu wangegome pale darasa la saba, form two, four, six wanapokaribia mtihani wa Taifa, vyuoni wanakaribia UEs.
Kwa sasa tishio liko wapi? Au watakataa kwenda kuhesabu watu (sensa), hawawezi, maana kulingana na kipato chao duni lazima watahesabu wapate ujira.
Je walimu mgomo upo?
hivi wewe kibaraka ushawaona walimu ni vilaza??kumbuka walimu wa sasa tumesoma..tumeenda shule tuna degree zetu bana,who ar you kutusemea walimu??acha upuuzi bana,,walimu mishahara haitoshi na hata kama cwt wangekua wabovu na mafisadi lakini kwa hili tuko pamoja nao,,akitokea mtu kama wewe mwenye akili maji basi walimu tunakupuuza kwa nguvu zooote,,kwa taarifa yako walimu we are more than serious and we ar breathing fire,,,,tunagoma j3 kuanzia saa 1.30 asb.vitisho,dhihaka na utapeli hautasaidia kwani kwa hili walimu hao unaosema wako vyuoni ndo wakwanza kuliunga mkona...wewe bado unataka nilipwe mshahara wa 273,000 kwa mwezi??inisaidie nini?tumeomba madaraja huu mwaka wa 3 since tumegraduate bila msaada,,jamani watanzania hamtuonei huruma??mbona sisi tunawajali watoto wenu??hapana watanzania siasa zimezidi na sasa mmeziingiza mpaka kwenye maisha ya watu hata wasio husika...mungu tusaidie mgomo wetu uwe wa kihistoria na hapo kila mtu ata draw an example kwa walimu...Chama cha walimu Tanzania ni chama cha kifisadi kisichokuwa na dhamira ya dhati kuwakomboa walimu. kimetumia zaidi ya Milioni 240 kuitisha mgomo feki kwa kuwafanya Walimu au watanzania ni wapumbavu. Nasema hayo kwa sababu zifuatazo.
1. Wanadai mishara iongezwe kwa 100%, posho walipwe 50%, posho ya mazingiza magumu iwe 30%.
NB: Hii maana yake ni kuwa mwalimu mwenye basic salary ya Tsh. 700,000/= alipwe mshahara mpya wa Tsh. 1,750,000/= [(yaani 700,000/= x 2 = 1,400,000 + 50%(350,000) = 1,750,000]. is it possible?
Kwa maana nyingine ni kuwa, serikali iandae bajeti yenye uwezo wa kuajiri walimu wapya kwa idadi ya walimu waliopo tanzania kwa sasa, hapo ndio itakuwa na uwezo wa kuwatekelezea walimu hao madai yao. Is it possible or just a day dream of CWT?
2. Wametoa Tsh. 1,500,000 kwa wilaya zote za tanzania (Wilaya 134 x 1,500,000/-) = Milioni mia mbili na kumi + Tsh. 1,500,000/= kwa kila CWT Mkoa (kwa mikoa 24)....maana yake hapo ni : Milioni 36; kwa ukijumlisha : MIL:210 + MIL. 36 = MIL. 246. Pesa hizo zote wamesema zitumike katika ngazi hizo kuhamasisha mgomo, je mwalimu wa kawaida anayechangia hizo feza anafaidika na nini katika hayo mamilioni? huo ni ufisadi mkubwa coz hela zote zinaingia kwenye matumbo ya akina mukoba kwa maslahi yao binafsi.
3. Shule zinafungwa tarehe 3, August ( primary na secondary), sasa huo mgomo una nguvu gani/ yaani hauna madhara kwa serikali hata kidogo. rais ni kilaza kwa sababu hajui timed reinforcement/ appropriate time kufanya mgomo.
4. Walimu wote wanaenda kuhesabu sensa kuanzia tarehe 06. August kwa kuhudhuria semina elekezi, sasa ataiathiri vipi serikali ili iweze kumtimizia madai yake.
NB: Naomba mfahamu kuwa viongozi wa CWT wapo kimaslahi zaidi/binafsi na sio kuwatetea walimu.
*Wakufunzi wote wa vyuo vya ualimu wameshastukia hilo, hawaungi mkono mgomo, na wapo mbioni kujitoa CWT ili kuanzisha chama chao ambacho kitakuwa na nguvu kudai haki zao kuliko ilivyo sasa kuburuzwa na CWT.
Habari ndio hiyo.
Kama hujui hizi taratibu bora usikurupuke. Acha Uvivu wa kufikiri kama jina lako lilivyo. au unajitakia umaarufu wa bure? We amekwambia nani kuwa likzo za wanafunzi zinamhusu mwalimu? Mwalimu anakwenda likizo kwa kuomba na kuruhusiwa. Wanafunzi kuwa likizo haimaanishi mwalimu nae yupo likizo. Blah blah nyingine wala hazisaidii!
Kwanza TZ ni nchi yao pia, sasa wanamgomea nani???!!! Kikwete? CCM? Watafute njia nyingine na siyo mgomo.
Kwanza TZ ni nchi yao pia, sasa wanamgomea nani???!!! Kikwete? CCM? Watafute njia nyingine na siyo mgomo.
Ninachotaka kukufahamisha ni kuwa ukiwa kiongozi lazima very strategic.....CWT hawawezi kuitisha mgomo uanze baada ya kutoa notice serikalini ya saa 48, tena unatoa notice ijumaa saa 7 si upumbavu huo? ina maana serikali inafanya kazi kufungua ofisi jumamosi na jumapili au?
Ninanachokisema hapa ni kuwa viongozi wa CWT hawana dhamira ya dhati kuwakomboa walimu...wanaitisha migomo ya kishamba kama hii ili serikali ikizuia waseme eti tunaonewa...huo ni ujinga uliopitiliza.
kama kweli wapo stable kwanini wasingeitisha mgomo katikati ya mihula na wanasubiri shule zifunge ndio wajidai kuhamasisha migomo...huo ni udhaifu wa mukoba/CWT...! wanatumia pesa nyingi kwa kazi isiyo na tija? huo ni ujinga.
Ndio maana nasema wajinga ndio waliowao....walimu waaachane na usaanii huu wa Mukoba/CWT.
jamani hivi kunawatu wanaumwa ugonjwa wa akili humu jf na nahc mto mada ndo mwenyekiti wao?
Hivi usemapo waalim wote wanakwenda kuhesabu sensa unahakika? shule nifundishayo mimi tupo waalim dip, degree na wa degree za uza ambao kwa ujumla wetu tupo 69 lakin hakuna hata mmoja anayekwenda kwenye sensa sasa wewe unasemaje waali wote??acha uongo kabisa na unafiki natumesha kugundua wewe upo ili kuwatete waliokutuma. sisi hatutetereki na si wajua form six wapo wenye mitihani ya mock??? sasa kesho ni mgomo wala halina ujanja ila kwa kuwaonena huruma wanafunzi hawa tutawasimamia mitihani yao ya Mock n awakimaliza tunaungana na wengine kwenye mgomo nia hapa hatutak hawa form six kuwalostisha lkn pia uwezo huo tunao ishu ni kwamba itakuwa dhambi sana kuwadisturb ktk ya mithani.
Kwanza TZ ni nchi yao pia, sasa wanamgomea nani???!!! Kikwete? CCM? Watafute njia nyingine na siyo mgomo.[/QUOTE
njia nyingine kama ipi tena? wafundishe!!
Acha kutumika wewe,kama wametumia hyo 240 kwa wilaya zote tanzania still bado naona ni ndogo sana,mgomo upo palepale walimu msimsikilize huyu mtoa pumba hapa anatumika na TISS kuwaaribia moods!!!